Fighter101
Member
- Jan 8, 2022
- 46
- 63
Hakuna kipindi kigumu kama hiki, watu wanateseka ila wanaumia kimyakimya
Bahati mbaya sana hata JF ya sasa lumumba wamejaa sana wanakazi moja tu kusifia na kucrash kashifa zote kwa chief.
matokeo yake mijadala mizito na ya msingi haijadiliwi wapinzani ndo hao wameshalamba sukari.
Ya ndugai tutayakumbuka wakati kumekucha, hata takwimu za mfumuko wa bei sijui zimeenda wapi tunasiksia za corona tu.
Watz siyo kwamba ni wapole ila hatujielewi ndo maana tunapelekwa kama kondoo, siku tukijielewa tutafika mbali sana.
Hata politiians wetu most of them ni vilaza hawatufikishi popote wanakazi moja tu kujirimbikizia mali .
Bei ya VYakula kabla ya ncHi kuuzwa
Bahati mbaya sana hata JF ya sasa lumumba wamejaa sana wanakazi moja tu kusifia na kucrash kashifa zote kwa chief.
matokeo yake mijadala mizito na ya msingi haijadiliwi wapinzani ndo hao wameshalamba sukari.
Ya ndugai tutayakumbuka wakati kumekucha, hata takwimu za mfumuko wa bei sijui zimeenda wapi tunasiksia za corona tu.
Watz siyo kwamba ni wapole ila hatujielewi ndo maana tunapelekwa kama kondoo, siku tukijielewa tutafika mbali sana.
Hata politiians wetu most of them ni vilaza hawatufikishi popote wanakazi moja tu kujirimbikizia mali .
Bei ya VYakula kabla ya ncHi kuuzwa