TANZIA Mfanyabiashara Emilian Woiso afariki dunia

sikupingi. Ile wilaya imekaa kushoto sana. Ambapo inawapa safe haven kufanya yao.
Tuliendaga kuuza mkonge hardtop kikirikikiri za biashara
Yule mnunuzi usiku saa moja usiku ndy analeta hela tukamwambia,mzee we deposit hela tu kwenye ac...kesho mapema tumalizane
Jamaa wenyewe walikoma 😄
Hyo pesa tungeichkua tu usiku tungetembelewa na wageni
Kweli kesho yake jamaa wakaenda mjini Bank waka deposit.....
Pande zile watundu wako wengi
Wanaishi kama ma cow boy

Ova
 
Mnakosea sana. Hamjui biblia. Nenda kasome baada ya daudi kushika madaraka nchi ikawa bado haibarikiwi na David alipouliza alijibiwa nini na nabii? Waliambiwa utawala uliopita wa sauli uliua wana wa Gibeon so waende wakawaulize hao wana wa Gibeon kifanyike nini ili wasamehe na nchi itakasike? Wakawaambia wawaonyeshe mabaki ya jamaa ya sauli wawaue ili kulipiza kisasi na walipofanya hivyo nchi ilitakaswa. Mfano mwingine Yesu mwenyewe aliwaambia wanafunz wake patana na mshitaki wako kwanza kabla hamjafika kwa hakimu na akasema hautatoka humo kamwe mpaka ulipe senti ya mwisho. Mfano mwingine wa zakayo alipompokea Yesu tu alikumbuka dhambi zake na akasema atawarejeshea mara kumi aliowadhulumu. Ni hiv, Mungu sio dhalimu wewe unaweza kukuta umenidhulumu halafu unaenda kuokoka lakin unasahau mimi kila asubuh naamka namkumbusha Mungu asisahau uovu ulionifanyia umenidhulumu. Na kuhakikishia Mungu ni wa haki hata sikia sala yako ya kuokoka bali atamsikiliza aliyekosewa. Ndio maana Yesu alikuja kwakuwa sheria ya roho ni lazima haki yote itimizwe Mzee so kama umeiba umedhulumu nenda watafute uliowatendea uwarudishie vyao ndio uje madhabahuni kuokoka. Mungu ni haki na kweli.


Ni kweli umeelezea vizuri.
Dhambi ya dhuruma ili dhrumat asamehewe huwa anatakiwa kurejesha alichodburumu kwa alowadhurumu pamoja na riba.
Yani ndio maana haisemi rejesha mara moja la hasha ni huwa ni zaidi ya ulichodhurumu.
Utarejesha mara 10 ya kile ulichodhurumu kwa watu.
Mwenyezi Mungu anachukizwa mno na dhambi ya dhuruma.

Na malipo yake nayo huwa hayachelewi hapa Duniani na malipo ni hivyo hivyo in multiplications.
Utadhurumu 3 utaapoteza 30 😛😛

Mungu ni zaidi ya fundi.
 
Nyari yupo Kiongozi ingawa umri umeanza kusogea,nilimuona mwaka huu 2024 mwanzoni,maeneo ya Stendi KUU ya Mabus Arusha,akikagua kibanda chake cha biashara na watu wa Jiji,
Huyo mzushi kweli naye alikuwa
,nlishafanya biashara naye
Sema naye wakati ule ukimpelekea mzigo akikupa hela tu badaye wanakutumia watu ugeni 😄
Naona ile kesi aliyopataga hadi akanyolewa ilimnyoosha kdg

Ova
 
Kuna bidhaa gani nyingine mkuu??, wadau wa kuvukisha wapo??.
Usalama wa kuvukisha ukoje mkuu?? Mamaya
Kwa sasa mwendo wa kuvusha ni boda, bidhaa kenya za kuvusha ni nyingi sana maana bei iko chini, kuna kwenda kuchukua na kupeleka, unajua hela ya kenya iko juu zaidi ya tz, hivyo ujipeleka mzigo unarudi na faida kubwa. Kuna wanaopeleka hata piwa (gongo) kenya
 
Kwa sasa mwendo wa kuvusha ni boda, bidhaa kenya za kuvusha ni nyingi sana maana bei iko chini, kuna kwenda kuchukua na kupeleka, unajua hela ya kenya iko juu zaidi ya tz, hivyo ujipeleka mzigo unarudi na faida kubwa. Kuna wanaopeleka hata piwa (gongo) kenya
Si uko Hapo maeneo ya mpaka huo??
 
Back
Top Bottom