Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,745
- 5,446
Ntate Magolo, tatizo sio Serikali bali Wabunge. Hata hivyo TRA hawajali kwa sababu kila mwaka wanakuongezea penati na hata ukichinja gari, siku ukienda TRA kwa suala lolote la kodi, watakukaba ulipe kwanza kodi ya Road License na penati zake hata za miaka kumi, uonevu mtupu.
Vv
Vv