Mfahamu Stephen Hawking, Mwanasayansi Aliyeitwa Mrithi Sahihi wa Albert Einstein

Kwa sasa kuna kijana Elon Musk nae ni Genius dogo yupo vizuri sana.

Ana project yake ya Mars Colonization, yani anajitahidi kuangalia uwezekano wa binadamu kuhamia sayari ya mars kutokana na dunia kuwa imechafuka sana
Lakini kwa vimwana nako yuko vizuri.
 
Kila siku narudia uzi huu lkn sipat kitu hapo kwenye huo mfano. Nahtaj ufafanuzi wa kusimamisha muda
nitakuelezea kulingana na upembuzi wangu IM NOT GENIUS,INTELLIGENT OR NORMAL PEOPLE.....then tuanze kuchambua mada husika ,JE NI KWA NJIA IPI UNAWEZA SIMAMISHA MUDA UKIWA UNAENDA KWA KASI YA MWANGA?
zifuatazo ni data unazotakiwa kuzifahamu kwanza.
DATA GIVEN:
speed of light[C]=3 x 10⁸m/s
where by 10⁸m/s=1000000000m/s
then lets change that unit into kilometres
metres-kilometres,where 1km=1000m....so 1,000,000,000m=1,000,000km.
from speed of light[C]=3 x 10⁸m/s will be equal to 3 x 1,000,000km/s
WHERE,
3 x 1,000,000km/s =3,000,000km/s

lets assume that you want to move around the EARTH with the speed of light[C] where by EARTH have radius approximately to 6,400km so its diameter[d] will be equal to 1,2800km,then lets find how much time will be used to around the earth in straight/parallel way with speed of light[c]
DATA.
speed of light[c]
diameter of the earth[d]
Time in seconds=d/c,=12,800km/3,000,000km/s
time(s)=0.0042666666666666666666666666667s approximate=0.0043s
simply it means that ukiwa na kasi ya mwanga utaweza kuizunguka dunia yenye kipenyo cha 1,2800km kwa sekunde 0.0043 ikiwa na maana ya kwamba kwa sekunde 1 utaweza kuizunguka dunia mara 232.55813953488372093023255813953 kutoka kwenye calculation hii hapa HOW MUCH TIMES CAN YOU MOVING AROUND THE EARTH WITH THE SPEED OF LIGHT[C]
DATA.
time(s) taken to around the eath in 1 cicrulation=0.0043s
1 second=1s
then 1s/0.0043s=232.55813953488372093023255813953
.....approximate=mara 233 kwasekunde 1.........ikiwa in normality way ukiwa unatembea sekunde moja[1sec] inaweza isitosheleze hata kurusha hatua moja iliyokamilika lakini kwa speed ya mwanga kwa sekunde hy hy moja tu itakuwezesha kuizunguka dunia mara 233 au unaweza kufafanua kuwa ndani ya sekunde 0.0043 ukiwa unaenda kwa kasi ya mwanga utakuwa umekamilisha mzunguko mmoja wa kuizunguka dunia wakati kwa maisha ya kila siku(kawaida) ukiwa unatembea sekunde 0.0043 ni sekunde ambazo zinaukaribu mkubwa na kulinganishwa na muda ambao ndo kwanza ubongo unatoa command(agizo) kwa misuli ya mwili ama ibane(contract) au iachie(release/refresh) ili mguu uwanze kunyanyuka kabla ya kupiga hatua kamili.

AND THAT IS THE MEANS OF WHEN YOU GAIN SPEED OF LIGHT YOU CAN STOP THE TIME
 
Nilimsoma kwenye theory lakini lile suala Lake LA Kuwa athesits ndio baya zaidi.
 
Huyo tesla wamadai alikuwa anaficha Ideas zakee... Na nyingi aligundua kabla ya watu wengi kugundua...!! Sasa huoo ni ufalaaa... Maana hata mimi ninazo ideas sema nimezitunza..

Hapana kaka, Tesla alipata shida sana kuaminika na kutangazwa, alidunishwa mno, Eisten katangazwa sana kuliko huyo Tesla, lakini Tesla ni habari nyingine kabisa
 
Huyo tesla ni ishu za elctrical Eng kwa sanaa..!! Leo revolution kubwa za uzalishaji nguvu za umeme kutumia Nuclear...silaha za nuclear..modern physcs its all abt Eistein...!! ACHAAA UJINGAA kijanaa... EISTEIN ni more general n wide huyo tesla umeme tu... Kalale mbelee hukoo... Eti teslaaaa...shwain kabisaa....
Mjinga na mpumbavu tu ndio atamlonganisha Einstein na vitu vya kijinga
 
Wabongo
Mkuu

Newton kagundua vitu very basic ila muhimu...Newton hakua prodigy,hakua genius....alikua average ila alikua na juhudi kubwa sana ya kupiga msuli...Hiyo inajulikana!

Mkuu,magenius ni wale walikua wanafunga macho wanaona picha nzima ya dunia na mathematical equations na kila kitu ndio wanaandika na wakija ku-pruvu ni kweli..The likes of Tesla,Einstein na wale Wahindi,na Wajerumani..

Mzee,acha kabisaaa!
Wabongo bwaana, eti Newton alikuwa average, mtu findings zake mnazisotea PHD, Degree n.k leo mnasema n average?
 
Kasi ya mwanga kusimamisha muda nimetoka kapa kwa kweli
Me nimeelewa jambo kwa uchach hapo iko hivi MF chukua watu wa will mmoja awe na uwezo wa kufikirià kwa haraka sana na kuchambua jambo kwa kasi ya ajabu na mwngn hawezi kufiria wape jambo wafikirie DKK 15 huyu wa kwanza yy atapata utaalamu wa miaka zaidi ya 10,000 ijayo na wapili atakuwa amepata utaalamu wa dakika zile 15 hapo utakuwa umenipata kiasi
 
Jina lake kamili ni Stephen William Hawking,alizaliwa Oxford uingereza, 8 Januari 1942 na amefariki 14 Machi 2018. Alikuwa mtaalamu wa fizikia na hisabati kutoka Uingereza, mmoja kati ya wataalamu wa fizikia wa kinadharia ulimwenguni.


Jamaa alikuwa haamini kwenye Mungu na enzi anasoma Mwaka 1950 shule ya serikali ya Hertfordshire. Akiwa na umri wa miaka 17, alipitia mtihani wa kujifunza huko Oxford. alichukua masomo ya Chemistry na physics ambayo kwetu madesa hayapandi na kila alichokua anafundishwa kilikua rahisi sana so hata hakusoma wakati wa kujiandaa na mtihani sababu kila alichofundishwa kilikua rahisi sana.
Shuleni alizosoma walimuita #Einstein…nadhani mnamjua huyu jamaa Einstein ndio mwanasayansi ambaye alitabiri mambo ya zaidi ya miaka 100 na yanatokea kweli.

Tafsiri narudia tena TAFSIRI tu ya vitabu vyake ndo viliwezesha Russia kwenda Mwezini.
Ndiye mwenye ile theory ambayo inasema ukienda kwa kasi ya Mwanga unaweza kusimamisha muda.
Ukienda kwa kasi zaidi ya mwanga unaweza kurudisha muda nyuma na ukajiona ukija.

Pole najua hujaelewa hapo..usijali,ni akili kubwa sana.

Ngoja nikulegezee..
Yaani hapa anamaanisha ukimchukua watoto wawili wa miezi 5 alafu mmoja wao ukamuweka kwenye chombo kinachoweza kukimbia kwa kasi zaidi ya mwanga,akienda kwa siku 5 akirudi duniani atakuwa na ileile miezi 5 na siku 5 lakini yule aliyemuacha duniani atakuwa na miaka 85.Umeelewa??

Pole ila najua kwambali kasomo kamekuingia nitakaelezea siku nyingine kama unataka katafute kitu kinaitwa ‘TIME TRAVELLER’ Utawasoma zaidi hawa watu.


Sasa huyo Einstein wa maajabu yote hayo ndo jamaa alikuwa anafananishwa naye.
Aliandika vitabu mashuhuri kuhusu sayansi vinavyolenga watu ambao si wanasayansi.
Ukivisoma lazima uwe na imani sana otherways unaweza kuanza kutoamini dini yako


PITA HAPA PIA
: PAKUA FILAMU THEORY OF EVERYTHING FILAMU INAYOHUSU MAISHA YA STEPHEN HAWKING

Hawking alikuwa profesa wa hisabati katika Chuo Kikuu cha Cambridge nafasi ambayo [HASHTAG]#IsaacNewton[/HASHTAG] aliwahi kuwa nayo.
Alistaafu tarehe 1 Oktoba 2009.
Newton nadhani tunamfahamu tulimsoma sekondari zile Law zake.

Dingi na mama yake walikuwa na akili sana pia,walikutana wakati wa kukaribia vita vya pili vya dunia.
wakati anasoma ndipo ugonjwa wake ulianza kujionyesha.
Alikuwa na shida katika kujinyoosha na kisha hata tu kutembea.
Hata hivyo, alimaliza PhD yake akaandika kuhusu mashimo meusi katika shahada yake.
Mashimo meusi(Blackholes) ni mashimo flani wanayasema wataalamu kuwa yapo angani.
Kwamba Mwanga unamezwa,yaani ni sehemu pekee giza linaushinda mwanga.tatizo hakuna picha iliyowahi kupigwa sababu ni nadharia ya kufikirika.

Alikuwa na ugonjwa wa chembe za neva unaohusiana na ulemavu wa akili unaosababisha mtu kuwa na shida ya kusoma na kuandika (Dyslexia kwa Kiingereza), na kwa sababu hiyo hawezi kutembea au kuzungumza vizuri. Ugonjwa huo ulizidi hata kuwa karibu kabisa na kupooza. Alitumia gurudumu kusonga, na kompyuta ya Intel ili kuzungumza.

Bado hatujajua Mungu ameamua kuonyesha ukuu wake au ni hali ya kawaida tu. Lakini jamaa ndo hivyo bana.

Huyo ndo Mtu Mzima Stephen Hawking, kwa uchache kwa zaidi unaweza kusoma kupitia Mitandao mbalimbali
Nicolas Tesla ndiye baba lao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom