Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,425
- Thread starter
- #201
Nimesoma zaidi ya mara nane hiyo kesi ya ya spidi ya mwanga nikatoka bila bila. Nikasema labda ni njaa, nikaenda kujilia ugali na bamia nikarudi tena kusoma kama mara nne hivi bado nimetoka kapa.Nimeamua kuacha maana nimegundua I'm not a targeted audience