Najua si watu wengi hapa kwetu wamejifunza lugha ya Kijerumani na wala siwalaumu walimu wetu wa Fizikia kwa kutolitamka vema jina la nguli wa hisabati na newtonian mechanics - Albert Einstein. Tafadhalini walimu na wanafunzi tamkeni jina lake hivi: ALBART AINSHTAIN. Kwenye sarufi ( grammar) ya kijerumani herufi s na t ( st) zikifuatana hutamkwa "sht" na e na i zikifuatana (ei) hutamkwa "ai".
Natumaini mtazingatia.
Natumaini mtazingatia.