CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,461
Najiuliza hivi kazi ya ulimi in IPI?Mada imegeuka kuwa ulimi wa mamba
!.
Najiuliza hivi kazi ya ulimi in IPI?Mada imegeuka kuwa ulimi wa mamba
Kupiga deki kwenye papuchi.Najiuliza hivi kazi ya ulimi in IPI?
!.
Umeongea UONGO kuhusu Mbung'o. Mimi nimeumwa sana na hawa wadudu Arusha na Singida kwenye mapori. Si kweli kuwa ni zaidi ya maumivu ya sindano ya hosp. Huo ni UONGO MKUBWA. ni maumivu ya kawaida ya kukera tu. Tulikuwa tunatembea na kukaa porini ambako mbung'o ni wengi sana . Huo ugonjwa pia umeukuza. Huwezi ukalala ukiwa unaoga. Labda uwe unaoga umelala majini. Si vizuri kudanganya na watu wazima wamo humu na wenye uzoefu wamo. SI VIZURI.hiyo inaitwa symboatic relationship
...kama alivyo ndege anaitwa buffalo weaver au cattle egret wanavyokula kupe na tsetse fly kwa wanyama wengine km nyati!
usiombe uumwe na mbungo(tsetse fly)ni zaidi ya sindano ya ospitali.ndio wanaoleta ugonjwa wa malale ule unakuwa unasinzia hata bafuni ukiwa unaoga
Halafu mbona nakusaka kimya eeh?..Anao ulimi ila umeshikana na hauzunguki kama wa kwetu
Kwa hiyo hana uwezo wa kuutoa nje kama wanyama wengine au binadamu
View attachment 1713370
Ulimi wa mwamba hauchezeki
Mamba anao Ulimi ila hawezi kuuchezesha.
Mada imegeuka kuwa ulimi wa mamba
Huyo hata kuhisi uwepo wake mdomoni, ahisi...!Lengo kupunguza njaa ndugu, ukiwa na njaa unaangalia wingi wa chakula kilichopo au unakula hicho wakati ukiendelea kutafuta kingine?
Mamba hana ulimiUlimi wa mwamba hauchezeki
Mamba anao Ulimi ila hawezi kuuchezesha.
Ulimi usiochezekaMada imegeuka kuwa ulimi wa mamba
Una uhakika Mkuu
View attachment 1713361
Anao ulimi ila umeshikana na hauzunguki kama wa kwetu
Kwa hiyo hana uwezo wa kuutoa nje kama wanyama wengine au binadamu
View attachment 1713370
Naona mmekuja na mapicha picha kabisaView attachment 1713345
View attachment 1713347
View attachment 1713346
View attachment 1713348
View attachment 1713349
View attachment 1713350
View all
Their tongues are not free, but held in place by a membrane that limits movement; as a result, crocodiles are unable to stick out their tongues. Crocodiles have smooth skin on
anafunga kuondoa usumbufu tuMamba huyu huyu mlafi hata nzi akiingia kinywani mwake fasta kafunga mdomo
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Harafu CCM wanamushusha haziMungu noma sana.
Sasa mkuu umepewa mpaka ushahidi wa picha na maelezo toka kwa walioamua kugooggle, bado unabisha, tatizo nini mkuu.Mamba hana ulimi
Wanasema Kila Sehemu Mungu HoyeeHarafu CCM wanamushusha hazi
Symbiotic: Mutualism.hiyo inaitwa symboatic relationship
...kama alivyo ndege anaitwa buffalo weaver au cattle egret wanavyokula kupe na tsetse fly kwa wanyama wengine km nyati!
usiombe uumwe na mbungo(tsetse fly)ni zaidi ya sindano ya ospitali.ndio wanaoleta ugonjwa wa malale ule unakuwa unasinzia hata bafuni ukiwa unaoga
Hakuna tatizoSasa mkuu umepewa mpaka ushahidi wa picha na maelezo toka kwa walioamua kugooggle, bado unabisha, tatizo nini mkuu.