Mfahamu ‘plover bird’, mswaki wa mamba

Moja kati ya jambo la kustaajabisha kwa kiumbe mamba ni kuwa hana ulimi, uchafu anaouzalisha kinywani kutokana na chakula anachokula husafishwa na ndege

Plover Bird ni ndege pekee ambaye huingia kinywani mwa mamba na mamba huwa hamli ndege huyu

Anachokifanya Plover kinywani mwa mamba ni kula uchafu unaokuwa kwenye meno ya mamba, hivyo huwa kama mswaki wake. Yeye hutoka akiwa ameshiba na mamba hubaki na kinywa safi

Ni jambo la ajabu katika utegemezi wa Mamba na Plover Bird kwa kuwa viumbe wengine wakiingia kinywani mwa mamba huwa wanaishia kuliwa

View attachment 1713019
Nitajaribu kupaka kiganja changu rangi ya uyo plover bird nikamuingize
 
Mamba hana ulimi

Una uhakika Mkuu
IMG_5948.jpg
 
Moja kati ya jambo la kustaajabisha kwa kiumbe mamba ni kuwa hana ulimi, uchafu anaouzalisha kinywani kutokana na chakula anachokula husafishwa na ndege

Plover Bird ni ndege pekee ambaye huingia kinywani mwa mamba na mamba huwa hamli ndege huyu

Anachokifanya Plover kinywani mwa mamba ni kula uchafu unaokuwa kwenye meno ya mamba, hivyo huwa kama mswaki wake. Yeye hutoka akiwa ameshiba na mamba hubaki na kinywa safi

Ni jambo la ajabu katika utegemezi wa Mamba na Plover Bird kwa kuwa viumbe wengine wakiingia kinywani mwa mamba huwa wanaishia kuliwa

View attachment 1713019
Mamba ana ulimi Ila hawezi kuutoa nje kwasababu umeshikiliwa na nyama kwenye taya ambazo hazihuruhusu kutoka nje zaidi ya kumove juu na chini. Ulimi huu mamba huutumia kuziba koromeo lake ili maji yasiingie ndani pale anapokamata na kulizamisha chini ya maji windo lake.
Mamba hatafuni Kama viumbe vingine, bali hukata mapande ya nyama ya windo lake na kuyasukumizia kwenye koo huku ulimi wake ukisaidia kusokomeza hayo mapande ya nyama tumboni.
Kwahiyo sio sahihi kusema kuwa mamba hana ulimi.
Egyptian plover bird ni rafiki wa mamba kwasababu wanasaidiana, ye anapata msosi wake while kinywa Cha mamba kinakuwa safi ili asipate infection ya bacteria kutokana na nyama zilizong'ang'ania katika meno yake. They help each other, kongole kwao😊
 
Moja kati ya jambo la kustaajabisha kwa kiumbe mamba ni kuwa hana ulimi, uchafu anaouzalisha kinywani kutokana na chakula anachokula husafishwa na ndege

Plover Bird ni ndege pekee ambaye huingia kinywani mwa mamba na mamba huwa hamli ndege huyu

Anachokifanya Plover kinywani mwa mamba ni kula uchafu unaokuwa kwenye meno ya mamba, hivyo huwa kama mswaki wake. Yeye hutoka akiwa ameshiba na mamba hubaki na kinywa safi

Ni jambo la ajabu katika utegemezi wa Mamba na Plover Bird kwa kuwa viumbe wengine wakiingia kinywani mwa mamba huwa wanaishia kuliwa

View attachment 1713019
Kumbe!

Sent from my TECNO BC1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom