witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,093
Mamba huyu huyu mlafi hata nzi akiingia kinywani mwake fasta kafunga mdomoHata akimla atashiba?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Mamba huyu huyu mlafi hata nzi akiingia kinywani mwake fasta kafunga mdomoHata akimla atashiba?
Kwwli kabisaukuu wa Mungu haulezeki
Kweli mkuuKwwli kabisa
Mungu ameumba viumbe na viumbe vinategemeana
Hata binadamu Kuna bacteria Wana faida kwetu, ndege mimea no
Hakuna kiumbe kinaishi bila kutegemea kingine
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Nitajaribu kupaka kiganja changu rangi ya uyo plover bird nikamuingizeMoja kati ya jambo la kustaajabisha kwa kiumbe mamba ni kuwa hana ulimi, uchafu anaouzalisha kinywani kutokana na chakula anachokula husafishwa na ndege
Plover Bird ni ndege pekee ambaye huingia kinywani mwa mamba na mamba huwa hamli ndege huyu
Anachokifanya Plover kinywani mwa mamba ni kula uchafu unaokuwa kwenye meno ya mamba, hivyo huwa kama mswaki wake. Yeye hutoka akiwa ameshiba na mamba hubaki na kinywa safi
Ni jambo la ajabu katika utegemezi wa Mamba na Plover Bird kwa kuwa viumbe wengine wakiingia kinywani mwa mamba huwa wanaishia kuliwa
View attachment 1713019
Mamba hana ulimi
Mamba ana ulimi Ila hawezi kuutoa nje kwasababu umeshikiliwa na nyama kwenye taya ambazo hazihuruhusu kutoka nje zaidi ya kumove juu na chini. Ulimi huu mamba huutumia kuziba koromeo lake ili maji yasiingie ndani pale anapokamata na kulizamisha chini ya maji windo lake.Moja kati ya jambo la kustaajabisha kwa kiumbe mamba ni kuwa hana ulimi, uchafu anaouzalisha kinywani kutokana na chakula anachokula husafishwa na ndege
Plover Bird ni ndege pekee ambaye huingia kinywani mwa mamba na mamba huwa hamli ndege huyu
Anachokifanya Plover kinywani mwa mamba ni kula uchafu unaokuwa kwenye meno ya mamba, hivyo huwa kama mswaki wake. Yeye hutoka akiwa ameshiba na mamba hubaki na kinywa safi
Ni jambo la ajabu katika utegemezi wa Mamba na Plover Bird kwa kuwa viumbe wengine wakiingia kinywani mwa mamba huwa wanaishia kuliwa
View attachment 1713019
Uzi murua kabisa unashibisha ubongo sio kila muda Bashiru na teuzi
Ipo Siku!!
Ulimi wa mwamba hauchezekiMamba anao ulimi. Ila wanyama na ndege wanasaidiana
Mamba anao Ulimi ila hawezi kuuchezesha.Mamba hana ulimi
Kumbe!Moja kati ya jambo la kustaajabisha kwa kiumbe mamba ni kuwa hana ulimi, uchafu anaouzalisha kinywani kutokana na chakula anachokula husafishwa na ndege
Plover Bird ni ndege pekee ambaye huingia kinywani mwa mamba na mamba huwa hamli ndege huyu
Anachokifanya Plover kinywani mwa mamba ni kula uchafu unaokuwa kwenye meno ya mamba, hivyo huwa kama mswaki wake. Yeye hutoka akiwa ameshiba na mamba hubaki na kinywa safi
Ni jambo la ajabu katika utegemezi wa Mamba na Plover Bird kwa kuwa viumbe wengine wakiingia kinywani mwa mamba huwa wanaishia kuliwa
View attachment 1713019
Nature haijawahi kuwa na akili!Kuna mambo ambayo ni nature tuu na yanastaajabisha
Mamba hana ulimi.Mamba anao ulimi. Ila wanyama na ndege wanasaidiana
Lengo kupunguza njaa ndugu, ukiwa na njaa unaangalia wingi wa chakula kilichopo au unakula hicho wakati ukiendelea kutafuta kingine?Hata akimla atashiba?