CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,461
Aisee ni kweli,ulimi ni kama kiuno.Naongezea kama nitakuwa sahihi.
Kukipa chakula umbo litakalopita katika njia ya chakula kirahisi. Meno utafuna na ulimi uzungusha chakula kwa mdomo na kusaidia katika umezwaji wa chakula