Mfahamu ‘plover bird’, mswaki wa mamba

Naongezea kama nitakuwa sahihi.
Kukipa chakula umbo litakalopita katika njia ya chakula kirahisi. Meno utafuna na ulimi uzungusha chakula kwa mdomo na kusaidia katika umezwaji wa chakula
Aisee ni kweli,ulimi ni kama kiuno.
 
Acha kudanganya watu. Mamba(crocodile) hana ulimi, mwenye ulimi Ni Alligator. Hayo mapicha picha siyo mamba ni alligator ambaye kama humjui unaweza kushindwa kumtofautisha na mamba. Kuna Croc na Alligator.
We binadamu una ubishi usio na maana. Ubishi wa kijinga!
Pamoja na kupewa references kibao, bado endelea kubisha tu.

Sent from my TECNO BC1 using JamiiForums mobile app
 
Naongezea kama nitakuwa sahihi.
Kukipa chakula umbo litakalopita katika njia ya chakula kirahisi. Meno utafuna na ulimi uzungusha chakula kwa mdomo na kusaidia katika umezwaji wa chakula
Ni sahihi, according to form 3 biology
 
Plover Bird ni ndege pekee ambaye huingia kinywani mwa mamba na mamba huwa hamli ndege huyu

Anachokifanya Plover kinywani mwa mamba ni kula uchafu unaokuwa kwenye meno ya mamba, hivyo huwa kama mswaki wake. Yeye hutoka akiwa ameshiba na mamba hubaki na kinywa safi

Ni jambo la ajabu katika utegemezi wa Mamba na Plover Bird kwa kuwa viumbe wengine wakiingia kinywani mwa mamba huwa wanaishia kuliwa
Halafu mtu anasimama na kusema ati hakuna Mungu,

Symbiosis at work
 
Moja kati ya jambo la kustaajabisha kwa kiumbe mamba ni kuwa hana ulimi, uchafu anaouzalisha kinywani kutokana na chakula anachokula husafishwa na ndege

Plover Bird ni ndege pekee ambaye huingia kinywani mwa mamba na mamba huwa hamli ndege huyu

Anachokifanya Plover kinywani mwa mamba ni kula uchafu unaokuwa kwenye meno ya mamba, hivyo huwa kama mswaki wake. Yeye hutoka akiwa ameshiba na mamba hubaki na kinywa safi

Ni jambo la ajabu katika utegemezi wa Mamba na Plover Bird kwa kuwa viumbe wengine wakiingia kinywani mwa mamba huwa wanaishia kuliwa

View attachment 1713019
 
Back
Top Bottom