Meseji ndio njia rahisi ya kutongoza mwanamke

Meseji ndio njia rahisi ya kutongoza mwanamke

Prince Akeem,

Hii saundi la sms ni kama alternative tu kama huna mkwanja wa bagamoyo au gari inakuaje, usidhan kila mtu mshua bana kuna wengine wabishi ndo maana tunakula urefu wetu bana!!
 
Last edited by a moderator:
Ngoja ukutane nae LIVE utaskia "aam ndo wewe? BIG NO!"
 
Imewasaidia wengi sana wengine hawataki kusema ukweli wanakuponda tu....ila ukweli wanaufahamu...
 
Hii saundi la sms ni kama alternative tu kama huna mkwanja wa bagamoyo au gari inakuaje, usidhan kila mtu mshua bana kuna wengine wabishi ndo maana tunakula urefu wetu bana!!

braza bagamoyo ni kiwakilishi. hata getoni panatosha na mnapika chai
 
Wengine madomo zege kutongoza mpaka on bed. Alikutongoza kwa msaada wa mtandao.., ukimpa gemu hajui aanzie wapi. Domo zege kila sehemu. Shidaaa
 
Ni raha kweli, manake unaweza kukuta mnatongoza watu watatu kwa wakati mmoja halafu wala hujui...
 
Niaje niaje humu ndani.

Kuna mtoto najaribu kumuweka sawa hapa kwa message yani sound linamuingia mpaka raha, maana anaelewa mno,face to face inakuwa ngumu kidogo si rahisi kudanganya lakini kwenye message unatiririka tu kama kawaida.Na pia chance ya kuwa rejected ni chache sana maana unamwaga uongo wote kwa maandishi.

No offence just an opinion.

Kutongoza kwa sms ni usumbufu sana, enzi zangu natwangia simu, namchukua dinner nice restaurant, huku tunashusha msosi tunaulizana masuali in personal, about life and general, tukimaliza dinner hapo tushajuana vizuri, hapo naamua take it or dump, kama take it lazima nitoke na kiss, kama dump chap chap nampandisha bus, ha haa
 
nyie ndio ambao hamuwezi kujieleza mkiwa karibu na mwanamke
 
Angalia hizo message unazotuma isijekuwa hujibiwi na huyo mlengwa, huenda ni boy friend wake unae jibizana nae. Mi ilisha nitokea hyo nimekoma hiyo kitu, mbaya zaidi niliombwa pesa kwa m-pesa nikatuma, halafu baada ya hapo likaniambia nikome kutongozatongoza, nisione vyaele. Kwakasi ya mzuka nikapiga simu voda wanimuvushie back pesa yangu nao bila hiana wakanirudishia nami nikanusurika kuliwa pesa na dume mwenzangu.
 
Wengine madomo zege kutongoza mpaka on bed. Alikutongoza kwa msaada wa mtandao.., ukimpa gemu hajui aanzie wapi. Domo zege kila sehemu. Shidaaa

Una bahati mbaya kukutana na madomozege kila idara aisee!! Jaribu tena usichoke!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom