utandawazi unatuletea madomo zege kibao ase raha ya mtongozo nikuone huko usoni
Mie mbona huwa sitongozi nikishika mkono tuu basi tunaenda
Mtufundishe madomo zege kutongoza
Domo zito afu hujiamini....
unitongoze kwa sms kwani mi bubu??? raha ya tongozo liwe LIVE
Mizigo mingi inaliwa kwa mahusiano kuanza kwa message iwe jf,text za kawaida au whatsapp,wengi wamemegwa sana japo hapa wanapondea domo zege.
Mie mbona huwa sitongozi nikishika mkono tuu basi tunaenda
Domo Zege Mzigo!
mpaka leo hii mnatongozana?
Mitongozo ya kavukavu bila simu imepungua sana siku hizi,hata wanaozani ni mashujaa wa kutongoza hapa sidhani kama wanaongea ukweli
Mtufundishe madomo zege kutongoza
Unaona raha kwa kuwa ni domo zege pia na mtoto ni mjanja wa mjini ukute anakupa majibu mazuri na ya mvuto basi mwenyewe unajua ume-win ngoja uombe appoitment sasa utakomaje na kuchomeshwa mihogo, sms inatakiwa iwe ni muendelezo baada ya ku-introduce subject.