miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,109
Kwa heshima na taadhima, ebu tupia maujanja hapa, siku hizi wanafanyaje ili kupeana gemu?
Tamthilia tu na out ya hapa na pale over
Kwa heshima na taadhima, ebu tupia maujanja hapa, siku hizi wanafanyaje ili kupeana gemu?
isitoshe hajui km na yy kamgundua kwahy anamtest tu.
Mwanaume wa kweli hatongozi ,anatengeneza mazingira by hitting the girl's psychology .... hayo ya kutongoza ni mbwembwe tu and old school enzi hizi...
siku hizi ni tukutane mgahawa fulani,unamkalisha mpaka usiku,mnalala pamoja. mambo ya meseji na kutongozana kwa kusifiana sura hakuna miss chagga
siku hizi ni tukutane mgahawa fulani,unamkalisha mpaka usiku,mnalala pamoja. mambo ya meseji na kutongozana kwa kusifiana sura hakuna miss chagga
Kwani wanawake wote ni wa staili hizo aisee
Mie mbona huwa sitongozi nikishika mkono tuu basi tunaenda
Tamthilia tu na out ya hapa na pale over
siku hizi ni tukutane mgahawa fulani,unamkalisha mpaka usiku,mnalala pamoja. mambo ya meseji na kutongozana kwa kusifiana sura hakuna miss chagga
sasa hii ni rahisi sana, kama mwanaume atashindwa kupata kei kimtindo huu, basi yeye ni super 'domo zege'.
Ile ya kutongoza kwa mdomo zamani, inahitaji kipaji, lazima ujue kupanga maneno na mida fulani uongo kuufanya uwe kama kweli, na kuukremisha huo uongo!!
Achana na kile kizazi cha barua, naongelea kizazi cha kati hapa kabla ya digitali.
Unatafuta jina lake unamtafuta facebook broMimi demu akininyima namba yake hata kumtongoza inakuwa bye bye