- Thread starter
- #81
braza bagamoyo ni kiwakilishi. hata getoni panatosha na mnapika chai
Haya mkuu nimekusoma bana..
braza bagamoyo ni kiwakilishi. hata getoni panatosha na mnapika chai
Hii njia ya sms ni tamu sana,nilishaopoaga mtoto mmoja mzur na laini sana kwa maujanja haya
Nshapewa mpaka "point 3". Unasema ananitest vipi tena hapa Me too wakati nshafanikiwa mara kibao aisee
bac huyo ni wa sarafu na sio wa noti.
mpaka leo hii mnatongozana?
Mmmmhhhhh!!!!
hata Mimi nimeshangaa sana
Domo zege nae ana raha zake. Sio janaume likavu hata hamjazoena kiasi cha kuwa huru kutaniani miadi ya kwanza tu linakuuliza
"Umemaliza lini kubleed? Leo vipi uko poa?"
Khaa...!! Kichefuchefu
kwani we kubleeed umemaliza lini?
nyie ndio ambao hamuwezi kujieleza mkiwa karibu na mwanamke
Niaje niaje humu ndani.
Kuna mtoto najaribu kumuweka sawa hapa kwa message yani sound linamuingia mpaka raha, maana anaelewa mno, face to face inakuwa ngumu kidogo si rahisi kudanganya lakini kwenye message unatiririka tu kama kawaida.
Na pia chance ya kuwa rejected ni chache sana maana unamwaga uongo wote kwa maandishi.
No offence just an opinion.
I agree wit u 500%...kutongoza kwa msg raha sanaaa....hasa mkiwa whatsapp.. Haimaniishi mtu domo zege nah its just interesting....
Unaweza meet na dem for tha first tym mka exchange dials mka chat sanaa...mkija meet tena it feels like mmejuana for years nd if ur good u might steal a kiss even sex on tha 2nd date...
Wengi mnaponda tu tatizo mmezoea miguvu na kujitia umwamba.
Kwa sms ipo very romantic.
Ila ndio ujue kupangilia mistari sasa, sio unafoward mashairi ya Mloka.
Utachefua.
Domo zege nae ana raha zake. Sio janaume likavu hata hamjazoena kiasi cha kuwa huru kutaniani miadi ya kwanza tu linakuuliza
"Umemaliza lini kubleed? Leo vipi uko poa?"
Khaa...!! Kichefuchefu