Meseji ndio njia rahisi ya kutongoza mwanamke

Meseji ndio njia rahisi ya kutongoza mwanamke

Angalia hizo message unazotuma isijekuwa hujibiwi na huyo mlengwa, huenda ni boy friend wake unae jibizana nae. Mi ilisha nitokea hyo nimekoma hiyo kitu, mbaya zaidi niliombwa pesa kwa m-pesa nikatuma, halafu baada ya hapo likaniambia nikome kutongozatongoza, nisione vyaele. Kwakasi ya mzuka nikapiga simu voda wanimuvushie back pesa yangu nao bila hiana wakanirudishia nami nikanusurika kuliwa pesa na dume mwenzangu.

Ukiona hvyo una nyota ya kuliwa Kabang almaaruf tiGO....
Ni nadra sana kijana mtu mzima kutegeka kishamba hvyo.
 
That's what I am talking about mkuu, yan umemaliza kila kitu.. Asante sana..

Watu humu tatzo wana date ma kopo ya mtaani choka mbayaaa, njaa kali, madem wenye miguu ina vigimbi ka skuna za shangingi....
Huwez pata mtoto standard ya karne hii, mtoto mzuri, classic nd intellectual....kama huja build rapport nae via chatting / sms for sumtym. Thats tha tym she gets to understand and kno u better....
Akipenda ur nature nd standards zako atakubali uwe una meet nae often...sasa huko we unafanya kuhitimisha tu....Note: Dem mwenye standards hata siku moja hawez kukuambia " nimekubali, nataka mi na ww tuwe wapenzi. " Naaah utajua amekubali from her reactions nd the things she does to u. Sasa ukishaona hyo kitu keep tha momentum going....nd always note what made her like u....
Kuna watoto hawa maindishi hongo za kishamba sijui lunch sijui nini...Nah ukitaka kujua mtoto kazimika utaona ye mwenyewe ana insist kuja ghetto/home kwako.
Kuna watu wanang'oa mizigo hawana hata baiskeli...its ur nature that kills them.
 
Watu humu tatzo wana date ma kopo ya mtaani choka mbayaaa, njaa kali, madem wenye miguu ina vigimbi ka skuna za shangingi....
Huwez pata mtoto standard ya karne hii, mtoto mzuri, classic nd intellectual....kama huja build rapport nae via chatting / sms for sumtym. Thats tha tym she gets to understand and kno u better....
Akipenda ur nature nd standards zako atakubali uwe una meet nae often...sasa huko we unafanya kuhitimisha tu....Note: Dem mwenye standards hata siku moja hawez kukuambia " nimekubali, nataka mi na ww tuwe wapenzi. " Naaah utajua amekubali from her reactions nd the things she does to u. Sasa ukishaona hyo kitu keep tha momentum going....nd always note what made her like u....
Kuna watoto hawa maindishi hongo za kishamba sijui lunch sijui nini...Nah ukitaka kujua mtoto kazimika utaona ye mwenyewe ana insist kuja ghetto/home kwako.
Kuna watu wanang'oa mizigo hawana hata baiskeli...its ur nature that kills them.

True that bro
 
Hahahahahahah.. Hakuna njia rahisi ya kutongoza kama ana kwa ana... Napenda sana ukimbana mwanamke kwa mistari mizito ambayo hawez kataa anapata shida kukujibu Mara utasikia ntakujibu au nawahi kule mda haupiti anakutumia text BABY NAKUPENDA... Lakn SMS so ni sawa tu na ile njia tuliyotumia zaman ya barua..!?

Humu kuna mdada nimeona anasema baptist ni ZEGE wakat yy nilimtongoza humu humu na nikamtia.. SHAME ON HER
 
Hahahahahahah.. Hakuna njia rahisi ya kutongoza kama ana kwa ana... Napenda sana ukimbana mwanamke kwa mistari mizito ambayo hawez kataa anapata shida kukujibu Mara utasikia ntakujibu au nawahi kule mda haupiti anakutumia text BABY NAKUPENDA... Lakn SMS so ni sawa tu na ile njia tuliyotumia zaman ya barua..!?

Humu kuna mdada nimeona anasema baptist ni ZEGE wakat yy nilimtongoza humu humu na nikamtia.. SHAME ON HER
hahahah umeuwa mkuu! Tatizo watu wanajichanganya kwa kutokuelewa! Nashukuru kama una mfani hai!!
 
Ukiona huwezi kusema kile ambacho moyo wako unataka useme ujue hujafikia wakati wa kufanya hivyo.So the best way ni kusubiri wakati muafaka hayo maneno hata hautayatafuta yatakuja yenyewe tuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom