Mwenzio akinyolewa wee tia maji. Naamini sasa tunaelekea kule Harare. Mambo ya kuelekeza Meremeta jeshini ili wananchi washindwe kuhoji ni ujinga. Kama jeshi liko chini ya serikali iliyowekwa na watanzania, basi hawana budi kujibu haya maswali. Ni mradi gani unaweza kuwa siri kwa watanzania kama ni wa kujiendeleza? Watu hawawezi kuendekeza UFISADI kwa mgongo wa Usalama wa Taifa. Huu ni utumbo kama Waziri Mkuu anakuwa na jibu kama hili kwa watanzania. Jamani watanzania tulidhani kama huyu jamaa ni mkweli, muadilifu n.k kumbe na yeye naye ni ka-bomu fulani ambako kameanza kuchemka. Kadri siku zinapokwenda kuna hatari ya haka ka-bomu kuzidi kutoa mionzi yenye athari kubwa kwa watanzania. Mafisadi tayari walishamnywesha mchuzi, na sasa muda mfupi tu tayari ameshasahau kutambua kuwa anawatumikia Watanzania wote na si kikundi kidogo cha watu wenye nia ya kuifilisi Tanzania. Sasa baada ya miaka 2 atakuwaje??
Warioba hayuko meremeta yuko mwnanchi Gold.
mnahukumu watu mapema sana.... ningekuwa mimi nyinyi ningesubiri nimsikie Zitto atakapotoa mchango wake Bungeni, theni ningejajudge kile. Alichosema hapa ni kuzungumza na washkaji zake n.k lakini tunataka kujifanya kama tuko kwenye Bunge letu wenyewe ambapo ni baraza la wenye haki, wasiokosea. Tunajigeuza kuwa self rightious to the point kwamba we have to be right. No room for mistakes or erros.
I have been wondering a lot... and I continue to wonder. Hekima inatulazimisha kutofanya haraka kuhukumu ili tutakapotoa hukumu basi iwe ni hukumu inayokaribiana na haki kweli.
CCM sio chama cha magaidi mimi sio gaidi na mwanachama wa CCM, lakini magaidi wachache ndani ya CCM tunawajua na tuko njiani kuwafanyia kazi ingawa sio rahisi, tizama hii topic utaona vizuri wanajua vizuri kuhusu Meremeta lakini wanajaribu kutudanganya hapa,
siku zenu zinakaribia kufika mwisho, kumshinikiza pinda aseme uongo haina maana mnatudanganya wote sisi wananchi kuna tulioamka na tunaujua ukweli!
mnahukumu watu mapema sana.... ningekuwa mimi nyinyi ningesubiri nimsikie Zitto atakapotoa mchango wake Bungeni, theni ningejajudge kile.
... Tunajigeuza kuwa self rightious to the point kwamba we have to be right. No room for mistakes or erros.
Hahaha,
Unataka kunifanya Augustino Ramadhani siyo?
OK, wacha niwe Jaji Mkuu.
Probably the diplomatic type, muheshimiwa Zitto ukimfuatilia hapa anaonyesha kuwa mpinzani fulani mwenye core beliefs katika respect for authority.At a time when one may expect prominent opposition leaders to rightfully unleash salacious and even malicious tirades against the president, muheshimiwa Zitto distinguished himself arguably reasonably amicably by cautioning people here to "Respect the presidency if not the president himself". Those were some notable words, especially coming from his side of the power divide. My austere "see good in everybody" default philosophy wants to believe this, and unless a trend is established I will have to defer to this and give muheshimiwa the benefit of the doubt.
Having said that, muheshimiwa Zitto is not outside the domain of all politicians, a lot that is characteristically driven by ambition. Ambition can allow some azzkissin to the extent of excusing an obvious "error" under the guise of "PM kadanganywa"
dugu mushi
mimi sikutetei wewe au zito or who ever, kitu kikubwa hapa ni kutumia busara, na kwenda mbele.
na hapa usifikiri kama vitu vyote anavyo sema zito nakubaliana nae au vipi, au utakacho ongea wewe na uki-deal na kitu concetrate na kimoja, usiwe kama amerika unapigana irak , afaghanistan nna vyote vimemshinda huku ana zungumzia iran.jifunze kuisha na watu wa kila aina bila kuharibu integrity yako.
nafikiri kwa haya maelezo yangu mafupi imenielewa.
Mkuu,
Chochote kile Zitto (Mh.) atakachokisema Jumatatu, chochote kile, ameshatuambia tayari kwamba itakuwa ni kuwa call out wanao mdanganya Pinda. Tatizo sio Pinda, Mbunge anasema. Wengine tunamkosoa kwa kusema tatizo sio Pinda. Hilo halihitaji kusubiri maelezo. Kesha lisema. Wakati wengine - na wewe ukiwemo - tumedhani Pinda kaharibu.
Mwanakijiji hilo umesha likubali, na umeenda kwenye rekodi kwa mara ya kwanza leo kusema Pinda ana mushkeli kwa kutoleta ukweli. Hapa, Zitto (Mh.) kasema tatizo sio Pinda. Kwa hiyo wewe, logically, lazima utafautiane na Zitto (Mh.).
Aidha hivyo, au useme umekurupuka kumshutumu Pinda. Mwombe msamaha Pinda kwa kumfungulia thread ya kumkosoa kwa mara ya kwanza toka achaguliwe. Hii si maoni yangu. Ni masharti ya logic. Aidha Zitto kakosea kumtetea Pinda au wewe umekosea kumkosoa Pinda. Simple mathematics. Chagua sumu yako mtu wangu!
Hizi data ambazo wengine humu tunakuwa kama tunazihodhi tunazipataje kama hatushirikiani nao kwa namna moja ama nyingine. Kwa sababu tunajua wazi kwamba katika prevailing atmosphere these guys (CCM) are acting with impunity. With or without dataz nothing will happen so to hoodwink us even more they will continue to bombard us piecemeal with the so called dataz. Wabunge wengine hivi sasa wanatumiwa kukurupuka na scathing attacks ku preempt malalamiko ya wananchi, beware, kwani hata humu JF wamo.
Can you imagine hata REDEP inaweza kutumiwa kuisifu ofisi ya raisi na wakati huo huo kuiponda serikali iliyoundwa na raisi huyo huyo. Kuna wengine humu wanatuzuga kwa sababu zao ambazo hata hivyo are bound to fail because you cant do it to all the people all the time. Tanzania ninayoilia haitapatikana ndani ya CCM kama ilivyo. Siku njema wana JF.
Mkuu,
Chochote kile Zitto (Mh.) atakachokisema Jumatatu, chochote kile, ameshatuambia tayari kwamba itakuwa ni kuwa call out wanao mdanganya Pinda. Tatizo sio Pinda, Mbunge anasema. Wengine tunamkosoa kwa kusema tatizo sio Pinda. Hilo halihitaji kusubiri maelezo. Kesha lisema. Wakati wengine - na wewe ukiwemo - tumedhani Pinda kaharibu.
Mwanakijiji hilo umesha likubali, na umeenda kwenye rekodi kwa mara ya kwanza leo kusema Pinda ana mushkeli kwa kutoleta ukweli. Hapa, Zitto (Mh.) kasema tatizo sio Pinda. Kwa hiyo wewe, logically, lazima utafautiane na Zitto (Mh.).
Aidha hivyo, au useme umekurupuka kumshutumu Pinda. Mwombe msamaha Pinda kwa kumfungulia thread ya kumkosoa kwa mara ya kwanza toka achaguliwe. Hii si maoni yangu. Ni masharti ya logic. Aidha Zitto kakosea kumtetea Pinda au wewe umekosea kumkosoa Pinda. Simple mathematics. Chagua sumu yako mtu wangu!
Mkuu,
Chochote kile Zitto (Mh.) atakachokisema Jumatatu, chochote kile, ameshatuambia tayari kwamba itakuwa ni kuwa call out wanao mdanganya Pinda. Tatizo sio Pinda, Mbunge anasema. Wengine tunamkosoa kwa kusema tatizo sio Pinda. Hilo halihitaji kusubiri maelezo. Kesha lisema. Wakati wengine - na wewe ukiwemo - tumedhani Pinda kaharibu.
Mwanakijiji hilo umesha likubali, na umeenda kwenye rekodi kwa mara ya kwanza leo kusema Pinda ana mushkeli kwa kutoleta ukweli. Hapa, Zitto (Mh.) kasema tatizo sio Pinda. Kwa hiyo wewe, logically, lazima utafautiane na Zitto (Mh.).
Aidha hivyo, au useme umekurupuka kumshutumu Pinda. Mwombe msamaha Pinda kwa kumfungulia thread ya kumkosoa kwa mara ya kwanza toka achaguliwe. Hii si maoni yangu. Ni masharti ya logic. Aidha Zitto kakosea kumtetea Pinda au wewe umekosea kumkosoa Pinda. Simple mathematics. Chagua sumu yako mtu wangu!
humu ndani wote wana hekima, lakini "hekima" za wengine ni za kupuuza!! Kwa mwelevu upenda kusoma zaidi ya ku-type keyboard!!
Pundit, i beg your pardon. Sio joker...... kuna kitu zaidi ya hapo. Kadanganywa vibaya sana. Bunge, lisiambiwe ni usalama wa Taifa. Kamati ya Rais ya Madini inaambiwa.... usalama gani wa Taifa kwa watu ambao hata hawajala kiapo cha kuficha siri? Usalama gani wa Taifa mbele ya wafanyabiashara wasio wabunge na wengine hawajawahi kuwa katika utumishi wa Umma. Kuna distortions from the government side and from the opposition side. Now the whole truth has to be said. HAKUNA USALAMA WA TAIFA. Nipo Kigoma, narudi huko. Mungu aniweke tu.... Nasema hapa ilki iwe wazi na sina cha kuficha ili niibuke tu Bungeni.
Its not about Pinda, its the nation. Our country!
Kuhani, je kama Mh. Zitto katika muda wake toka habari hii ifike hapa amefanikiwa kuongea na Mh. Pinda lakini contents za maongezi hataki kuzitoa hapa, ila ameamua kusema tu kuwa 'tatizo siyo pinda,' ila wanaomdanganya.... je hapo Mh. Zitto ana haki ya kusema hivyo?