Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,093
- 43,281
niko hapa KLH na nimetoka kusikiliza kibao cha "naota naota nadanganywa eh"....
niko hapa KLH na nimetoka kusikiliza kibao cha "naota naota nadanganywa eh"....
Mkapa Unahatarisha Usalama Wa nchi yetu.............
Ndiyo jina Ambalo analipenda a.k.a Wa kusifiwa na ndiyo maana hata Kabadili Muonekano wake katika Picha.Huyu ndiye anataka aonekane yeye yu safi kwa kuwatumia watu kumsemea.Tunajua yeye ndiye anayewatuma hawaMagwiji ehe!! Tafadhalini sana tena sana acheni kumwita huyu jambazi na fisadi namba moja muungwana!!
si kwa mbali tena, tumeshamjua vilivya na kwakweli hatumtaki tena anatia kichefuchefu tuu....
For decades, Pinda was a tried and trusted aid of Presidents.
Hardly learned a thing!
Well.. tukubali yaishe? je tumezugwa tukazugika...? je tuwazirie nchi kwa sababu wanataka hivyo?
mkuu unaweza ukatupa angalau mwangaza wa vichwa ngumu vilivyopo kwenye Meremeta yaani list nzima ya vigogo wanao kula mgao huko.
Magwiji ehe!! Tafadhalini sana tena sana acheni kumwita huyu jambazi na fisadi namba moja muungwana!!
hapa sijaelewa, alikuwa na maana ya Jambo Forums aka Jamii Forums?SIJA edit: Pinda anasema:
Mimi siwezi kuingia katika jambo technical, .
hapa sijaelewa, alikuwa na maana ya Jambo Forums aka Jamii Forums?