MwanaHabari
JF-Expert Member
- Nov 9, 2006
- 442
- 13
ndiyo nimesoma sasa hivi, huu ni usanii wa hali ya juu...tutasikia EPA nazo hela zilitumika na Jeshi. Sasa si am-implicate amiri jeshi mkuu kwa kusema hivyo?---->ex-bosi wake BWM
Binafsi siwezi kumalaumu pinda, kwa sababu ninaiangalia kwa makini sana our system ya siasa na utawala, who is pinda? Hapa Jf hakuna aliyehusika na kumchagua pinda, alichaguliwa na rais, wengi hapa tulisema tumpe muda tuone, sasa muda umefika na ukweli uko wazii kwamba ni wale wale yaani mazumbukuku na limbukeni wa power,
Anawaogopa waliompa power masikini wa Mungu hajui kuwa akisimamia wananchi anaweza kuwatupa waliompa power na hata kuwafunga, haelewi kuwa yeye sasa ndiye mwenye power, wakatuambia kuwa huyu amefanya kazi na Mwalimu, akaenda mpaka makanisani kupewa Rosary na Mama Maria, ndio maana tulisema hata hawa Nyerere waliobaki nao wameanza kuwa mafisadi,
Sasa huyu naye ni wale wale, hakuna matumaini kabisaa hata hiyo ripoti ya Richimonduli itakuwa yale yale watch atasema kuwa ni ishu ya bunge sio ya wananchi, sasa katika vacuum ya who to trust wananchi tunafanya nini? Tunarudi kuwalilia kina Mwakyembe na mama Kilango kuwa tunawaomba wajitahidi hivyo hivyo kuwapigia kengele mafisadi, na sisi tuko nyuma tunawafichua, ngoja niingie kutafuta dataz ya kinachojiri huko bungeni sasa,
Wananchi tumeliwa kwenye hili la Meremeta!
hatatachomoka, hatuta kubali, liwalo naliwe hatuwezi kutukanwa hivi.. tena kila siku... ohh pesa za EPA si za umma oooh meremeta siri ya jeshi, nani alimtuma aibe.. nyie hamjui kuwa si muda mrufu mnasbbsha mauaji ya watu badala ya mkapa pekee afungwe... hivi hamjajifunza yaliotokea tabata dampo juzi usiku????
kwi kwi kwi
hicho choo cha kike ni kipi tena?
Hawajui kuwa Muda umewadia. Huwezi kumbana mtu kwenye ukuta siku zote, kuna siku ata-Retaliate, and use whatever means necessary.
yaani unapelekwa sehemu ambayo sio yako
kwa mbali sasa inaanza kuonekana.
SIJA edit: Pinda anasema:
MEREMETA, Tangold, Ngeleja naona tutamuonea. Kwa mazingira ya jambo lenyewe suala la Meremeta limejikita ndani ya JWTZ, haukuwa mradi tumeukuta uraiani in unique situation... mimi kuanza kusema kila kitu siwezi.... Ni suala linalohusiana kwa karibu sana na mambo ya ulinzi na usalama wetu, ni lazima tulilinde,,, Kama mtaona inatosha sawa, kama mnataka kunisulubu nitakuwapo pale kwa ajili hiyo
EPA naona ina mvuto mkubwa sana. Kuna fedha ambazo watanzania wanataka kujua zimetokaje BOT, mradi zilikua BoT katika chombo cha serikali, haiwezekani ukamwachia mtu tu akachukua hizo fedha,. Hoja hapa zimekwenda kwa nani, utaratibu umefuatwa? Rais kasema tumwachie, wote tuna interest, sasa kwa mtazamao wangu shauku ni kubwa, watu wangependa leo, nafirikri tufanye subira, muda wenyewe umekwisha labda sana sana watasema muda uongezwe, lakini hapo baadaye tutaulizana maswali oooh zilikuwa za mhindi, ooh zilikua za nani!!! Naomba nitoe rai kwa muda uliobaki tusubiri. Nitakwambia sijui, hata mimi Mwanyika nikimuuliza anasema... Liko la Ballali marehemu na Slaa, serikali itoe taarifa, halafu kuna mahali alisema Slaa, kutotoa taarifa kaa tunachezea, angetamani iundwe kamati ya kuchunguza kifo cha Ballali! Sasa sijui lakini naelewa iko connected kwamba alijua siri, hili wazo kuhusu usiri kama kwamba BAllali ... huyu mtu amefariki na ndugu zake wanasema amefariki, sasa kuendelea kumzungumza huyu marehemu. Kifo chake hofu iko wapi? Labda muombe postmortem, nani asiyejua kwamba hakuwapo. Tungoje taarifa ya mapesa yetu, kama watamtaja basi tungoje, Mkisema niseme, labda ndugu zake, lakini si serikali, hamtutendei haki. Na kwa merehemu akifa, kwa kweli ngumu sana.... Nadhani kwa sasa serikali haioni sababu ya Kamati, EPA kama anahyusika atatajwa tu... Hawa wanasukuma ajenda wana sababu tu. Kama kuna ushahidi zaidi ya tulio nao mtu anaweza kuuleta tukautazama.
KIWIRA nalo mimi najua Dk. Slaa akisema mpaka unaogopa... Wakaniletea maelezo marefu sana. Wakaleta itakusaidia? Mimi siwezi kuingia katika jambo technical, nilidhani ili kuwapa fair pix hii Kiwira, mturuhusu, Ngeleja aje na kauli ya serikali ili apate muda wa kulizungumza kwa upana wake, ili kujua ... Kiwira wakati ikiuzwa ilikua dead proj ilikua katika hali mbaya sana.. Ili tuweze kuwa na benefit ilikuwa smooth exercise ilikuwa interest kupata mwekezaji, ningeomba nipate more details.
Well.. tukubali yaishe? je tumezugwa tukazugika...? je tuwazirie nchi kwa sababu wanataka hivyo?
Kwanini leo Sitta Hakuwepo,Huu ndiyo Mgawanyiko tuliokuwa tunausema..Hyu Mama Makinda yupo pale kwa Maslahi ya wezi..Hata kama anasifika Yeye ni mtaalam wa mambo ya Anga.
Aache kutufanya siye Mazezeta..Huu Ni Mtego unasao,
Ndugu watanzania,
Ninazidi kumjua Vizuri Muungwana ni mtu wa Namna Gani,ataki alaumiwe na watanzania ili abaki kuwa shujaa wakati hizi ni siasa za kizamani na zisizo na Msingi.