Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,999
Hivi hamjajiuliza ni kwanini sheria ya madini ilipitishwa mwaka 1998? Na kwanini hadi leo ni vigumu kuibadilisha? Hivi mnafikiri tukianza kuchimba mafuta Mkuranga haitakuwa kama Delta ya Nigeria? Hawa watu wana nguvu kubwa kuliko watu wanavyofikiria.
Hivi mnaelewa kwanini wanapenda kutumwagia misaada ya mabilioni? Mtoto anayenyonya akitaka kulia unampa nini?
Hivi mnaelewa kwanini wanapenda kutumwagia misaada ya mabilioni? Mtoto anayenyonya akitaka kulia unampa nini?