elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,743
Hahaha kuna mganga mmoja aliokoka akawa anatoa ushuhuda kwamba 80%ya wateja wake ni wadada, na kati ya hawa wadada 90% wanaenda kwa matatizo ya kimapenzi na ku boost ndoa.... sasa ndo upime maji na unga kama kuna kupona hapo! na nyie mmezidi wadada tunajitahidi sana kuwapenda nyie kwa moyo lakini wapi hampendeki sasa shetani akipenyeza ndo unakuta majanga kama haya ya kuendewa kwa babu na mwisho mtalishwa hadi mikojo ya mbwa shauri yenu.
Jipange upya asee, kama huna Yesu watakukamata tu muda wako haujafika. Kwanza hata utamjua basi mwanamke anayeenda huko? kwani atakwambia kwamba anaenda? ajionae amesimama aangalie asije kuanguka. yangu ni hayo tu
Kabla sija boostiwa itabidi niwa boost mimi. Naskia Manyaunyau ni mtaalam wa ukweli ngoja nikamuone nione kama ku boost kupo au ni maneno tu.....