Chadema 2030
JF-Expert Member
- May 5, 2025
- 1,916
- 3,747
Kuna msela wangu ameoa kenya ila alikuwa aninihadithia simuliz yake ya ndoa kuwa alifanikiwa kuoa mkikuyu. Alinieleza anajutia kuoa huko. Mke wake anamtukana mbele ya watoto na ni mjeuri sana haambiliki.
Huwa anampenda akiwa na pesa asipokuwa nayo ni ugomv mtup.na amemtishia toka siku nyingi atamuacha na aondoke na wanawe.
Baada ya kukaa bongo kwa miaka 2. Siku moja baada ya kutoka kazini alikuta mkewe kasha ondoka na wanawe, alijarib kumpigia simu ila haikupokelewa.
Jamaa anajutia sana kuoa mkenya saivI mda wake ushaenda na kuoa saiv noma, alikarirI kuwa wakenya hawafai
Huwa anampenda akiwa na pesa asipokuwa nayo ni ugomv mtup.na amemtishia toka siku nyingi atamuacha na aondoke na wanawe.
Baada ya kukaa bongo kwa miaka 2. Siku moja baada ya kutoka kazini alikuta mkewe kasha ondoka na wanawe, alijarib kumpigia simu ila haikupokelewa.
Jamaa anajutia sana kuoa mkenya saivI mda wake ushaenda na kuoa saiv noma, alikarirI kuwa wakenya hawafai