Mentor utaoa lini...

Mentor utaoa lini...

Naona harufu ya Shigongo..............

Mganga?? wa nini sasa??

Wewe kutendwa mara moja tu umevunjika vunjika moyo??

Sio wote wabaya bana tafuta upate wa kwako uliyeandalia toka Mbinguni (Kama story ni ya kweli)
 
Naona harufu ya Shigongo..............

Mganga?? wa nini sasa??

Wewe kutendwa mara moja tu umevunjika vunjika moyo??

Sio wote wabaya bana tafuta upate wa kwako uliyeandalia toka Mbinguni (Kama story ni ya kweli)

@dena amsi, Shigongo? do u really think so?

Nimeng'atwa na nyoka dadangu..maybe baadaye sana!!!
 
@dena amsi, Shigongo? do u really think so?

Nimeng'atwa na nyoka dadangu..maybe baadaye sana!!!

Baadae na umri unakwenda lakini kwanini umeamua kuandika na red bana inaumiza macho kwa wenye miwani
 
M hhhhhhhhhhhhh! mentor, umenistua sana, Loh! ndiyo maana ndoa nyingi za siku hizi hzidumu kwa sababu si ndoa zitokazo kwa Mungu ni za waganga Loh! Huyo dada si anaona aibu. anafanya wanaume wawe wanaogopa kuoa kwa kujua wanalogwa.Ila Mentor kama unataka mwenza funga na kusali Mungu atakuleta aliye ubavu wako.
 
Baadae na umri unakwenda lakini kwanini umeamua kuandika na red bana inaumiza macho kwa wenye miwani

Dada Dena, kweli umri unaenda but what do i do?


M hhhhhhhhhhhhh! mentor, umenistua sana, Loh! ndiyo maana ndoa nyingi za siku hizi hzidumu kwa sababu si ndoa zitokazo kwa Mungu ni za waganga Loh! Huyo dada si anaona aibu. anafanya wanaume wawe wanaogopa kuoa kwa kujua wanalogwa.Ila Mentor kama unataka mwenza funga na kusali Mungu atakuleta aliye ubavu wako.

Amen!
 
Kwa?

huwezijua Mentor huenda kuna mtu kishazimika......
 
Last edited by a moderator:
Mkuu The Boss, jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Kama mtu angeniambia mchumba wangu alikuwa anaenda kwa waganga ama hakika ningemkatakata na mapanga!

Boss, ni reality kabisa...




Hahah charger na The Boss mmenikumbusha jambo ambalo huwa napenda/nawish sana kulifanya;
- to undress a lady aliyejivika hijab juu mpaka chini
au
- to undress mjeshi!!! now dat is sexy....:yo:

Duh,hizo fantansies ni nouma!!
 
Back
Top Bottom