snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,422
- 25,320
tafsiri please
ndo fantansy yake hiyo si ajabu!
hebu chek nae pm is ajabu ukawa na kitabu cha kuandika lol!
tafsiri please
mh ukienda muona mpe pole sana, mwambie tunampa moyo kwani sote tu safari mojaHahah..hali yake mbaya! Yupo Muhimbili ndugu yangu...
Si amekwambia watu wanabadilika hivyo urudi tena, mwambie yeye ndio amzukie, huenda roho amemtuma kwa huyo mdada ulomkimbia ili ndio awe mkewe. Itabidi utoe ushirikiano wa kutoa ramani ya anapopatikana huyu mdada
I wonder if enzi za wazazi wetu mambo kama haya yalikuepo,kama hayakuwepo najiuliza ni nini kimesababisha yawepo siku hizi????....kwakweli hamna usalama tena humu duniani maana mitego ya shetani ipo kila mahali..God help us!!!
Ndio maana wengi wakiwa kwenye vikao vya kazini awana kufuli sehemu husika
ha ha ha unajizibia ujue???????
Duh, story tam tam mwanzo. Ila mwishoni imenikata maini. Pole sana Mentor, ila utajampata kimwana mwingine.
Mentor ndugu yangu mimi naona hakuna haja ya kubaki single... Kuna mmoja humu yeye neno kuboost haliko kwenye her dictionary you better go for her no kuboost kabisa
:tape2::shut-mouth:
:yo:
"Nikimpataa, milele nitafurahi nitaimba nampenda hadi mwisho wa uhai..."
naona leo umeamua kufanya watu waseme nasties zao!ahahahahhahhaha
Blessed is the woman who will benefit from this statement
naona leo umeamua kufanya watu waseme nasties zao!ahahahahhahhaha
mi imebid nivue tuu kofia yangu ya juu ya jiwe huku mbwa wa polisi wanabweka hata siiweki hapa!
wasije wakanidesa bure!
Hahaa..story nzuri lkn siamini!!! Wasichana wa siku hizi walivo makini eti asahau cm!! Acha fiksi..unataka kufurahisha baraza!!
mhhh mfariji wa kweli ni Mungu tu wengine sie waongeaji tu .....
Hahahahahah.... Mentor..... This is the thread of the decade....
Badala ya kusikitika nimejikuta nnacheka.... Dah!
Hahahahahahahaaaaaaaaaa........... Heheheheheheheheheeee!
I Love you Mama Matesha wangu!!
Hee!! Nyie vipi tena? Tusubiri go ahead kwanza kutoka kwa mhusika.
One :A S-heart-2: Dada snowhite, sema neno mdogo wako nifarijike. Aunty, at least umekubali mnaendaga huko na elimu zenu na urembo wenu..sijui huyo mganga ana nini cha kuwadanganyia! Again, I really wish i could mention names but it really happenned...why, it still happens namjua mdada aliyemwendea mumewe kwa mganga, anayetaka kumwua baba yake kisa pesa, anayevalishwa chupi miezi minne kisa masharti ya mganga...jiulize nimejuaje. But yet again huyo aliacha simu 2010 so maybe sio hawa wa siku hizi... Mrembo by Nature come console me again...aunty ananiambia bado wapo ila wa siku hizi hawasahau simu..NITAPONA KWELI??:crying::crying::crying: Cc: Ngauti Nicas Mtei
hahhaahahhah! kwani hujui mashabiki wa nguvu kuliko hata wachezaji??
huoni yanayoendelea kwenye vilabu vya michezo duniani??
Ni kweli ila alituweka na sisi binadamu ili tuwe His messengers kwenye ku-relay that consolation my dia!:crying: