Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 7,012
- 13,348
Sifikiri kuoa,
Long term patner lazima awe smart, hata akiwa na sura ya babake ni sawa, akiwa mrembo hio ni extra.
Unaoa mwanamke mzuri kujifurahisha, unapata watoto warembo hawana akili, wanakuja kuteseka kwenye dunia isiyokuwa na huruma.
Wacha wawe na sura mbaya ila very smart vipanga. Wawe na utashi wa kupambanua mambo dunia inaenda kasi sana, miaka kadhaa ijayo masikini watazidi kuwa masikini zaidi na matajiri vivo hivyo.. sion tabaka la kati, linaenda kupotea kabisa
Long term patner lazima awe smart, hata akiwa na sura ya babake ni sawa, akiwa mrembo hio ni extra.
Unaoa mwanamke mzuri kujifurahisha, unapata watoto warembo hawana akili, wanakuja kuteseka kwenye dunia isiyokuwa na huruma.
Wacha wawe na sura mbaya ila very smart vipanga. Wawe na utashi wa kupambanua mambo dunia inaenda kasi sana, miaka kadhaa ijayo masikini watazidi kuwa masikini zaidi na matajiri vivo hivyo.. sion tabaka la kati, linaenda kupotea kabisa