Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 45,257
- 37,039
well done gentleman, it's very nice stadi za maisha theory,Mvuto wa Muda Mfupi" dhidi ya "Uimara wa Muda Mrefu
Shape hubadilika (baada ya uzazi au umri), na bikira hupotea siku ya kwanza ya ndoa. Lakini tabia—hekima, heshima, uvumilivu, na jinsi anavyoweza kuisimamia familia—ndio inayobaki.
"Shape inakuvuta chumbani, lakini tabia ndio inakubakiza sebuleni
naona akili imetulia 👊