Men's talk: unaoa tabia, shape au bikira?

Men's talk: unaoa tabia, shape au bikira?

Mvuto wa Muda Mfupi" dhidi ya "Uimara wa Muda Mrefu

Shape hubadilika (baada ya uzazi au umri), na bikira hupotea siku ya kwanza ya ndoa. Lakini tabia—hekima, heshima, uvumilivu, na jinsi anavyoweza kuisimamia familia—ndio inayobaki.

"Shape inakuvuta chumbani, lakini tabia ndio inakubakiza sebuleni
well done gentleman, it's very nice stadi za maisha theory,
naona akili imetulia 👊
 
Nimeoa shape, tabia anatumia zangu na wakati mwingine tu mix tabia zake na zangu tunatumia
c7fb8844-f7fa-461d-8700-d8a36fefd87d.jpeg
 
"Shape inakuvuta chumbani, lakini tabia ndio inakubakiza sebuleni
Kaka mkubwa ukisikia nimeoa basi nimeoa shape hio tabia nitajua jinsi yaa kuitengeneza mwenyewe kwenye saikolojia ya ubongo wangu, yaan nioe kitu ambacho sikipendi kisa kina tabia nzuri aah hapana sitothubutu kabisa sitaki kubakia sebuleni nataka kubakia chumbani
 
Mvuto wa Muda Mfupi" dhidi ya "Uimara wa Muda Mrefu

Shape hubadilika (baada ya uzazi au umri), na bikira hupotea siku ya kwanza ya ndoa. Lakini tabia—hekima, heshima, uvumilivu, na jinsi anavyoweza kuisimamia familia—ndio inayobaki.

"Shape inakuvuta chumbani, lakini tabia ndio inakubakiza sebuleni
Na sisi ambao hatujapata bahati ya kuambulia chochote kwenye hivyo vigezo ulivyoweka, mnatuweka kwenye kundi gani?
Yaani tumeoa wanawake ambao tabia 0, shape hakuna, bikra nayo hakuna!
 
Kaka mkubwa ukisikia nimeoa basi nimeoa shape hio tabia nitajua jinsi yaa kuitengeneza mwenyewe kwenye saikolojia ya ubongo wangu, yaan nioe kitu ambacho sikipendi kisa kina tabia nzuri aah hapana sitothubutu kabisa sitaki kubakia sebuleni nataka kubakia chumbani
0cba4497-444a-48ef-9e75-be9002d4f6a2.jpeg
 
Mvuto wa Muda Mfupi" dhidi ya "Uimara wa Muda Mrefu

Shape hubadilika (baada ya uzazi au umri), na bikira hupotea siku ya kwanza ya ndoa. Lakini tabia—hekima, heshima, uvumilivu, na jinsi anavyoweza kuisimamia familia—ndio inayobaki.

"Shape inakuvuta chumbani, lakini tabia ndio inakubakiza sebuleni

Mwanamke ni pambo la nyumba, Huwezi kuchukua maua ya mnazi na ukaweka ndani. Naoa mwanamke mwenye mvuto, shape na kila aina ya urembo.

Mwanaume hakikisha unaoa pisi kali, usioe ilimradi umeoa, Oa chombo ya ukweli.
 
Na sisi ambao hatujapata bahati ya kuambulia chochote kwenye hivyo vigezo ulivyoweka, mnatuweka kwenye kundi gani?
Yaani tumeoa wanawake ambao tabia 0, shape hakuna, bikra nayo hakuna!
Bro..!
3d36dcb7-5134-4be3-935f-d76400ffa396.jpeg
 
Mwanamke ni pambo la nyumba, Huwezi kuchukua maua ya mnazi na ukaweka ndani. Naoa mwanamke mwenye mvuto, shape na kila aina ya urembo.

Mwanaume hakikisha unaoa pisi kali, usioe ilimradi umeoa, Oa chombo ya ukweli.
2170c6df-6e43-4ae4-ae5f-6a161e10b280.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom