Dr Adam Francis
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 706
- 1,148
Mambo ni mengi, muda ni mchache!The sequence of virginity and marriage
1. Hitaji la asili lilikuwa virgin
2. Hitaji lililofuata likawa si bikira bali awe hana mtoto
3. Ikafuatia mtoto sio tatizo je afya iko sawa?
4. Sasa hivi yote hayo sio kipaumbele je ana kazi?