Men's talk: unaoa tabia, shape au bikira?

Men's talk: unaoa tabia, shape au bikira?

Mvuto wa Muda Mfupi" dhidi ya "Uimara wa Muda Mrefu

Shape hubadilika (baada ya uzazi au umri), na bikira hupotea siku ya kwanza ya ndoa. Lakini tabia—hekima, heshima, uvumilivu, na jinsi anavyoweza kuisimamia familia—ndio inayobaki.

"Shape inakuvuta chumbani, lakini tabia ndio inakubakiza sebuleni
Tabia mkuu
 
Mshana taratibu, team chaputa unawapa sababu ya kukesha hapa jamvini
Hahahaha basi naweka hii
813d3086-f1ce-4413-907c-190ddcae37ce.jpeg
 
Mvuto wa Muda Mfupi" dhidi ya "Uimara wa Muda Mrefu

Shape hubadilika (baada ya uzazi au umri), na bikira hupotea siku ya kwanza ya ndoa. Lakini tabia—hekima, heshima, uvumilivu, na jinsi anavyoweza kuisimamia familia—ndio inayobaki.

"Shape inakuvuta chumbani, lakini tabia ndio inakubakiza sebuleni
Ndo maana matajiri na watu maarufu wameoa wake wa kawaida sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom