Mkuu labda una upungufu wa taarifa kuhusiana na swala hili au una interest zako tu kwenye kubishana. Hilo ulilo suggest la ku list share DSE ndio mpango wa serikali kupitia kampuni tanzu zake. Na inachokataa serikali ni kwenda wewe kama individual,bila historia ya shughuri hiyo,upewe tu kitalu bila ku meet masharti muhimu mengine,bali tu tuseme tumpe sababu ni mtanzania,hiyo ndio no. Share zitauzwa DSE na kila mtanzania kwa pesa yake ataruhusiwa kununua. Ila kama unaona hautaki kumiliki rasilimali hiyo kwa mtindo wa share,na una mabilioni ya dola kama kina Petrobras,ExxonMobil,Shell nk,pia unakaribishwa kalipie ada upewe vibali vya size ya hao.Ushauri: Fika pale wizarani kwanza ukapewe taarifa ya kinachoendelea ndipo uwe na uwezo mkubwa zaidi wa ku argue kwani mengine unayosema ni maneno ya mtaani,si official.