Mengi (WATANZANIA) Vs Prof. Muhongo (WAWEKEZAJI)

Mengi (WATANZANIA) Vs Prof. Muhongo (WAWEKEZAJI)

We Jidodo utakuwa umeandika ujumbe ukiwa 'ktk siku zako' mwone daktari akupe ushauri kwani inaonekana ukiwa ktk siku zako akili zako zinakuwa na MDUDU, Mengi mie namsifu sana sana ni mpambanaji na jasiri mno! Ndugu Mengi songa mbele achana na MADODOKI.
 
Akili kama za USUNGILO ni wale watoto walinyonyeshwa mapema kabla mama zao hawajamaliza kutoa ule 'uzi'
 
Kuna uwezekano wote wawili Muhongo na Mengi wana point kwa kile wanachokipigania ila mwisho wa siku lazima moja liendelee mbele badala ya kubaki tunashindana...iwe ni hilo la Mzee Mengi au la Prof Muhongo. Pia tusitake kufikiri kwa namna ambayo tulipaswa kufikiri mwanzoni mwa miaka ya 1900....kama ipo nafasi ya kutafuta mchawi wa tulikuwa wapi dunia ilipoanza kukimbia....fine, nadhani tutasubiriwa tupate majibu. Mfano...miaka michache tu iliyopita hao "MABWANA" walitishia kutonunua Tanzanite (madini ya Tanzania pekee tunayojivunia nayo) tukambwela kama kuku mwenye vifaranga aliyeona mwewe juu akiruka chinichini...kwa hiyo mabwana wakisusia tumekwisha. Sio dhambi kufikiri Mzee Mengi anapigania wanyonge, lakini pia tusilazimishane wote kufikiri vivyo hivyo.....mwisho wa siku Mengi ni mfanyabiashara....ana uwezo mkubwa wa kutumia mgongo wa wanyonge na lugha ya kuvutia huruma kwa mahesabu aliyojipigia mwenyewe...hata wanaotuuzia madawa feki ni wafanyabiashara na watanzania wenzetu pia....na wanapofanikiwa kukwepa au kuhonga mamlaka husika na kujitajirisha bado watajiita wazalendo.....au unafikiri watatoka mbele na kuwaambia..mimi nimetajirika kwa sababu nilifaulu kuingiza na kuwauzia tani milioni moja za mchele mmbovu kutoka India ?...................UZAWA...... UZALENDO..UZAWA.......mmmh, tusijali zaidi tafsiri kuliko uhalisia...Najua leo hii wakijitokeza watu wawili pale kwako...mmatumbi na mzungu...wanamuhitaji binti yako akawe house girl kwao...labda utamchagua mmatumbi kwa sababu ni mzawa....lakini je ni hoesegirls au houseboys wangapi wanaoishia kudhalilishwa na kujutia maamuzi yao au familia zao kutokana na madhila wanayokutana nayo huko kwa hao tunaowaita "WAZAWA au WAZALENDO" ?... ...............hapo hatujawataja "wazawa" wanaochinja ndugu zao albino...kuua ndugu zao vikongwe...n.k......
 
We Jidodo utakuwa umeandika ujumbe ukiwa 'ktk siku zako' mwone daktari akupe ushauri kwani inaonekana ukiwa ktk siku zako akili zako zinakuwa na MDUDU, Mengi mie namsifu sana sana ni mpambanaji na jasiri mno! Ndugu Mengi songa mbele achana na MADODOKI.
Ahsante, hewala bwana. Toa hoja basi, nimeeleza kisa cha kweli cha Mengi kutaka ITV ipewe ruzuku kama TBC eti kuimarisha ushindani sasa wewe unaleta matusi? Mengi anataka kuwafanya watu wote hawana akili kama wewe. Uamuzi umeshapita katika gesi mtanzania akitaka apitie kwenye makampuni yetu ya taifa hapo ubaya huko wapi?

 
Kuna uwezekano wote wawili Muhongo na Mengi wana point kwa kile wanachokipigania ila mwisho wa siku lazima moja liendelee mbele badala ya kubaki tunashindana...iwe ni hilo la Mzee Mengi au la Prof Muhongo.

Pia tusitake kufikiri kwa namna ambayo tulipaswa kufikiri mwanzoni mwa miaka ya 1900....kama ipo nafasi ya kutafuta mchawi wa tulikuwa wapi dunia ilipoanza kukimbia....fine, nadhani tutasubiriwa tupate majibu.

Mfano...miaka michache tu iliyopita hao "MABWANA" walitishia kutonunua Tanzanite (madini ya Tanzania pekee tunayojivunia nayo) tukambwela kama kuku mwenye vifaranga aliyeona mwewe juu akiruka chinichini...kwa hiyo mabwana wakisusia tumekwisha.

Sio dhambi kufikiri Mzee Mengi anapigania wanyonge, lakini pia tusilazimishane wote kufikiri vivyo hivyo.....mwisho wa siku Mengi ni mfanyabiashara....ana uwezo mkubwa wa kutumia mgongo wa wanyonge na lugha ya kuvutia huruma kwa mahesabu aliyojipigia mwenyewe...hata wanaotuuzia madawa feki ni wafanyabiashara na watanzania wenzetu pia....na wanapofanikiwa kukwepa au kuhonga mamlaka husika na kujitajirisha bado watajiita wazalendo.....au unafikiri watatoka mbele na kuwaambia..mimi nimetajirika kwa sababu nilifaulu kuingiza na kuwauzia tani milioni moja za mchele mmbovu kutoka India ?...................

UZAWA...... UZALENDO..UZAWA.......mmmh, tusijali zaidi tafsiri kuliko uhalisia...Najua leo hii wakijitokeza watu wawili pale kwako...mmatumbi na mzungu...wanamuhitaji binti yako akawe house girl kwao...labda utamchagua mmatumbi kwa sababu ni mzawa....lakini je ni hoesegirls au houseboys wangapi wanaoishia kudhalilishwa na kujutia maamuzi yao au familia zao kutokana na madhila wanayokutana nayo huko kwa hao tunaowaita "WAZAWA au WAZALENDO" ?

................hapo hatujawataja "wazawa" wanaochinja ndugu zao albino...kuua ndugu zao vikongwe...n.k...
 
Kuna uwezekano wote wawili Muhongo na Mengi wana point kwa kile wanachokipigania ila mwisho wa siku lazima moja liendelee mbele badala ya kubaki tunashindana...iwe ni hilo la Mzee Mengi au la Prof Muhongo. Pia tusitake kufikiri kwa namna ambayo tulipaswa kufikiri mwanzoni mwa miaka ya 1900....kama ipo nafasi ya kutafuta mchawi wa tulikuwa wapi dunia ilipoanza kukimbia....fine, nadhani tutasubiriwa tupate majibu. Mfano...miaka michache tu iliyopita hao "MABWANA" walitishia kutonunua Tanzanite (madini ya Tanzania pekee tunayojivunia nayo) tukambwela kama kuku mwenye vifaranga aliyeona mwewe juu akiruka chinichini...kwa hiyo mabwana wakisusia tumekwisha. Sio dhambi kufikiri Mzee Mengi anapigania wanyonge, lakini pia tusilazimishane wote kufikiri vivyo hivyo.....mwisho wa siku Mengi ni mfanyabiashara....ana uwezo mkubwa wa kutumia mgongo wa wanyonge na lugha ya kuvutia huruma kwa mahesabu aliyojipigia mwenyewe...hata wanaotuuzia madawa feki ni wafanyabiashara na watanzania wenzetu pia....na wanapofanikiwa kukwepa au kuhonga mamlaka husika na kujitajirisha bado watajiita wazalendo.....au unafikiri watatoka mbele na kuwaambia..mimi nimetajirika kwa sababu nilifaulu kuingiza na kuwauzia tani milioni moja za mchele mmbovu kutoka India ?...................UZAWA...... UZALENDO..UZAWA.......mmmh, tusijali zaidi tafsiri kuliko uhalisia...Najua leo hii wakijitokeza watu wawili pale kwako...mmatumbi na mzungu...wanamuhitaji binti yako akawe house girl kwao...labda utamchagua mmatumbi kwa sababu ni mzawa....lakini je ni hoesegirls au houseboys wangapi wanaoishia kudhalilishwa na kujutia maamuzi yao au familia zao kutokana na madhila wanayokutana nayo huko kwa hao tunaowaita "WAZAWA au WAZALENDO" ?... ...............hapo hatujawataja "wazawa" wanaochinja ndugu zao albino...kuua ndugu zao vikongwe...n.k......
Umenena vyema big likes.

 
Nilimsikiliza vzr saana prof muhongo,aliainisha kwa kina na kumtaka kamishna wake akae ofisini asubiri wawekezaji wazalendo wenye uwezo wa kuwekeza kwenye gas. Sasa ingekuwa vyema prof muhongo (kwangu mimi ni mkweli) apingwe kwa hoja kuwa yale mahesabu ya fedha zinazohitajika ktk uwekezaji ni ya uongo au ni ya kweli na wapo watanzania wenye uwezo wa kuwekeza.vinginevyo tutakuwa tunawaonea au kutowatambua wapenda sifa.
 
"kwenye red "HIVI HUYU MZEE naomba mnikumbushe alisomeawapi hiyo PHD ? na ok hata kama anayo aliipatapata vipi ? kwakuwasaidia walemavu na kuwalisha maskini ? waliompahawakumuona SABODO? aliyeamua kuchimba visima 100 nchi nzima ? hebu huyu anayepiganiamaslahi ya watanznia atueleze ametoa mchongo gani katikakuwalinda tembo wetu kwanza !ametoaamchongo gani katika kuitangaza bandari ya dar es salaam ?.waongo mwisho wao ni aibu tu. huyu mzee si ndo yule aliyezaa watoto mapacha hivi karibuni akawapeleka nje ya nchi !?. usafi wa MENGI unatia shaka kabisa ...

Phd amezawadiwa na taasisi ambayo haitambuliki kokote duniani. Haina tofauti na Phd ya Dr. Dre!
 
Nilimsikiliza vzr saana prof muhongo,aliainisha kwa kina na kumtaka kamishna wake akae ofisini asubiri wawekezaji wazalendo wenye uwezo wa kuwekeza kwenye gas. Sasa ingekuwa vyema prof muhongo (kwangu mimi ni mkweli) apingwe kwa hoja kuwa yale mahesabu ya fedha zinazohitajika ktk uwekezaji ni ya uongo au ni ya kweli na wapo watanzania wenye uwezo wa kuwekeza.vinginevyo tutakuwa tunawaonea au kutowatambua wapenda sifa.
Ni hao watanzania waliomiliki vitalu vya madini lakini hawavindelezi wakati wachimbaji wadogo wanahaha kutafuta maeneo? hawa ni wababaishaji achana nao. Fursa imetolewa tujiunge na Stamico na TPDC wakubwa kwa wadogo 'fair play'.

 
wananchi tunamiliki kupitia STAMICO na TPDC jipange kununua hisa, mengi hatetei wananchi anajitetea mwenyewe, kaulize Songea milima ya matogoro yote yake, eneo lote la Mtyangibole hadi shule ya Tanga yake, ni kuweli huyu jamaa anamiliki maeneo makubwa zaidi ya Dar hata mara 20, halafu unasema anatutetea, hakuna kitu jitetee mwenyewe ndg yangu
Kweli wewe mwehu..STAMICO na TPDC inamiliki hisa asilimia ngapi kwaniaba ya wananchi so far? Wazungu walitujua mapema ndo maana waka capitalized kwenye kale kamsemo "mali ya wote si ya yeyote"... Kwanini STAMICO na TPDC inachechemea toka uhuru? waambieni ukweli wananchi kuwa hata TANESCO mmeibinafsisha kwa SYMBION...
 
Mengi mbinafsi , Mhongo hana shida kabisa ni mtetezi wa wa watanzania kabisa , ingia kwemye website ya Wizara angalia Leseni za Mengi utaziona zilivyo nyingi , eti anatudanganya kuwa ana leseni moja sasa tunaianika website mzione leseni atoe usanii wake asidhani watanzania wajinga, anapenda kujilimbikizia.
 
He kumbe tunagesi? Waacheni wenyemitaji wajimilikie tu fulsa Si tumepewa?
 
Kuna uwezekano wote wawili Muhongo na Mengi wana point kwa kile wanachokipigania ila mwisho wa siku lazima moja liendelee mbele badala ya kubaki tunashindana...iwe ni hilo la Mzee Mengi au la Prof Muhongo. Pia tusitake kufikiri kwa namna ambayo tulipaswa kufikiri mwanzoni mwa miaka ya 1900....kama ipo nafasi ya kutafuta mchawi wa tulikuwa wapi dunia ilipoanza kukimbia....fine, nadhani tutasubiriwa tupate majibu. Mfano...miaka michache tu iliyopita hao "MABWANA" walitishia kutonunua Tanzanite (madini ya Tanzania pekee tunayojivunia nayo) tukambwela kama kuku mwenye vifaranga aliyeona mwewe juu akiruka chinichini...kwa hiyo mabwana wakisusia tumekwisha. Sio dhambi kufikiri Mzee Mengi anapigania wanyonge, lakini pia tusilazimishane wote kufikiri vivyo hivyo.....mwisho wa siku Mengi ni mfanyabiashara....ana uwezo mkubwa wa kutumia mgongo wa wanyonge na lugha ya kuvutia huruma kwa mahesabu aliyojipigia mwenyewe...hata wanaotuuzia madawa feki ni wafanyabiashara na watanzania wenzetu pia....na wanapofanikiwa kukwepa au kuhonga mamlaka husika na kujitajirisha bado watajiita wazalendo.....au unafikiri watatoka mbele na kuwaambia..mimi nimetajirika kwa sababu nilifaulu kuingiza na kuwauzia tani milioni moja za mchele mmbovu kutoka India ?...................UZAWA...... UZALENDO..UZAWA.......mmmh, tusijali zaidi tafsiri kuliko uhalisia...Najua leo hii wakijitokeza watu wawili pale kwako...mmatumbi na mzungu...wanamuhitaji binti yako akawe house girl kwao...labda utamchagua mmatumbi kwa sababu ni mzawa....lakini je ni hoesegirls au houseboys wangapi wanaoishia kudhalilishwa na kujutia maamuzi yao au familia zao kutokana na madhila wanayokutana nayo huko kwa hao tunaowaita "WAZAWA au WAZALENDO" ?... ...............hapo hatujawataja "wazawa" wanaochinja ndugu zao albino...kuua ndugu zao vikongwe...n.k......

hata alipojitokeza bakhresa akataka kupewa mradi wa mabasi yaendayo kasi kuna hawawanajiita wazawa wakalia lia kuwa si sawa kumilikisha mradi mkubwa kamaule kwenye mikono ya tajiri mmoja. naombanimgeukie mengi hivi pale ITV/ radio one. kila akitoa taarifa dhidi ya profesa hiyo ni habari ila profesa akijibu kwao hiyo si habari ... maadili ya media yako hivyo kweli ? mengi anatumia media kuwarubuni watanzania.
 
Mengi bana.

Mengi akisema wazawa anamaanisha Bakhresa, Mengi, Dewji, Mufuruki,Rostam etc

Hivyo vitalu hata wakisema ruksa mtanzania kuwekeza mimi maundumula kitalu ntakipata wapi?

Hivi kwanini hatushupalii mambo ya msing ambayo yanaweza kutuletea tija sisi wananchi kama mambo yanayohusu elimu, afya bora kwa wakina mama wajawazito, uzazi wa mpango nk mambo ambayo nilitegemea mtu kama mengi ndio angeamua kuyavalia njuga.
 
Mengi bana.

Mengi akisema wazawa anamaanisha Bakhresa, Mengi, Dewji, Mufuruki,Rostam etc

Hivyo vitalu hata wakisema ruksa mtanzania kuwekeza mimi maundumula kitalu ntakipata wapi?

Hivi kwanini hatushupalii mambo ya msing ambayo yanaweza kutuletea tija sisi wananchi kama mambo yanayohusu elimu, afya bora kwa wakina mama wajawazito, uzazi wa mpango nk mambo ambayo nilitegemea mtu kama mengi ndio angeamua kuyavalia njuga.

Kwa mawazo yako unadhani gesi au dhahabu haina tija kwako?
 
Mengi mbinafsi , Mhongo hana shida kabisa ni mtetezi wa wa watanzania kabisa , ingia kwemye website ya Wizara angalia Leseni za Mengi utaziona zilivyo nyingi , eti anatudanganya kuwa ana leseni moja sasa tunaianika website mzione leseni atoe usanii wake asidhani watanzania wajinga, anapenda kujilimbikizia.

Facts speak for themselves
Na Kama vithibitisho unavyo si uviweke
 
Hajakatazwa mtu yeyote kuwekeza. Muende wizara ya nishati namadini mkapewe utaratibu. Kulumbana magazetini radioni na kwenye tv,haisaidii na inazidi kuonyesha watz tulivyo na akili fupi! Nchi zote zenye mafuta na gas,serikali lazima imiliki hisa,na wananchi watashirikishwa kwa kununua hisa toka serikalini au kampuni tanzu ya serikali.Hauziwi mtu individual aldhi achimbe yeye kama yeye!.Wengine wanataka wakamate vitalu kwa style ya 'hoyahoya' kisha waanze ku dalali baadae. Professionaly hiyo haikubaliki. Ilishatokea kwenye vitalu vya madini na vya uwindaji na kwa sasa huku kwenye gas na mafuta serikali imestuka!
 
Mengi anasema kuwa Dhahabu yote ya Tanzania inathamani ya dolla 60 Billion ambapo wageni wanamiliki 99.99% Iweje Gesi yenye thamani ya dola 500 Billion iendelee kumilikiwa na wageni kwa 100%?... Mengi hapa anapoint, wananchi wa Mtwara nao wanastahili kuungwa mkono kwa nguvu zote!!! Dhahabu inakwisha, Almasi wameshaimiliki kabla ya uhuru, Tembo na wanyama wengine wanauawa, iko siku Mt Kilimanjaro nayo watailipua...sijui tutabaki na nini zaidi ya mabusha na vitumbua...Prof Muhongo pamoja na kwamba wewe ni EHM unaetumiwa na mabwana zako wa ulaya lazima utambue kuwa nchi hii inatuhusu sote...fedha za Mobutu ziko wapi? mitego ya kuwekewa fedha Uswis ni wa kishamba wanakuhadaa hao mabazazi... siku si nyingi utatukumbuka ...

Prof. Muhogo yuko sahihi aslimia mia moja, uwekezaji siyo porojo kama unazoongea, uwekezaji ni mtaji wa kutosha siyo ubabaishaji, Meku wako hela yake haifui dafu asitumia advantage ya kusingizia wana Mtwara, na wewe acha porojo mara tembo ma mlima kilimanjaro, acha hizo. Hebu tueleze kinaga ubaga tembo wakiondoka au wakiuawa wewe personaly unaathrika vipi? kama huwezi kujibu hili basi kaa kimya wanao nani hiiiii wamesimama wajadili.
 
Prof. Muhogo yuko sahihi aslimia mia moja, uwekezaji siyo porojo kama unazoongea, uwekezaji ni mtaji wa kutosha siyo ubabaishaji, Meku wako hela yake haifui dafu asitumia advantage ya kusingizia wana Mtwara, na wewe acha porojo mara tembo ma mlima kilimanjaro, acha hizo. Hebu tueleze kinaga ubaga tembo wakiondoka au wakiuawa wewe personaly unaathrika vipi? kama huwezi kujibu hili basi kaa kimya wanao nani hiiiii wamesimama wajadili.
Join Date : 23rd December 2013
Posts : 10
Rep Power : 303
Likes Received0
Likes Given0

...Kama hujui madhara ya Tembo kuuawa, kama hujui kuwa uwekezaji mkubwa haufanywi na mtu mmoja mmoja bali ni wanahisa ambao mimi na wewe tunaweza kuwa wanahisa iwapo hayo makampuni yangesajiliwa DSE basi hustahili kuwa GT... Kojoa kalale mwanetu wewe bado mchanga ...
 
Back
Top Bottom