Mengi Vs Masha tuhuma, vitisho na matokeo!

Mengi Vs Masha tuhuma, vitisho na matokeo!

Status
Not open for further replies.
Kama mafisadi wengine waliomtangulia (Manji, Lowassa, Rostam Azizi, etc), Masha ameshindwa kufanya chochote dhidi ya Mengi hata baada ya kutoa vitisho vya siku saba kwa hasira na mikiki mingi.

Kwa mara nyingine, dozi kubwa aliyopata hapa JF imemfanya arudi nyuma na kuacha magazeti mahiri ya Thisday na Kulikoni yaendelee na kazi yao ya kuwapa watanzania habari ambazo serikari inazificha.

Kwa sasa..... Masha umebana weeeee .... na umeachia!

Kama kawaida ya friday hapa JF ..... wana JF kwa kushirikiana na bongo radio na radio zingine zote mahiri nchini, tunasherekea ushindi kwa bonge la muziki wa ngwasuma na sebene toka kwa extra musica (sorry werasoni).

Mods..... it's friday.... what the hell.... please, let it stay here for now.

Kwani alitaja siku/tarehe maalum ya hizo hatua kali kuchukuliwa baada ya siku 7 alizotoa?
 
Kama mafisadi wengine waliomtangulia (Manji, Lowassa, Rostam Azizi, etc), Masha ameshindwa kufanya chochote dhidi ya Mengi hata baada ya kutoa vitisho vya siku saba kwa hasira na mikiki mingi.

Kwa mara nyingine, dozi kubwa aliyopata hapa JF imemfanya arudi nyuma na kuacha magazeti mahiri ya Thisday na Kulikoni yaendelee na kazi yao ya kuwapa watanzania habari ambazo serikari inazificha.

Kwa sasa..... Masha umebana weeeee .... na umeachia!

Kama kawaida ya friday hapa JF ..... wana JF kwa kushirikiana na bongo radio na radio zingine zote mahiri nchini, tunasherekea ushindi kwa bonge la muziki wa ngwasuma na sebene toka kwa extra musica (sorry werasoni).

Mods..... it's friday.... what the hell.... please, let it stay here for now.

Hana credibility tena kutokana na kitendo chake cha kuwatembelea mafisadi Mramba na Yona waliokuwa rumande na kutoa maelezo yasiyoridhisha, kuandaa mpango wa kumfilisi Mengi ili kupunguza nguvu yake katika vita dhidi ya mafisadi na kukurupuka kwa kumpa Mengi siku saba. JK hana jinsi bali ni kumuweka nje ya baraza la mawaziri kuendelea kumkumbatia ni kutafuta matatizo zaidi kwa serikali ambayo tayari hadhi yake machoni kwa Watanzania imetetereka vibaya sana.
 
- Tunamsubiri arudi kutoka Geneva, ambako yuko na Waziri Mkuu siku saba zimekwisha tayari, bado ana benefit of the doubt kuwa alikuwa nje ya nchi, kama vile alivyokuwa South Africa, Mengi alipotoa tuhuma, aliporudi alitoa siku saba,

- Sasa tunamsubiri waziri afike na atimize yote aliyoahidi kumfanyia Mengi iwapo hatatimiza amri yake kama waziri, nilisema kuwa njia ya muongo kwenye mpapai ni mbali sana, sasa the moment of the truth inakaribia, ukweli wa habari yote tunao, hakuna wa kupiga chenga ya mwili hapa, tulisema tunataka facts zote za the ishu, sasa tunazo, kwa hiyo hakuna wa kumdanganya mwingine, wala wananchi, taifa zima linasubiri kuona ahadi ikitimizwa, akishindwa ndio tutatoa rasmi duku duku letu.

Subira siku zote yavuta heri.
 
- Tunamsubiri arudi kutoka Geneva, ambako yuko na Waziri Mkuu siku saba zimekwisha tayari, bado ana benefit of the doubt kuwa alikuwa nje ya nchi, kama vile alivyokuwa South Africa, Mengi alipotoa tuhuma, aliporudi alitoa siku saba,

Subira siku zote yavuta heri.

FMSE Asalaam Aleykhum Kiongozi;

Hapa bado nina swali katika utendaji wa Waziri Kijana . . . .

Je zile siku saba alizitoa kama sehemu ya maagizo ya utendaji wa serikali au kama Waziri Binafsi?

Kama alitoa kama sehemu ya Serikali kama alivyodai katika yale mahojiano na siku saba zimeshafika, kwa nini sasa mpaka asubiriwe yeye arudi ili tujue hatua inayofuata?

Suppose kama kwa namna yeyote asingeweza kuwa Waziri leo mf. Kajiuzulu, anaumwa, amefariki nk, je, ina maana huu ndiyo ungekuwa mwisho wa hii Movie? Kama ni hivyo basi tunayo kazi kubwa sana katika utendaji wa ama viongozi wetu ama serikali.


Tulitoa Kiingilio, turudishiwe pesa zetu . . . .#@@$@#%R&&E*()&)*^W&^%(* !!!
 
FMSE Asalaam Aleykhum Kiongozi;

Hapa bado nina swali katika utendaji wa Waziri Kijana . . . .

Je zile siku saba alizitoa kama sehemu ya maagizo ya utendaji wa serikali au kama Waziri Binafsi?

Kama alitoa kama sehemu ya Serikali kama alivyodai katika yale mahojiano na siku saba zimeshafika, kwa nini sasa mpaka asubiriwe yeye arudi ili tujue hatua inayofuata?

Suppose kama kwa namna yeyote asingeweza kuwa Waziri leo mf. Kajiuzulu, anaumwa, amefariki nk, je, ina maana huu ndiyo ungekuwa mwisho wa hii Movie? Kama ni hivyo basi tunayo kazi kubwa sana katika utendaji wa ama viongozi wetu ama serikali.


Tulitoa Kiingilio, turudishiwe pesa zetu . . . .#@@$@#%R&&E*()&)*^W&^%(* !!!


Na mmi na swali kama lako maana najua kuna watu wanakaimu madaraka na ktk hili kama angetaka ifanywe jinsi anavyotaka yeye angewaamuru wa chini yake kama ikifika siku saba Mr.Mengi hajafuata maelekezo yake nini kifanyike maana ilikuwa simple math tu kuwa baada ya siku saba atakuwa nje ya nchi!
Ila naona hii ngoma zito watu wamemwachia mwenyewe aje kuicheza ahaaaaaaaaaaaaaa.
 
Siku saba zimepita serikali iko kimya kama maji ya mtungi.
Hakuna cha safari wala kusafiri, kwa sababu baada ya tamko lile ni wazi kwamba serikali /wizara ilikuwa na mikakati mikali juu ya Mengi.
Sasa kama mikakati inamsubiri mkuu arudi kwanza, naanza kuona dalili za ununda katika utawala.
Kifupi ni kwamba dogo kende zimemnywea huko huko aliko, arudi asirudi hakuna lolte wala nini.

Hawa viongozi wa serikali ya CCM hawana lolote, wanatisha umbo tu,wakipigiwa yowe kidogo tu wananywea kama plastic mbele ya ndimi za moto.
P*&%$#@#@ zao. Hiii hiii hiihii!
 
Siku saba zimepita Mengi hajatoa uthibitisho, Masha anasubiriwa kurudi nyumbani kutoka safarini...mechi ndio inaanza sasa.
 
FMSE Asalaam Aleykhum Kiongozi;

Hapa bado nina swali katika utendaji wa Waziri Kijana . . . .

Je zile siku saba alizitoa kama sehemu ya maagizo ya utendaji wa serikali au kama Waziri Binafsi?

Kama alitoa kama sehemu ya Serikali kama alivyodai katika yale mahojiano na siku saba zimeshafika, kwa nini sasa mpaka asubiriwe yeye arudi ili tujue hatua inayofuata?

Suppose kama kwa namna yeyote asingeweza kuwa Waziri leo mf. Kajiuzulu, anaumwa, amefariki nk, je, ina maana huu ndiyo ungekuwa mwisho wa hii Movie? Kama ni hivyo basi tunayo kazi kubwa sana katika utendaji wa ama viongozi wetu ama serikali.


Tulitoa Kiingilio, turudishiwe pesa zetu . . . .#@@$@#%R&&E*()&)*^W&^%(* !!!

Mkuu Allien unategemea kweli Fmes atajibu hii hoja?? hawezi maana umembana kisawa sawa na kama atajibu basi ni lazima atoke kwenye hii point
 
@this tym ndo unaona kujibu hoja zinazompinga Masha ni kuwaste time?? wacha kunichekesha mie maana nilikwambia mwanzoni kabisa mwa thread hii kuwa inaonekana una mgongano wa kimaslahi na kampuni za mengi sasa umekuja kuthibitisha mwenyewe kuwa unamtetea masha kwa sababu tu ni mshikaji wako, umemuendesha, na inawezekana pia ukawa unashirikiana naye kufaidi matunda ya ufisadi anaoufanya n'way mzee lakini kumbuka AIBU YAKE AIBU YAKO

Serikali kupitia kwa Waziri wa Mambo ya Ndani Lau ilimpa Mengi siku saba kuthibitisha tuhuma zake kwa serikali la sivyo angeona cha mtema kuni. Siku saba zimepita lakini kulingana na dataz ni kuwa mambo ya Mengi yamewekwa pending mpaka Lau arudi kutoka majuu.

Swali - Karamagi inaeleweka alibeba mihuri ya serikali kwenda kusaini mkataba hotelini London - Je Lau kabeba Wizara nzima nzima au yeye ndiye serikali ?
 
Siku saba zimepita Mengi hajatoa uthibitisho, Masha anasubiriwa kurudi nyumbani kutoka safarini...mechi ndio inaanza sasa.

So tusubiri Waziri arudi kutoka safarini na tusikilizie 'Reaction' yake kutokana na ukimya wa Mengi na si kusema kwamba "Masha amebana na kuachia kwa Mengi"......Ni mapema mno kuiita hii 'Habari njema' maana hata kama Masha angekuwepo Tanzania sidhani kama siku ya 8 angekurupuka tu na kuanza kumchukulia hatua Mengi,lazima angekaa na kuangalia ni 'hatua' zipi azichukue(ni mtizamo tu)...So wakuu muda bado,tusubiri na tuone na kusikiliza nini kitatokea
 
So tusubiri Waziri arudi kutoka safarini na tusikilizie 'Reaction' yake kutokana na ukimya wa Mengi na si kusema kwamba "Masha amebana na kuachia kwa Mengi"......Ni mapema mno kuiita hii 'Habari njema' maana hata kama Masha angekuwepo Tanzania sidhani kama siku ya 8 angekurupuka tu na kuanza kumchukulia hatua Mengi,lazima angekaa na kuangalia ni 'hatua' zipi azichukue(ni mtizamo tu)...So wakuu muda bado,tusubiri na tuone na kusikiliza nini kitatokea

Kwahiyo una maana alikurupuka kutoa siku 7?
Unaweza kutoa siku 7 kisha ukasubiri siku 7 ziishe ili ujue cha kufanya?
Hili lilikuwa ni kosa ambalo Mengi angeshindwa kufanikisha madai ya serikali angekuwa na kosa la jinai kuleta maneno ya uongo.
Jinai nayo inasubiri mkuu arudi? kazi ya polisi ni nini?
Labda ishu nzima siielewi.
 
Naona FMES anaanza kugwaya, taratibu anaanza kurudi kwa watu kisiasa, mara anaingiza "tu-" mara "benefit of doubt".Benefit of doubt umpe mshikaji wako uliyekuwa unamtetea siku zote hizi? Benefit of doubt unampa mtu ambaye humuamini, lakini unataka kumpa muda ili usitoe hukumu kabla ya wakati, kwa jinsi wewe ulivyom present Masha si mtu wa kumpa benefit of doubt, unless kama umeshastukia this is a sinking Titanic na sasa unataka ku jump ship.
 
Kwahiyo una maana alikurupuka kutoa siku 7?
Unaweza kutoa siku 7 kisha ukasubiri siku 7 ziishe ili ujue cha kufanya?
Hili lilikuwa ni kosa ambalo Mengi angeshindwa kufanikisha madai ya serikali angekuwa na kosa la jinai kuleta maneno ya uongo.
Jinai nayo inasubiri mkuu arudi? kazi ya polisi ni nini?
Labda ishu nzima siielewi.

Mkuu MWM,,tatizo ni kwamba mpaka sasa hivi haijulikani kauli hiyo aliitoa kama Waziri ama kama LM....Na sina uhakika kama Waziri angeweza kuelezea hatua mara tu siku ya 8 ilipofika(maana alitoa siku 7 na sina uhakika kama alitaja aina ya hatua atakazozichukua)...So kwa vile hayupo na hakuna lolote lilitokea inaonekana siku zile 7 alizitoa kama LM na si kama Waziri..cha msingi tusubiri arudi nyumbani na tuone ni hatua gani atazichua/amezichukua...Mkuu MWM kwa kweli hata mimi ishu nzima siielewielewi...Heshima mbele mkuu
 
Moja ya vitu nilivyojifunza nikiwa mtoto sana ni kwamba ukiwa kiongozi usiahidi adhabu ambayo hutaweza kuitoa. Na kama unaweza usiahidi adhabu kabida. Ukijashindwa kuitoa inakushushia wewe nguvu, na si kwenye macho yako mwenyewe tu hata kwenye macho ya wengine.

Basically, kiongozi kwa maoni yangu huwa hapigi mkwara. Anasema anataka nini, kisipotimizwa anawajibishwa mtu.

Binafsi nikiona mtawala anapiga mikwara na kutumia maneno ya kama "utakiona", au "utaipata", naanzaga kuwa na wasiwasi na kujiamini kwake na uwezo wake wa kuwa kiongozi.

Kina Sokoine walikuwa hawakwambii utakiona cha mtemakuni. Unaambiwa tu kuanzia kesho kitu fulani kifanyike au kitu fulani kisifanyike; kwisha. Hata speech haziwi ndefu hivyo. Na some how unaona vitu vinaenda. Sio uchawi, hawa ndio viongozi, wao wenyewe wanajitambua, na watu wanawatambua.

Ukimsikia kiongozi ametamka, wewe mwenyewe ndio unajiambia "ngoja nifanye hili nisije nikakiona cha mtema kuni", kwa sababu unajua kauli yake haikutishii lakini anaimaanisha kuisimamia.
 
- Tunamsubiri arudi kutoka Geneva, ambako yuko na Waziri Mkuu siku saba zimekwisha tayari, bado ana benefit of the doubt kuwa alikuwa nje ya nchi, kama vile alivyokuwa South Africa, Mengi alipotoa tuhuma, aliporudi alitoa siku saba
Subira siku zote yavuta heri.
Huyo mshikaji wako Masha anatembea na Ofisi?,alitoa kauli ile kama nani?? i think kama waziri maana sidhani alitoa kauli kama Masha kwa sababu Tycoon mengi hamkutaja...upo hapo?

Ofisi ipo ichukue hatua je kama akifariki huko Swiss ina maana ndio na mambo yatakuwa yamekwisha?.....msela wako katokota
 
Nampongeza mzee Mengi kwa kutotii maelekezo ya Masha ya kutaka apewe vielelezo ndani ya siku 7. Hilo ndilo tulilokuwa tunamuomba mzee Mengi asilifanye. Masha hana nguvu hizo kisheria kudai vielelezo. Sasa aende mahakamani. Vielelezo vitatolewa huko na ajiandae kuaibika mara vielelezo vitakapomtaja Masha kuwa ndiye waziri aliyesema mzee Mengi lazima afilisiwe kibiashara. Kuwajibika kwa kujiuzulu au kuwajibishwa na rais kwa kufukuzwa uwaziri halina mjadala iwapo hatatumia tena akili na kukurupuka kwenda mahakamani. Nadhani ni kipindi kizuri sana kwa Masha kujifikiria binafsi hatima yake na mienendo yake (hasa kwenye pombe zake) kabla ya kukurupuka kwenda mahakamani. Atashangaa zaidi pale vielelezo vitakapoonyesha kuwa yeye Masha ndiye pia aliyevujisha siri za serikali za kikao cha mawaziri cha kupanga mikakati haramu ya kumfilisi mzee Mengi. Tusubiri tuone.
 
- Tunamsubiri arudi kutoka Geneva, ambako yuko na Waziri Mkuu siku saba zimekwisha tayari, bado ana benefit of the doubt kuwa alikuwa nje ya nchi, kama vile alivyokuwa South Africa, Mengi alipotoa tuhuma, aliporudi alitoa siku saba,

- Sasa tunamsubiri waziri afike na atimize yote aliyoahidi kumfanyia Mengi iwapo hatatimiza amri yake kama waziri, nilisema kuwa njia ya muongo kwenye mpapai ni mbali sana, sasa the moment of the truth inakaribia, ukweli wa habari yote tunao, hakuna wa kupiga chenga ya mwili hapa, tulisema tunataka facts zote za the ishu, sasa tunazo, kwa hiyo hakuna wa kumdanganya mwingine, wala wananchi, taifa zima linasubiri kuona ahadi ikitimizwa, akishindwa ndio tutatoa rasmi duku duku letu.

Subira siku zote yavuta heri.

heshima bro,

masha ameingia dar ijumaa usiku kutoka geneva.

labda anangoja jumatatu ifike.
 
Falsafa ya uongozi inasema kuwa mwenye dhamana akitanguliza kutumia mamlaka badala ya akili kutatua tatizo la kijamii ameshindwa uongozi. Tulimtarajia Masha atumie kwanza akili na busara katika maamuzi yake badala ya kutanguliza nguvu ya mamlaka. Waingereza wanasema "authority is the last resort". Ni "last resort" baada ya akili na busara kushindwa huku jambo husika likiwa na manufaa makubwa kwa jamii baada ya kupima pros na cons. Kinyume cha hapo, falsafa ya uongozi inasema kuwa itakuwa ni kulinda maslahi binafsi na hapo huwa mwanzo wa mwisho wa dhamana uliyopewa. Asipokuwa makini jamaa huyu Masha, "mwanzo wa mwisho" wa dhamana yake inawadia kwa kasi.
 
Mkuu MWM,,tatizo ni kwamba mpaka sasa hivi haijulikani kauli hiyo aliitoa kama Waziri ama kama LM....Na sina uhakika kama Waziri angeweza kuelezea hatua mara tu siku ya 8 ilipofika(maana alitoa siku 7 na sina uhakika kama alitaja aina ya hatua atakazozichukua)...So kwa vile hayupo na hakuna lolote lilitokea inaonekana siku zile 7 alizitoa kama LM na si kama Waziri..cha msingi tusubiri arudi nyumbani na tuone ni hatua gani atazichua/amezichukua...Mkuu MWM kwa kweli hata mimi ishu nzima siielewielewi...Heshima mbele mkuu

Alitoa kama waziri si alijibarakuza kusema ametoa kauli hiyo ili kumlinda!

Nini kinakufanya uwaze kuwa alitoa kama LM?

Huyu limbukeni wa siasa sasa hivi yuko kwenye kikaango maana chochote atachofanya sasa kinamadhara ktk popularity yake.Ukisikia "kukimbia Achumani ukijimama Nkuki "ndio hii.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom