- Kwanza naomba kujibu swali lako la msingi, "Tu" katika siasa ni neno la kawaida kutumika na mtu mmoja, linasimamia msimamo tu na haina maana ni watu wengi represented na sio lazima iwe.
- Now with all due respect, naomba kusema hivi sio siri kwamba msimamo wangu katika hii ishu umegeuka kua kikwazo kikubwa kwa wananchi wengi hapa JF, nilisimama kama siku zote kusimamia ukweli ambao nimeuona ukijaribu kupindishwa kuhusu background yake kwenye elimu na kazi, kabla ya kufikia uwaziri na ubunge, kwenye hilo naomba kurudia kwua sina cha kua-apologize, na hata siku moja akishambuliwa member yoyote ninayemfahamu hapa JF nitafanya the same, nitamtetea to end ili ukweli usipindishwe, ila maovu yake nitamuachia mwenyewe ayajibu.
- Now sina uhakika wa karibu of kazi za Lau as waziri, lakini to me kuna wakati aliwajibia IMMA kwa niaba ya mtoto wa rais kuhusu utata wa ajira yake kule, that was wrong na nilisema wazi hapa JF, sasa since then kumekwua na lawama nyingi sana kumuelekezea Lau kama waziri, in the last four days nimeongea na members wengi sana hapa kwa simu ambao ninawaheshimu sana, na I could not help kuisikia the emotions displayed kuhusu conduct za Lau as waziri, na mmoja wapo ambaye aliwahi kusoma naye, tulifikia kukubaliana kua uwezekano wa taifa letu kubadilishwa na generation yetu, ni mdogo sana labda watoto wetu kutokana na dis-appointment ya Lau.
- Now with all that said, naomba kuji-excuse myself kutoka kwenye huu mjadala, na mijadala ya Lau in the future, na pia naomba kuomba radhi kwa wale wote ambao kwa njia moja au another, nimewakwaza kwa msimamo wangu usiokubalika hapa JF kuhusu hii ishu. JF tunapokuwa kwenye focus ya taifa huwa tunakua very effective lakini sio tunapokwaruzana mpaka nje ya mstari as of this ishu, then tunakosa focus na hatuwi effective kwa tunaowalenga. Na this is time for me to reachout mkulu on a serious tone, na kinachonisikitisha sana ni kwamba only last two weeks nilikuwa na his dad for four days before all this cameout, lakini hakijaharibika kitu.
Kwa hayo machache naomba kujiweka pembeni na ninawatakia mjadala mwema ndugu zangu, taifa siku zote mbele na JF juu zaidi na idumu.
Kwa ndugu zangu wote wengine, in two hours from now nitakua na waziri wa jamhuri yetu, sasa kama kuna any mwenye tatizo la kuhusiana na ishus za sheria unaweza kunitwangia ili nikupatie nafasi ya kuongea naye nitakua naye for the whole day na mpaka weekeend, najua wakulu wengi sana hapa mnazo namba zangu, msiokuwa nazo ni-beep kwenye PM nitakuwekea sina noma maana sina tatizo niko clean, na kumbuka hizi chance za kua na wakulu hupatikana kwa nadra sana na tuko hapa kusaidiana pia.
Mungu Aibariki Tanzania.