Men lets be fair kwa kweli

Men lets be fair kwa kweli

Kwenye mahusiano kuna kiongozi lazima na mmoja lazima akubaliane. Haya mambo ya kutafuta "droo" "droo" ndiyo maana mwisho w siku lazima ndoa ivunjike.
Mwanamke ni tofauti sana n mwanaume! Mfumo mzima w vichocheo vya mwili "hormones" ni tofauti dominant hormones on both sexes are not the same so are their roles!!
Hii kutaka playing God that is why kila siku amani inazidi kupotea katika familia na jamii. Lazima jamii ielimike hasa elimu ya kuweza kujitambua. Matatizo mengi ya chuki, hasira, visasi yanaanzia kwenye basic unit ya taifa yaan Familia. If we change how we live kuanzia ngazi ya familia tutabadili jamii nzima.
WE NEED TO CHANGE.
 
ila inaleta stimu mtu akiwa mbali kakumiss ukatuma kapicha ka uchi lazma aje..

kama wa kuja ni wa kuja tu...! sio lazma picha ya papuchi yako!
sana sana unaweza ndo ukawa umestimu zaid atafute wa fasta....!
A na Z ni sawa tu dear...! ni position tu zina tofautiana
hahahahahahaaaaa

kuja lazma aje ila kapicha kanamharakisha
 
Nadhani cha msingi hapa ni wanawake kutotuma picha zao za utupu kwa hao wanaojidai kuwa wanawapenda....tatizo katika hili ni kamba wanawake ni wadhaifu sana haswa wakipata mtu ambae ana kile anachokitaka/anachokipenda.

Mwambie mwanaume mwanzo kabisa wakati anakufuatili/anakutongoza your likes and dislikes na moja ya dislikes list zako liwe ni hilo la kutoombwa kutuma picha yako ya utupu wala kupigwa picha ya utupu kwa njia yoyote ile.

Wanawake mkiamua hili mnaweza.
 
habari zenu za asubuhi wapendwa wangu.....
katika kutafakari sana nimejikuta nawaza haya

kuna baadhi ya mambo unakutana nayo katika mahusiano, hasa pale yanapokuwa moto moto kuna vitu huwa tunafanya kujitoa akili kwa kuwa moyo umezama au kumshawishi mwenzio ili aone upo pamoja naye..... ila katika kufanya hayo mambo wakati mapenzi yanaelekea sa kumi jion yani mahaba ni mtafutano unakuta yale mambo yanaonekana kama ni fimbo ya kutuchapia hasa kwa upande wa wanawake... ila leo nitazungumzia zaidi kwenye kutumiana picha za utupu kwa wapenzi ...

katika kipengele hiki wanaume ni wepesi sana kutuma madushe yao hata kukuonyesha live madushe yao...... sasa mwanaume anapojiachia kutuma dushe llake basi hapo unakuta na mwanamke kwa kuwa kapenda anaamua kutuma papuchi yake, nyonyo yake kwa ampendaye .... kinachonifanya nione kuwa hatupo fair hasa upande wa me ni pale wawili hawa watakogombana mwanaume anaamua kutumia zile picha kusamabaza na hata kumwona malaya hafai na a lot of bla bla.....

mimi nimekuja na suluhuu ya hili mwanume akikuomba picha ya papauchi mwambie atume picha ya kalio lake in details...... akiomba picha ya nyonyo mwambie atume na yeye dushe...... nasema hivi ili mwisho wa siku tuheshimiane jamani... wanaume wepesi sana kutuma madushe yao ni kama kawaida.......
mkigombana MWANAUME AKISAMBAZA PAPUCHI ... NA MWANAMKE UNASAMBAZA KALIO LAKE ...... Hapo mambo yanakuwa ngoma drooo..................

samahani kama nitakuwa nimekosea ila naonea huruma sana wanawake na vibinti wanaodhalilishwa kwa sababu ya penzi....

nawapenda wote siku njema

Pole mama nimeona picha ya K yako kuleee vioja vya mtaa. Kumbe mmetimuana na jamaa mida?
 
Kama wewe haufanyi wizi huna sababu ya kutetea wizi

Utatetea wizi ili iweje?

Hapa tunaongea vitu vinavyoendelea kwenye jamii yetu. Upende usipende vipo na vinafanyika.. Kuielezea ni kwa sababu naiona kwe la kupiga picha za nusu utupu c la leo. Semchnoa ndio imekuwa. Nakumbuka nikiwa sekondary watu walikuwa wanatumiwa picha za wadada wanavichupi na kanga vifuani. Je nani alikuwa anawapiga picha?..

Kwa hiyo suala la picha za utupu ni hulka ya mtu. Mimi ukiwa friend wangu fb ukiona tu umenshere picha ya Udini, uchiuchi nakublock kuanzia siku hiyo.

Lazima tukiri yaliyopo ili tutafute suluhu.
 
habari zenu za asubuhi wapendwa wangu.....
katika kutafakari sana nimejikuta nawaza haya

kuna baadhi ya mambo unakutana nayo katika mahusiano, hasa pale yanapokuwa moto moto kuna vitu huwa tunafanya kujitoa akili kwa kuwa moyo umezama au kumshawishi mwenzio ili aone upo pamoja naye..... ila katika kufanya hayo mambo wakati mapenzi yanaelekea sa kumi jion yani mahaba ni mtafutano unakuta yale mambo yanaonekana kama ni fimbo ya kutuchapia hasa kwa upande wa wanawake... ila leo nitazungumzia zaidi kwenye kutumiana picha za utupu kwa wapenzi ...

katika kipengele hiki wanaume ni wepesi sana kutuma madushe yao hata kukuonyesha live madushe yao...... sasa mwanaume anapojiachia kutuma dushe llake basi hapo unakuta na mwanamke kwa kuwa kapenda anaamua kutuma papuchi yake, nyonyo yake kwa ampendaye .... kinachonifanya nione kuwa hatupo fair hasa upande wa me ni pale wawili hawa watakogombana mwanaume anaamua kutumia zile picha kusamabaza na hata kumwona malaya hafai na a lot of bla bla.....

mimi nimekuja na suluhuu ya hili mwanume akikuomba picha ya papauchi mwambie atume picha ya kalio lake in details...... akiomba picha ya nyonyo mwambie atume na yeye dushe...... nasema hivi ili mwisho wa siku tuheshimiane jamani... wanaume wepesi sana kutuma madushe yao ni kama kawaida.......
mkigombana MWANAUME AKISAMBAZA PAPUCHI ... NA MWANAMKE UNASAMBAZA KALIO LAKE ...... Hapo mambo yanakuwa ngoma drooo..................

samahani kama nitakuwa nimekosea ila naonea huruma sana wanawake na vibinti wanaodhalilishwa kwa sababu ya penzi....

nawapenda wote siku njema

Ah....gud to knw
 
Back
Top Bottom