Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,334
- 23,940
wewe upo wapi?
Sijawahi OMBA au KUOMBWA picha hizo!!!
wewe upo wapi?
picha ya kaliwo in details ndio inakuwaje? una mambo wewe
hapana labduanze wewe hapo kunitumia ka amateur selfie cha kwakonawewe unatumaga vi clip kama mie?
miss chagga big up sana kwa huu uzi. Umenisaidia kufahamu kwamba watu wanaishi na wapenzi wao kwa kuogopana na kuoneana aibu.
Na ndio maana michepuko inaendelea shika kasi.
Yale ambayo wanaona aibu yafanya na wake zao wanayakuta huko nje wakichepuka na mwishoe huishia ita wake au wame zao washamba kumbe ni ujinga wao wenyewe.
Team Eiyer et.al aka Team AIBU ,,badilikeni sasa.
Mapenzi ni UTOTO,
Mapenzi ni UCHAFU,
Mapenzi KUCHIZIKA,
Mapenzi KINYAAA,
Mapenzi EVERYTHN
Nitumie password basi na mimi roho isuuzike
hata yafanyike maandamano kitaifa ya kupinga mi siachi bana wengine tumeweza ku
udu distance relatn kwa njia hiyo...:A S 109:
Sijawahi OMBA au KUOMBWA picha hizo!!!
hapana labduanze wewe hapo kunitumia ka amateur selfie cha kwako
umeona eeh! kazi ipo kwa hawa watoto wa kidigitali
Nimekuja mbio nikiogopa nikahisi unataka ianika dushe yangu
ningefurahi kuiona...
mimi mgeni hapa.....
naaomba...basi...jamani...
Kumbe kuna vikundi humu?
Huogopi kuiona tupu ya shemeji??