miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
- Thread starter
- #41
kale kamchezo kana raha yake sema sasa matumizi hubadilika badaeila inaleta stimu mtu akiwa mbali kakumiss ukatuma kapicha ka uchi lazma aje..
😛eep:
kale kamchezo kana raha yake sema sasa matumizi hubadilika badaeila inaleta stimu mtu akiwa mbali kakumiss ukatuma kapicha ka uchi lazma aje..
😛eep:
ila inaleta stimu mtu akiwa mbali kakumiss ukatuma kapicha ka uchi lazma aje..
😛eep:
Satetment yako na wewe inatia shaka, Yaani mtu just a friend akuombe picha ya mbunye?Huu urafiki wenu na nyinyi ulikuwa wa mashaka. Hivyo vitu vipo mambo ya mahaba we yaache kama yalivyo. Ila inahitaji busara sana kwa kweli.
Mambo ya ugali kwa picha nilishakataa kitambo, dushe kuuubwa pichani lafaa nini? Ni aheri kula ka tusipiki laivu kuliko dushe kubwa pichani.
wengine ni husband wewe sema ndiyo hivyotena mahaba nipofue
wewe uwezi unamdogo wako ndugu yako mtoto wako anafanya hayo madudu kwa nia nzuri tu... msiongee hivyo ni shida huku mitaani watoto wanaacha shule
Sasa picha ya kalio la mwanaume we uifanyie nini?
Ni kweli usemach mimi nzweza kuto kufanya ivyo but, ndugu,jirani,marafiki, na hata wadogo zetu wanaweza kufanya ivyo but kitu cha muhimu ni kujitaidi kuishinda nafsi..................au kucontrol hisia maana hisia nikitu kibaya pia ni ngumu kuzicontrol ila angalau ujitaidi zisikutawale coz ndi zinazo sababisha kufanya hivy!
mwanume mwepesi sana kutuma dushe lake hasa kama anamashine inayotosha ...... kuna wengine wanalilia kabisa unatuma na yeye atume kalio
ha ha ha ndo maana barabani ajali nyingi ,maana njia mzima atakua anaiwaza tu........aidadavue vipi LOL
mhhh huo utoto ndo maana baadae unakuja kumuadhibu mmoja wapo
sawa mama haya muwaambie na wadogo zenu mtoto hati kwenda shule kumbe kashaharibu kitaaa acha kabisa
Wee mbayaaa weweeeee....hahaahaaaaaila inaleta stimu mtu akiwa mbali kakumiss ukatuma kapicha ka uchi lazma aje..
😛eep:
ha ha haha h@kongosho loh dushe mguu wa mtoto ukikutana nacho kitunguu swaumu ha ha ha ha
kuna watu wazima wanatuma ujue mimi langu sulluhuu tu kalio lako
mkulu P nimekuelewa vizur sanaMwanaume muomba picha za papuchi mpiga punyeto uyo
Mkuu naungana na wewe kwa moyo mweupeeeeeee....wanatuma wenyewee kwa kututega ili malengo yao yatimie. Anakuvuta kwa picha halafu anaambatanisha na ka invoice.Bahati mbaya wadada wote waliochangia mada wanaponda kuwa hawawezi kutuma utupu wao kwa vidume. But i beg to differ with you madame chagga...
Wadada wanaongoza kutuma picha kwa mabf zao. Sio lazima ziwe za utupu, hata za kawaida tu. Sijakuomba, wala kukuuliza kuwa nataka picha au audio voice yako...why sending? mwisho wa siku huyo huyo mdada anaanza kutuma nyonyo...then makalio na mwisho utupu wake.
Lakini pia sisi wanaume tunashida hapa, ukikosana na mdada na kuachana nae basi futa hizo picha..unakaa nazo za nini?
Wadada muache kutuma nyuchi zenu na audio ovyo, kwani tumesema twataka kuwasikiliza?!!