Kwa hili wacha niwe huko
Kuna mambo mengine unaweza kujiuliza kama binadamu mwenye akili timamu kama anaweza kuyafanya
Kuvaa suruali makalioni ni maendeleo
Kutoa tigo ni maendeleo
Kusuka nywele ni maendeleo
Na wote ambao hawafanyi au kutoyaunga mkono hayo wanadaiwa ni watu wa kizamani na wamepitwa na wakati,leo tunaambiwa ni wa "stone age"
Haya vijana kila la kheri na hayo mnayofanya,wacha sisi tuendelee kuwa tupo stone age!
mkubwa unafahamu kitu kinaitwa password, im the only to access the folder.
Wa wapi wewe??
kaka mbona unacheka jamani
kila la KHERI MKUU,, WENZAKO SASA TWAKIMBILIA NUCLEAR AGE. MAPENZI MNAFANYA KWA NJIA YA HEWA,
Aiseeeh hivi na wewe msichana unaamua kabisa kujipiga hizo picha za utupu au unaruhusu akupige hizo picha unakuwa na akili sawasawa kweli????
duh!...watu wana moyo aisee..
maana papuchi ilivyo na sura mbaya...kama ngozi ya goti..bado unalisave simuni..na kulitazama..!!!!!
Ptuuuuuuuuuuuuu....
mahaba mahabati acha kabisa mapenzi hayana formulaHivi na kwanini hasa upige picha sehemu za mwili wako uchi???....Ina maana mkitazamana humo vyumbani hamtosheki...mbona mkiitana kufanya mambo yenu mnajificha hamfanyii hadharani??....nachukia kweli aaarrrrrrhggghhh.
Aiseeeh hivi na wewe msichana unaamua kabisa kujipiga hizo picha za utupu au unaruhusu akupige hizo picha unakuwa na akili sawasawa kweli????
ha ha ha haha hahaahahahaaa! Unaitema papuchi kweli,, kweli, kweeelii!!!???
Wewe huna mpenzi, au una BRAIN TUMOR, HUENDA ULIKUTANA NA PAPUCH MBAAYA HADI IMEKUACHIA PSYCH.SCARS.
Utaambiwa uko stone age,shauri yako!
Ukirudi kutoka kazini nitafute!
ila inaleta stimu mtu akiwa mbali kakumiss ukatuma kapicha ka uchi lazma aje..
kama wa kuja ni wa kuja tu...! sio lazma picha ya papuchi yako!
sana sana unaweza ndo ukawa umestimu zaid atafute wa fasta....!
A na Z ni sawa tu dear...! ni position tu zina tofautiana
hahahahahahaaaaa
mapenz yanavipengele vingi sana siku hizi..... akikuomba ukimnyima anajua umemtumia mwengine.....
mahaba mahabati acha kabisa mapenzi hayana formula
akili unakuwa nazo zoote sema sasa hapo unataka kupalilia penzi likiwa mbali.... mumeo amekumisss anakuambia nitumia chakula yangu uwezi kataa unaenda washroom inaifotoa unaiweka hewani
wengine ni husband wewe sema ndiyo hivyotena mahaba nipofue
wewe uwezi unamdogo wako ndugu yako mtoto wako anafanya hayo madudu kwa nia nzuri tu... msiongee hivyo ni shida huku mitaani watoto wanaacha shule
mahaba mahabati acha kabisa mapenzi hayana formula
akili unakuwa nazo zoote sema sasa hapo unataka kupalilia penzi likiwa mbali.... mumeo amekumisss anakuambia nitumia chakula yangu uwezi kataa unaenda washroom inaifotoa unaiweka hewani
Sijaelewa,
yeye anakutumia picha ya dushe ili umtumie ya papuchi yako?
rika langu ni lipi nabadilika kama kinyonga ujue