Men lets be fair kwa kweli

Men lets be fair kwa kweli

Na wanawake wasikubali kutuma picha za utupu cz hizo picha zikisambaa mtandaoni utamlaumu nan na wakat ulipiga na kutuma kwa hiari yako,kuna kipind nilikuwag na rafiki ambay hakuwa boyfrnd wang wala nn alikuw akininganganiza sn nimtumie picha za utupu nikamwambia tuma kwanz zako akakataa baadae akatuma mimi nikakataa kumtumia tangu hapo alikasirika sana na kuninunia ,lakini wasichana tuwe makini la sivyo tutaendelea kudhalilishwa kila siku

Mkuu neha mimi , unajua wakati wa kutumiana MACHAPII ya UPUTU mtu anakua hawazi mbaali anawaza kile kilichopo kutokana na kupumbazwa na mapenzi ya kitoto. Ukijiuliza hizo picha ni za nini huwezi kupata jibu.

Kitu kama papuchi ikiwa bila mfuniko wake (pichu) kwa kweli inakosa mvuto, binafsi sipendi kuiona papuchi ikiwa bila pichu. hainisisimui kabisa. Hata nikiiomba picha ukituma ya hivyo siwezi kuiweka nitaifuta haraka sana.
 
Last edited by a moderator:
Yani katika vitu ambavyo hata kuviwaza siviwezi ni kutuma picha ya papuchi yangu, what for? Papuchi zenyewe zilivyo na sura ya ajabu mmh hapana kwa kweli, na hata zingekuwa nzuri kama tausi, why umtumie mtu picha ya maungo yako ya siri? Kesho zikivujishwa mtandaoni tunaanza kulia lia oooh kanidhalilisha eeeeh jamani wewe wakati unamtumia hizo picha hukujia kama unajidhalilisha? Tuache ujinga wa kujifanya tuna mahaba niue
 
Hahahahah yaani katika vitu ambavyo sivipendi na nimeapa kutovifanya ni kumtumia mtu picha yaviungo vyangu never ever sitafanya hicho kitu labda anivizie nikiwa melala uchi aniphotoe lakini sio kwamikono yangu kufanya ivyo............kwanza kama wampenda mtu na nimpenzi wako kwanini usiwe mpole kama papuchi haiishi kusema ni sabuni itatumika itaisha wewe kama uko mbali tulia tu utaikuta lakini sio nikutumie picha ya papuchi yangu na manyoyo never!!

aisee, ndo mana nakupenda...
 
Na wanawake wasikubali kutuma picha za utupu cz hizo picha zikisambaa mtandaoni utamlaumu nan na wakat ulipiga na kutuma kwa hiari yako,kuna kipind nilikuwag na rafiki ambay hakuwa boyfrnd wang wala nn alikuw akininganganiza sn nimtumie picha za utupu nikamwambia tuma kwanz zako akakataa baadae akatuma mimi nikakataa kumtumia tangu hapo alikasirika sana na kuninunia ,lakini wasichana tuwe makini la sivyo tutaendelea kudhalilishwa kila siku

Satetment yako na wewe inatia shaka, Yaani mtu just a friend akuombe picha ya mbunye?Huu urafiki wenu na nyinyi ulikuwa wa mashaka. Hivyo vitu vipo mambo ya mahaba we yaache kama yalivyo. Ila inahitaji busara sana kwa kweli.
 
Nimekuunga mkono kwa hoja yako!, but niseme ukweli sio kirahisi rahisi tu nikupe picha ya chuchu au papuchi yangu labda unipige bila kujua.
 
mkigombana MWANAUME AKISAMBAZA PAPUCHI ... NA MWANAMKE UNASAMBAZA KALIO LAKE ......
Hapo mambo yanakuwa ngoma drooo..................
papuchi=kalio???????!!!!!!!!!

717540-beam-balance.gif
 
ha ha ha amna ila iliniumiza tu kuona vipicha whats app vibint vidogo wanalia lia picha zao viboyfriend vyao wanasamabaza ni huruma ... hawakufanya kwa nia mbaya ila ndiyo baadae inageuka kuwa fimbo ni huzuni
Kweli mkuu, hawa vijana bado hawajajua nani wa kumtumia na nani wa kumkatalia, inabidi ujue aina ya mtu, tuma lakini jua lolote laweza kutokea. Ficha sura yako then mtumie hata akiweka mtandaoni inakua haina maana kwani haina uhakika kuwa ni wewe.

Hebu kwanza nitumie namimi lol! hahahaaa
 
Hahahahah yaani katika vitu ambavyo sivipendi na nimeapa kutovifanya ni kumtumia mtu picha yaviungo vyangu never ever sitafanya hicho kitu labda anivizie nikiwa melala uchi aniphotoe lakini sio kwamikono yangu kufanya ivyo............kwanza kama wampenda mtu na nimpenzi wako kwanini usiwe mpole kama papuchi haiishi kusema ni sabuni itatumika itaisha wewe kama uko mbali tulia tu utaikuta lakini sio nikutumie picha ya papuchi yangu na manyoyo never!!

kwanza kwa nini unamtumia utupu kwenye simu, kama ni mpenzi wako akiutaka si unampelekea live? mambo mengine ni kujitakiaa na wala sio uzalilishaji

Much as wanakubaliana kwa utashi wao we waache tu

wanawake wengi hawajitambui wasisingizie ohooo mahaba yalikolea sana

kwanini upige picha za x nashangaaga kwa kweli mpenzi ataekwambia nitumie picha yako ya x mwekee shaka sio husband material huyo
wengine ni husband wewe sema ndiyo hivyotena mahaba nipofue
hivi mtu unakuwa unawaza nini hadi unapiga picha utupu wako....

wewe uwezi unamdogo wako ndugu yako mtoto wako anafanya hayo madudu kwa nia nzuri tu... msiongee hivyo ni shida huku mitaani watoto wanaacha shule
 
mwanume mwepesi sana kutuma dushe lake hasa kama anamashine inayotosha ...... kuna wengine wanalilia kabisa unatuma na yeye atume kalio

Mkuu neha mimi , unajua wakati wa kutumiana MACHAPII ya UPUTU mtu anakua hawazi mbaali anawaza kile kilichopo kutokana na kupumbazwa na mapenzi ya kitoto. Ukijiuliza hizo picha ni za nini huwezi kupata jibu.

Kitu kama papuchi ikiwa bila mfuniko wake (pichu) kwa kweli inakosa mvuto, binafsi sipendi kuiona papuchi ikiwa bila pichu. hainisisimui kabisa. Hata nikiiomba picha ukituma ya hivyo siwezi kuiweka nitaifuta haraka sana.

Sasa sijui wanawazaga nn,mim binafsi siwezi kufanya ujinga huo hata kama ni boyfriend wang anataka na nampenda kiasi gan siwezi kufany hivo sana sana ntamuona kumbe hafai
 
Last edited by a moderator:
mi hata ukitaka dushe langu sasaivi na ku PM...shida iko wapi?
 
Kweli mkuu, hawa vijana bado hawajajua nani wa kumtumia na nani wa kumkatalia, inabidi ujue aina ya mtu, tuma lakini jua lolote laweza kutokea. Ficha sura yako then mtumie hata akiweka mtandaoni inakua haina maana kwani haina uhakika kuwa ni wewe.

Hebu kwanza nitumie namimi lol! hahahaaa

ha ha ha ha dikembe unanifurahisha sana aisee sasa mwingine anatuma anaweka na sura kaimake up ili mpenziwe aone jamani
 
Last edited by a moderator:
kizazi changu kilivuka kivuko hicho salama! "VODACOM kazi ni kwako"
 
Back
Top Bottom