Men lets be fair kwa kweli

Men lets be fair kwa kweli

Waliosema mapenzi ni upofu hawakukosea, hayana mkubwa wala mdogo, hayana ,masikini wala tajiri, hayana mrefu wala mfupi, hayana msomi wala asiye msomi, haya mambo yanafanywa mpaka na viongozi wakubwa kabisa kwenye nchi na duniani. Na yanapotokea hayo hata huwezi fikiria kesho itakuwaje.

Kwa hiyo hii kitu wala msiwasingizie watoto, watu wazima kabisa na elimu zenu na kazi zenu. Wengine wake na waume zao, wapenzi n.k. Lakini msisitizo kuwa, kwa kuwa mapenzi ya kibongo ni kama vita, wengi wakishaachana huwa maadui na hapa ndio shughuli huanza ya kudhalilishana.

Cha msingi ni busara tu kati ya wawili.
 
Wanaofanya hayo ni malimbukeni wa mapenzi kupitiliza,wenye vinyongo,chuki na roho za visasi,ukinitumia picha naangalia nadelete,tukiachana heshima inachukua nafasi yake,nawaza sana mnafanyiana hivo kisha mnakuja kurudiana,poleni sana girls mkipiga msionyeshe sura,over

hasira ina maamuzi mabaya sana
 
Naona kama wote ni wajinga tu

Anaetuma dushe na anaetuma papuchi ...

Halafu hii naona imekaa kitoto toto zaid,sidhani kama mtu mzima atakuambia umtumie picha ya papuchi yako

Naona kama vijana mnakokwenda ni kwenye u.pumbavu zaidi

Unatuma picha za sehemu zako nyeti ili iweje kwanza?

mkuu we bado upo Middle stone age,.,
 
Naona kama wote ni wajinga tu

Anaetuma dushe na anaetuma papuchi ...

Halafu hii naona imekaa kitoto toto zaid,sidhani kama mtu mzima atakuambia umtumie picha ya papuchi yako

Naona kama vijana mnakokwenda ni kwenye u.pumbavu zaidi

Unatuma picha za sehemu zako nyeti ili iweje kwanza?

kaka shikamoo... kuna hadi watu wazima kuzidi wewe wanafanya hivi si utoto to me naona ni mapenzi ila baada ya kmaliza mapenzi msiaibishane ni party of love.... mahaba nipoteze najua wengi humu wanafanya hivyo though hapa wanazunguka tu ........ mapenzi ni upofu kuna ujinga mwingi kwenye mapenzi...
 
Waliosema mapenzi ni upofu hawakukosea, hayana mkubwa wala mdogo, hayana ,masikini wala tajiri, hayana mrefu wala mfupi, hayana msomi wala asiye msomi, haya mambo yanafanywa mpaka na viongozi wakubwa kabisa kwenye nchi na duniani. Na yanapotokea hayo hata huwezi fikiria kesho itakuwaje.

Kwa hiyo hii kitu wala msiwasingizie watoto, watu wazima kabisa na elimu zenu na kazi zenu. Wengine wake na waume zao, wapenzi n.k. Lakini msisitizo kuwa, kwa kuwa mapenzi ya kibongo ni kama vita, wengi wakishaachana huwa maadui na hapa ndio shughuli huanza ya kudhalilishana.

Cha msingi ni busara tu kati ya wawili.

well said
 
Hahahahaha ivi kweli mtu anaanzaje kupiga papuchi yake picha.....kwanza na anza anzaje na hisi hata kamera ntaiyonea aibu arrrrrgahh what the ----ing hell I can't do that at all bora bahaba yafe tu, kwanza mie mwanaume akishaanza ooooh nitumie picha ya papuchi oooooh your boobs mara your ass nakulia tu bati yaani napita zangu ivi akaaaah!!
aiseeee....me naona anataka kuiona vizur maana kwenye picha unaizoom inakua kubwaaaaaaa unaona kila kitu.....
 
Naona kama wote ni wajinga tu

Anaetuma dushe na anaetuma papuchi ...

Halafu hii naona imekaa kitoto toto zaid,sidhani kama mtu mzima atakuambia umtumie picha ya papuchi yako

Naona kama vijana mnakokwenda ni kwenye u.pumbavu zaidi

Unatuma picha za sehemu zako nyeti ili iweje kwanza?

i guess itakua ni marketing
 
Waliosema mapenzi ni upofu hawakukosea, hayana mkubwa wala mdogo, hayana ,masikini wala tajiri, hayana mrefu wala mfupi, hayana msomi wala asiye msomi, haya mambo yanafanywa mpaka na viongozi wakubwa kabisa kwenye nchi na duniani. Na yanapotokea hayo hata huwezi fikiria kesho itakuwaje.

Kwa hiyo hii kitu wala msiwasingizie watoto, watu wazima kabisa na elimu zenu na kazi zenu. Wengine wake na waume zao, wapenzi n.k. Lakini msisitizo kuwa, kwa kuwa mapenzi ya kibongo ni kama vita, wengi wakishaachana huwa maadui na hapa ndio shughuli huanza ya kudhalilishana.

Cha msingi ni busara tu kati ya wawili.

Narudia tena ....

Kama wewe ni mtu mzima unataka au unaomba mtu wako akutumie picha ya sehemu nyeti,naomba ujue kuanzia leo wewe ni mpuuzi kupitiliza na hujakua

Unataka hiyo picha kwaajili ya nini?

Natarajia hili litokee kwa ma teenage ambao bado upeo wao wa kuona mambo ni mdogo,sasa kama na mtu mzima unafanya haya wewe ni wa hovyo sana!
 
kuna papuchi kweli hazitamaniki kuona.,,
Wenye bahati zetu tunamiliki vitu safi, muonekano safi., lainii
 
Back
Top Bottom