Ndio maana tumeweka security ya nguvu mlangoni. Hatutaki ma nungayembe yaje kutuchafulia party yetu bwana.Thubutu, umeona anavyobehave leo?
Leo anatulia na mie, vijumba vidogo leo wanalo
Hahahahahaha, safi sana. Mi mwenyewe nimepuliza kitu kidogo jikoni with JS, naona yeye kaingia kulala kwanza. Hata mimi ngoja nikapumzike kidogo, I'll be back in an hour or so. lolNdio maana nikaomba mwongozo mapema
( nina kichupa cha tindikali )
Ok sawa madame....Erick, upo security, don't be distracted na wageni. Mwelekeze smiling saint meza yake (anakaa na Smile) na stay focus bwana. Kuna watu hawana dini wanaiba vyupa (wanaficha kwenye hand bags).
Nani kanionea Tanmo? Yeye ndie atapiga picha zote za party na kuzitangaza gazeti letu la Udaku JF. Najua lazima kutakua na ka-scandal ka kukamilisha party.
mimi siwezi kujilazimisha kwa mwanaume mimi nitapata tu siku mungu akipendaMwache Smile, ujana unamdanganya. Atafundishwa na dunia...
Smile dear, kama bado moyo upo we banana na Cantalisia hivo hivo. in a man's life women come and go, but he always has one to run to. Sasa kama ukiamua, that one could be you my dear.
umenionea mtei one au smiling saint?Ok sawa madame....
Nilikuwa nawapanga vijana wangu hapa ili kazi ikae sawa na watu wasiboreke....
Smile kwani umeshaachana na Smiling Saint?mimi siwezi kujilazimisha kwa mwanaume mimi nitapata tu siku mungu akipenda
kwani nafasi za nyumba ndogo kwa the boss zimejaa
yeye ndo last hope kwangu
Yupo alikuwa anashangaa shangaa jinsi ukumbi ulivyopambwa.....umenionea mtei one au smiling saint?
Kweli kabisa....tuko vizuri....Ndio maana tumeweka security ya nguvu mlangoni. Hatutaki ma nungayembe yaje kutuchafulia party yetu bwana.
FirstLady na wewe umepangiwa meza pande ya VIPs, there is no way our JF FirstLady would go anywhere else. Mzima?
Smile kwani umeshaachana na Smiling Saint?
Kwenye hii sherehe tunafikiri kuwachuja ma-Singles wakae kivyaoooo na sisi wenye familia tutakuwa tukimpa The Boss kampany kiutu uzima....
Fanya maamuzi haraka.....
I am a Mod, and as a Mod I report to the administration, but I work for all JF members.
However, some JF members are more exigent than others, One of them is The Boss.
The Boss stands no fuse, no excuse nor complaints. I have to do everything according to the book!
I have to make sure his wife and mistress do not bump into each other in case they come together in his office, I have to tolerate shiit, And since he has been crowned MMU king of the year 2011, he has been a real pain in the behind!
But stilI, have to worship and execute everything he orders... why? because he is the Boss (source: The Boss).
Boss, today you are a baby. It's time to relax and let go, or you wonΒt enjoy the fantastic party that your friends have organized for you.πarty:πarty:πarty:πarty:πarty:
Why a party? Because when it is The Boss' Birthday we all go an extra mile to do the job.
Happy birthday Mr. Boss
dah niliachwa siku nyingi mwenzio.mdogo wangu canta niliemtoa kijijini kanichukulia mume hivihvi...... Still searching .... Ila si unajua mambo ya party najua leo lazima nitatoka ngoja niupare
HBD The Boss.....
Wazee tunafanya tambiko huku. Unakaribia kuingia kwenye kundi letu la wachungulia makaburi siku za karibuni....
Ndo utatute sasa...lolNdo maana nimechelewa kwenye hii party, kumbe kuna kubaguana!