::Memo for The Boss::

hapa ndo penyewe.

Ila mtoto sijui anaruka majoka?au anacheza funky?

Haendi na beat kabisa, andaeni ambulensi nikikanyagwa.

Haya Kongosho jiachie!Sitoweza kuliacha rumba, bila moyo kunituma, moyo wangu wanituma vyema, niwe mwanachama wa daima!
EMBE DODO - YouTube
Mombasa siendi tenaa, kuna dogodogo nyingii!ha haa!
 
The Bossss..........
Happy Birthday meeen.....!!
Nimekuandalia Ubuyu wa Rangi meeeen....
Au unapendelea maziwa ya Mgando nimwombe Kongosho akuletee?
 
Happy day The Boss!
I pray that; since now your Born Again (mara ya ishirini na ngapi vile?), utaziacha njia zote za kwenda kwenye zile nyumba ndogo na kubaki kwenye njia ya nyumba kubwa tu!

Niliikosa party, lkn nimekuandalia supu ya dagaa wabichi, spesho kwa kushusha mning'ining'io!

Happy Birthday Mkulu!
 
303325.jpg
 
Back
Top Bottom