Membe: Kikwete siyo kaka yangu

Membe: Kikwete siyo kaka yangu

asitudanganye hawa ni baba mmoja. sisi tutaamini kwa matokeo ya DNA tu pale kwa mkemia mkuu na si kwa maneno
 
Amesema wakati akichukua fomu hapo Dodoma.

Amesema asingeficha kama angezaliwa baba mmoja yeye na Jakaya!

Duh hii kali, kwangu binafsi nitakuwa very proud Kikwete akiwa kaka yangu. Sasa jamaa anakataa undugu na most successfully man in our generation pamoja na kwamba evedence zote zina point the same, Kweli tutaona mengi, wahenga walisema kua uone
 
sisi tunaenda kushangaa hili fisadi lenye kujiamini kama shetani.Lowasa tunamjua ni mwizi sugu lakini bado anataka uraisi.El is very amazing mtu mwizi


Heri ya shetani kuliko wewe usokuwa dhetani wala malaika.wewe sawa mbegu za uzao ambazo hazijapata mwenzame ili kitokee kiumbe.nyoka wa ndimi mbili
 
“Ninafurahi kukabidhiwa fomu hii na nina hakika kutokana na kujipima na kujiona ninafiti nafasi hii kulinganisha na waombaji wengine ni lazima tubadilishe nchi yetu kuwa nchi ya uchumi wa viwanda.”Membe.
Najiuliza hivi vile viwanda vilivyoanza kuchipua nchi hii aliviua nani?
 
Hata kama angezaliwa na Papa au Mfalme wa Saudia uraisi atausikia kupia redioni.
 
hiyo hoja ya undugu mbona iko weak sana kwenye hii duru ya uchaguzi, fitna dhaifu sana za kisiasa.
 
Amesema wakati akichukua fomu hapo Dodoma.

Amesema asingeficha kama angezaliwa baba mmoja yeye na Jakaya!


Chanzo: Michuzi

We ulitegemea akubali ili imuharibie?
Hata mi ningekataa hata kama ni kweli
 
Membe waswahili wenzako akina vicent kigosi umewaleta bora mpaka lindi? Kwa sababu wewe umetoa rushwa ? Sasa sisi atukushangai wewe sisi tuna deal na walio pokea rushwa.........
 
Mkuu hasafishiki kwa kivip, maana hana tuhuma wala hatujaona akiburuzwa mahakamani, au wewe una ushahidi kidogo utueleze na wana JF tuelewe....

Mfalme Selemani alimwacha mkewe sio kwa kuwa kulikuwa na ushahidi kuhusu tuhuma za "uchafu" dhidi yake; la hasha; bali kwa sababu aliona kwamba mke wa mfalme hatakiwi hata kutuhumiwa kabisaaa; by the same analogy; mtu anayetafuta kuwa mpangaji wa jumba takatifu kama Ikulu hatakiwi kuwa na tuhuma yoyote; hata kama hakuna ushahidi wa kimahakama; period
 
Heri ya Membe kuliko ma-mvi. Jamaa wa kaskazini ametumia, bado anatumia gharama kubwa kutafuta kuwa mpangaji magogoni,jumba namba moja nchini. Nini chanzo cha hizo pesa,nini lengo lake,atarudishaje hizo gharama. Kama CCM hawana mwingine zaidi yake, watakuwa wameshindwa asubuhi. Mr white hair hasafishiki

bato;
Bila hata kuuliza yaani unaonyesha wazi kuwa weye ni kambi Membe. Lakini, cha kusikitisha ni kwamba CCM siyo vichaa wakubali kuangamiza chama chetu kitukufu kwa ajili ya kuwafurahisha wachache.
EL ndo rais wa ccm. Nasema bila kupepesa macho wala kumung'unya maneno. Mwambie Membe wako aje hapo 2025
 
sisi tunaenda kushangaa hili fisadi lenye kujiamini kama shetani.Lowasa tunamjua ni mwizi sugu lakini bado anataka uraisi.El is very amazing mtu mwizi

kula kiporo ni hatari sana!:
😛ound:
 
Haijalishi kama ni ndugu au wanafanana kwa bahati mbaya... ila kiukweli huwezi kuwa Rais wa nchi hii kwa kuwa tuu huwezi kufanya kazi tunayoitaka...... umeshindwa kutoa msimamo wako kwenye mambo kadhaa ikiwapo la Ushoga (mlipotoka sydney kwenye Jumuia ya madola) pia na la wana mtwara na sakata la gesi... sidhani kama ni busara kuwa na rais ambaye hana hisia hata kidogo
 
Mangatara
Unaona mbali lazima chama kiangalie soko (wapiga kura) sio familia yakitokea yakutokea hiyo ni familia moja tuu inapanda ndege na kukimbia walio wengi?
 
Back
Top Bottom