Heri ya Membe kuliko ma-mvi. Jamaa wa kaskazini ametumia, bado anatumia gharama kubwa kutafuta kuwa mpangaji magogoni,jumba namba moja nchini. Nini chanzo cha hizo pesa,nini lengo lake,atarudishaje hizo gharama. Kama CCM hawana mwingine zaidi yake, watakuwa wameshindwa asubuhi. Mr white hair hasafishiki
Huu ukaskazini ndio unatufanya wakaskazini tuchangishane fedha kwa ajili ya Lowassa. Wewe Msengerema kuwa na adabu acha ubaguzi. Mbona nyie waswahili mmetutawala Mara 2.