Membe: Kikwete siyo kaka yangu

Membe: Kikwete siyo kaka yangu

Heri ya Membe kuliko ma-mvi. Jamaa wa kaskazini ametumia, bado anatumia gharama kubwa kutafuta kuwa mpangaji magogoni,jumba namba moja nchini. Nini chanzo cha hizo pesa,nini lengo lake,atarudishaje hizo gharama. Kama CCM hawana mwingine zaidi yake, watakuwa wameshindwa asubuhi. Mr white hair hasafishiki
Hapo kwenye red huwa panatatiza kidogo. Wanaliotia nia urais wenye mamvi ni Mwandosya, Ghalib Bilal, Lowassa. Lakini ukitaja ma-mvi/white hair ni mmoja tu! EL! Hawa wengine mvi zao zina kasoro gani? Au za EL ndo original? Predzaa!
 
HAWA WAGOMBEA ALMOST WOTE WANATIA SHAKA HASA PALE WANAPOSHIKAMANA NA WATU KAMA RUZWANI NA ROSTAM/

kwa nini wasiambatane na watu safi?
kama kingunge,warioba na salim,butiku nk
 
Membe nae ni NEWS..!!?? hakuna vingine vya kujadili?
 
Heri ya Membe kuliko ma-mvi. Jamaa wa kaskazini ametumia, bado anatumia gharama kubwa kutafuta kuwa mpangaji magogoni,jumba namba moja nchini. Nini chanzo cha hizo pesa,nini lengo lake,atarudishaje hizo gharama. Kama CCM hawana mwingine zaidi yake, watakuwa wameshindwa asubuhi. Mr white hair hasafishiki
mnakazi ya kuyazuia mafuriko,endeleeni tuu kama mpaka hawa wananunuliwa..basi jamaa ana hela nyingi
lowasa.jpg
lowas.jpg
 
Iwe ni kaka yako, baba yako, Membe hutufai.
Kuna kazi nyingi tu za kufanya, achana na URAIS.
 
Heri ya Membe kuliko ma-mvi. Jamaa wa kaskazini ametumia, bado anatumia gharama kubwa kutafuta kuwa mpangaji magogoni,jumba namba moja nchini. Nini chanzo cha hizo pesa,nini lengo lake,atarudishaje hizo gharama. Kama CCM hawana mwingine zaidi yake, watakuwa wameshindwa asubuhi. Mr white hair hasafishiki

angalia anavyopokewa na mamia ya watu kila kona.lowasa hazuiliki hata ulete kashfa gani nani ccm ambaye hana kashfa
 
Katika watu walio tia mwaka huu kila nikimuangalia membe Lowasa na Samweli Sitta ni dhahiri utagundundua kuwa moja kati ya ndoto zao tangu wakiwa vijana wamekuwa wanatamani siku moja wangekuja kuwa marais.

Pia ukimwangalia Membe na Lowasa katika kutia nia wamekuwa. Wakiongea. Kwa wasiwasi kama kweli wataweza kutimiza ndoto zao za muda mrefu.

Na pia kila mmoja amekuwa anajitahidi juhudi zake na maarifa kupata ushawishi.

Ila taarifa za uchunguzi kutoka kwa watalamu wa siasa endapo mmoja wao au wote wakaukosa uraisi kuna dalili zozote mmoja wao kupata tatizo la pressure sio siri.

Katika harakati hizi kuna kupata na kuna kukosaa maana ikitokea mtu amekosaa moyoni mwake yupo tayali kukubali matokeo .

Ushauri wangu kwa wagombea wangu unadhani una moyo mwepesi ni bora ukajitoa mapema maana nina wasi wasi wagombea wangu kama huna moyo wa chuma ni bora ujitoee maana kuna dalili ya watu kupinga maamuzi ya kamati kuuu.

Ni kweli mtupu mkuu
Kwa upande wangu nadhani lowassa anaongoza kwa hii presha
Sijui ataishije akiukosa aisee
 
Heri ya Membe kuliko ma-mvi. Jamaa wa kaskazini ametumia, bado anatumia gharama kubwa kutafuta kuwa mpangaji magogoni,jumba namba moja nchini. Nini chanzo cha hizo pesa,nini lengo lake,atarudishaje hizo gharama. Kama CCM hawana mwingine zaidi yake, watakuwa wameshindwa asubuhi. Mr white hair hasafishiki

Mr Cotton!
 
Lowassa hafai hata chembe. Fisadi,raghai, afya mgogoro. Kinachompa moyo ni ushauri wa TV Joshua kuwa atashida kwa masharti ya kutoa misada misikitini na makanisani. Kweli kiongozi wa nchi anaendelea kuomba uongozi kwa watu wanaotumia nguvu za giza kuwa tawatapeli watu? Naomba Kamati kuu, huyu maumvi hatufai, mpigeni chini bila kumuonea haya.

TV JOSHUA. Ndio. Nani tena?. Au ndio unalipa fadhira kwa team wapiga ramli
 
Iwe vyovyote iwavyo Lowasa kuingia Ikulu kupitia ccm ni ndoto.Ninacho kiona mimi huu ndio mwaka wa mwisho ccm kua (chama tawala) madarakani, kwa sababu ndani ya ccm wale wanaojiita wenye chama hawamtaki EL hivyo watafanya kila wawezalo kumtoa kwenye vikao vya mwanzo kabla hata ya 3bora.

Hivyo basi EL atahamia upinzani akiamini kabisa wananchi wanamkubali sana,hivyo anaamini kua kwa kupitia chama chochote ataupata Urais tu.
Hivyo atakapo hama atagawa kura nyingi sana za wana ccm.Mtokeo yake ni UKAWA kushinda kwa kishindo.Huo ndio utakua anguko la ccm mwaka huu.Chama cha upinzani alichojiandaa EL kuhamia ACT-Wazalendo.
Subirini mtaona!!
 
Membe na JK ni mtu na kaka yake ni watoto wa baba mmoja.Hawa wote walisoma shule za mission kwa majina ya kikristo na baada ya kumaliza jk akabadilisha majina na kurudia majina yake lakini membe hakufanya hvyo na kubaki na jina la kikristo asilete porojo tunajua ndo mana jk, ritz1 na mama yake wanamsupport sasa sijui kama akiwa raisi anaweza kuwashtaki endapo watabainika kuwa wamehujumu uchumi

Udugu siyo tatizo.... Karume baba na mtoto marais, Mwinyi rais mtoto waziri, Kama anakubalika na wananchi atachaguliwa. Kama hakubaliki hawezi kuwa rais. Sasa jeeeee ana sifa za kutuongoza?
 
watu wanapaswa kuelewa kuwa Lowasa ana fedha kama anafanya kitu chochote fedha lazima ionekane. yaani hata mengi akifanya safari na wewe ukifanya safari ileile Mengi ataonekana anatumia hela nyingi. Huo ndo ukweli
 
Back
Top Bottom