Kweye Makaburi ya WAMWERA na la Baba wa Taifa ....
sisi tunaenda kushangaa hili fisadi lenye kujiamini kama shetani.Lowasa tunamjua ni mwizi sugu lakini bado anataka uraisi.El is very amazing mtu mwizi
Kama umemaliza niambie......
Ngoja tuone!Kuna hii ishu niliambiwa kwamba jakaya kikwete na Benard Membe ni watoto wa baba moja ila Membe mama yake alienda kuolewa lindi hivyo Benard membe ikibidi abadilishe jina la ukoo.,
Pia katika mjadala huo kuna mdau aliibuka na kusema kwamba Nape Nnauyr na yeye baba yake ni Profesa Mark Mwandosya.
Tujuzane tafadhali..
Mkuu hii maada ni swali la ndio au hapana pamoja na maelezo ya ku backup jibu, sio statement, nadhani ungesema tu hapana ingetosha na wengine nao watakaosema ndio watatoa evidence, Simple like thatMod ondoa upupu huu kwenye grupu
Ni sawa na mtu aje na habari kuwa Jiwe ni mhutu na si Mtanzania
Ujinga mtupu
Kweli ujinga lakini anataka kuondokana na huo ujinga, mpe jibu asiwe mjinga tenaMod ondoa upupu huu kwenye grupu
Siasa za maji taka!
Ni sawa na mtu aje na habari kuwa Jiwe ni mhutu na si Mtanzania
Ujinga mtupu
Bernard Kamilius Membe alizaliwa tarehe 9 Novemba, 1953, Rondo, Chiponda, katika Mkoa wa Lindi, akiwa ni mtoto wa pili kati wa watoto saba (7) waliozaliwa katika familia ya Mzee Kamillius Anthony Ntachile na Mama Cecilia John Membe. Kwa kabila, Bernard Membe ni Mmwera, na kama ilivyo desturi ya Wamwera, watoto hutumia jina la ukoo wa Mama. Hivyo watoto wote saba wa familia hii ya Mzee Kamillius wamekuwa wanatumia jina la upande wa mama yao, Cecilia, yaani Membe.Kuna hii ishu niliambiwa kwamba jakaya kikwete na Benard Membe ni watoto wa baba moja ila Membe mama yake alienda kuolewa lindi hivyo Benard membe ikibidi abadilishe jina la ukoo.,
Pia katika mjadala huo kuna mdau aliibuka na kusema kwamba Nape Nnauyr na yeye baba yake ni Profesa Mark Mwandosya.
Tujuzane tafadhali..
Kama yanakusumbua kawashawishi na uwalipie wafanye vipimo vya DNAKuna hii ishu niliambiwa kwamba jakaya kikwete na Benard Membe ni watoto wa baba moja ila Membe mama yake alienda kuolewa lindi hivyo Benard membe ikibidi abadilishe jina la ukoo.,
Pia katika mjadala huo kuna mdau aliibuka na kusema kwamba Nape Nnauyr na yeye baba yake ni Profesa Mark Mwandosya.
Tujuzane tafadhali..
Hivi huyu mkuu bado anayasimamia maneno yake haya?vilevile, watu wamechoka na upole, wanahitaji mtu mkali at least kama kagame fulani ili aichangamshe nchi, watu wamechoka wanahitaji mtu mwenye kujambishajambisha
Aswaaa maaana ndo ilivyoHivi huyu mkuu bado anayasimamia maneno yake haya?
Mlizoe vilivyo jifiaHivi huyu mkuu bado anayasimamia maneno yake haya?
Membe umechelewa kuchukua mbeleko.Amesema wakati akichukua fomu hapo Dodoma.
Amesema asingeficha kama angezaliwa baba mmoja yeye na Jakaya!
Chanzo: Michuzi