Membe jiandae kisaikolojia

Membe jiandae kisaikolojia

Siasa ni mchezo mchafu sana ,mara nyingi mwenye nguvu hua ni yule mwenye dola,especially nchi za kiafrika.

Ndio maana wale wajanja ambao hujua wamepora wakiwa kwenye madaraka muda ukiisha hukaa kimya kujilia vyao taratibu.

Sasa naona umechokoza mzinga wa nyuki kumbuka ulikua kwenye system unataka kupambana na system,ambayo inakujua kindakindaki ABC zako.kukumaliza ni jambo dogo sana.

1-Imetajwa dola million ishirini (20)za Gaddafi ,unatakiwa utoe maelezo ya kutosha.

2-kutamalaki kwa dawa za kulevya awamu yako.

3-utakatishaji fedha uliokithiri awmu yako.

4-ugonvi wa Tanzania na malawi/ Tanzania na Rwanda ukiwa waziri wa mambo ya nje uhusiano ulikua mbaya.

5-ulileta makampuni mengi ya kitapeli ambayo mengi yalikua hayalipi kodi,ikiwemo kuuza kipande cha ardhi Bagamoyo kwa wageni pia kuikabidhi gas ya mtwara na Lindi kwa mkataba wa kinyonyaji. hapa nakumbuka Simbachawene aliuleta huu mkataba bungeni kwa haraka,ni wabunge 60 tu waliopitisha ,wapinzani kina Lissu walisema serikali ina haraka gani?
,jiandae kupangua hoja ikiwa wewe ndio uliowaleta.
6-una makampuni na mahotel huko Lindi na mtwara ambayo inasemekana yaliongoza kwa ukwepaji kodi,jiandae kupambana na TRA,

Mengi yataibuka na usije shangaa ukapewa kesi ambayo utahangaika nayo sana,itakupa uchovu wa akili na mwili.

Kwakua bado una ndoto za kuwa rais wa nchi hii komaa,ila system huwezi ishinda hata siku moja,hili nawe unajua, na kwa vile wanadamu tumeumbwa na kiburi nakuachia wewe mwenyewe uchague,Lowassa aliliona hilo ,na mwisho wake hua ni stroke ,diabets au paralasing ukiwa bunkrupy kabisa.
Stupid..
Mbona jiwe ana makashfa kibao ya huko nyuma..??
Umechelewa kujikomba vyeo vimeisha..
Fala wewe.
 
Magifuli mpaka 2025, huu ndo ukweli mchungu. Tumuombe mungu bunge letu tukufu lisiongeze ukomo wa rais kutawala, hivi ni jasiri gani atasimama kupingana na JPM tena kutokea ndani ya CCM?? Huyu JPM tumuache hivi hivi. Miaka michache rugemalira na seth walihonga hadi ikulu, chin ya magufuli wananyea ndoo keko..... jamaa ana maamuzi magumu mpaka waliomuweka wanamuogopa.

Muda ni mwalimu mzuri sana, Wacha tusubiri.
 
Ndivyo unavyodanganyana na Wapuuzi Wenzio mkiwa katika Vijiwe vyenu vya Gongo, Komoni na Wanzuki?
HATA ALBASHIRI ALIKUWA AMEZUNGUKWA NA WAPUMBAVU FLANI WALOKUWA WAKIMWAMINISHA KUWA YEYE NI ALPHA NA OMEGA PIA WALIMSIFIA KWA KUDHIBITI WAPINZANI KWAMBA YEYE NI MWAMBA ULIOSHINDIKANA CHA AJABU BEI YA MKATE IMEFANYA ANYEE DEBE HUKO ALIKUWA AKIWASWEKA WAPINZANI WAKE NAKUKUMBUSHA TU NDUGU YANGU USINICHUKIE BECAUSE RULE OF KARMA IS ALWAYS BESIDES OFFENSORS.
MIMI SIPENDI MTAWALA AFUNGWE KAMA MWIZI WA KUKU NDO MAANA NAMKUMBUSHA KUWA KILA ATENDALO HIVI SAS LINA MREJESHO WA KINYUME UNAO OBEY NEWTON'S THIRD LAW OF MOTION WHICH STATES; IN EVERY ACTION THERE IS EQUAL AND OPPOSITE REACTION NAJARIBU KUKUMBUSHA HADI HAYA MAMBO YA FORM TWO ILI KUMHAKIKISHIA RAIS MAISHA MAZURI HAPO BAADAE LAKINI PIA KAMA ANAYATAKA YALE MAISHA MENGINE SAWA AENDELEE KUYAFANYA MABAYA HUKU WASIFIAJI KAMA WEWE MUENDELEE KUMPA SIFA ZISIZOMHUSU KAMA ILIVYOTANGAZWA NA WAZIRI FLANI KUWA WAKULIMA WOTE WAPEWE VITAMBULISHO VYA UJASILIAMALI MIMI NASEMA HII NI NGOMA INOGILE NAJUA WAKULIMA WATAMSHANGILIA SANA
 
Moja ya upumbavu wa wengi wetu ni kuamini kuwa kuna kitu kinaitwa "system mpya". Kwa wabobezi wa taaluma za usalama na ujasusi,hakuna kitu kinaitwa "system mpya". As long as ni sytem,basi kuna matundu,mashimo na viziba matundu/mashimo.full stop.
 
Magifuli mpaka 2025, huu ndo ukweli mchungu. Tumuombe mungu bunge letu tukufu lisiongeze ukomo wa rais kutawala, hivi ni jasiri gani atasimama kupingana na JPM tena kutokea ndani ya CCM?? Huyu JPM tumuache hivi hivi. Miaka michache rugemalira na seth walihonga hadi ikulu, chin ya magufuli wananyea ndoo keko..... jamaa ana maamuzi magumu mpaka waliomuweka wanamuogopa.

Muda ni mwalimu mzuri sana, Wacha tusubiri.
HATA GOLIATH ALIKUWA MBABE SANA LAKINI KILICHOMKUTA ALIKOSA HATA MUDA WA KUSIMULIA NA KWA KUWA YEYE ANAMTEGENEA mungu BASI NGOJA SISI TUMUOMBE MUNGU KISHA TUAONA KATI YA mungu NA MUNGU YUPI NI MKUU
 
Zhou Yongkang, Bo Xilai among elite prisoners in China’s ‘tigers’ cage’ Qincheng growing vegetables and wearing suits
  • Former security chief Zhou Yongkang has a garden near his cell, while disgraced politician Bo Xilai doesn’t have to don his prison uniform, according to sources
Former security tsar Zhou Yongkang was once one of China’s most powerful men. Now, he grows fruit and vegetables inside the “tigers’ cage” – the infamous maximum security jail for fallen political elites.

Meanwhile, disgraced Chongqing party boss Bo Xilai and his former police chief Wang Lijun, who were at the centre of the country’s biggest political scandal in recent years, do not cross paths at the prison but apparently share the same hobby: calligraphy.

More than 1.3 million Chinese officials – from the elite “tigers” to the ordinary “flies” – have been snared since President Xi Jinping took power in 2012 and began an unprecedented graft-busting campaign.

And most of the “big tigers” like Zhou, Bo and Wang – officials with a vice-ministerial ranking or higher – are
jailed at the secretive Qincheng prison

While many of its inmates are household names in China, little is known about the conditions within the walls of the heavily guarded prison.

But details have emerged from former guards and prisoners and the families of inmates, who have told the South China Morning Post on condition of anonymity about the treatment of corrupt cadres in the jail.

Bo, for example, is said to enjoy practising his calligraphy in letters to the authorities seeking to get his case reopened, according to a source close to his family. The former politician is serving a life sentence for corruption, embezzlement and abuse of power

1100861

Bo Xilai is seen in handcuffs during his trial at a Jinan court in September 2013. Bo is said to enjoy practising his calligraphy in letters to the authorities. Photo: AFP

His fellow inmate and former right-hand man Wang, who wassentenced to 15 years’ jail for defection, taking bribes and other crimes, fell out with Bo, but is also said to be keen on practising his writing. Wang’s failed attempt to defect to the US consulate in Chengdu exposed the murder of British businessman Neil Heywood by Bo’s wife Gu Kailai – she is serving her life sentence at Yancheng prison

“Wang always likes doing Chinese calligraphy. He also reads a lot in prison and spends his time studying English,” according to a source close to the former police chief.

Former Bo Xilai family aide jailed over murder of UK businessman Neil Heywood ‘released early’

Bo, who was known for his flamboyant style before his downfall, has also apparently been given permission to wear Western suits instead of a prison uniform, according to a source close to the jail. He was not the first inmate granted that privilege – former Shanghai party boss Chen Liangyu was earlier allowed to swap his uniform for suits.

The source said Qincheng was not like other prisons, and that the guards were well aware of the status of the inmates.
“The guards are told to keep their hands off the prisoners. They are told the inmates aren’t ordinary people and that they have to refrain from hitting back, even if they are scolded or hit by an inmate, or they will be fired,” he said.

But although Bo is free to wear his suits, the line is drawn at leather shoes – all prisoners must wear the plastic shoes provided for them. And any shoes or trousers with laces or drawstrings are not allowed inside the prison to prevent suicides, the source added.

Other inmates have secured different privileges. Former security chief Zhou, who was jailed for life for taking bribes, abuse of power and leaking state secrets, has his own garden. His cell is in an isolated compound and he has a small plot of land to grow his own produce – and apparently he is quite good at it.

“When his relatives and friends visit him, they sometimes take home fruit and pumpkins grown by Zhou,” according to a source close to the family.

1100864

Zhou Yongkang is sentenced in a Tianjin court in June 2015. The former security chief grows fruit and vegetables at Qincheng prison. Photo: Reuters/CCTV

For full story Maana nayo ndefu https://www.scmp.com/news/china/pol...inas-tigers-cage-qincheng-grow-vegetables-and

...............................................................................................................................................................................................................

Nchi za kikomunisti raisi ndio kila kitu kwenye katiba ni swala la kuamua tu kama Xi Jinping alivyofanya funga vigogo kibao akiwemo mkuu wa ulinzi watu ambao walikuwa untouchable serikari iliyopita.

Putin sio mjinga pia kuweka watu wake kwenye system anaelewa 'he who pays the piper calls the tune'
.
.

.
 
Siasa ni mchezo mchafu sana ,mara nyingi mwenye nguvu hua ni yule mwenye dola,especially nchi za kiafrika.

Ndio maana wale wajanja ambao hujua wamepora wakiwa kwenye madaraka muda ukiisha hukaa kimya kujilia vyao taratibu.

Sasa naona umechokoza mzinga wa nyuki kumbuka ulikua kwenye system unataka kupambana na system,ambayo inakujua kindakindaki ABC zako.kukumaliza ni jambo dogo sana.

1-Imetajwa dola million ishirini (20)za Gaddafi ,unatakiwa utoe maelezo ya kutosha.

2-kutamalaki kwa dawa za kulevya awamu yako.

3-utakatishaji fedha uliokithiri awmu yako.

4-ugonvi wa Tanzania na malawi/ Tanzania na Rwanda ukiwa waziri wa mambo ya nje uhusiano ulikua mbaya.

5-ulileta makampuni mengi ya kitapeli ambayo mengi yalikua hayalipi kodi,ikiwemo kuuza kipande cha ardhi Bagamoyo kwa wageni pia kuikabidhi gas ya mtwara na Lindi kwa mkataba wa kinyonyaji. hapa nakumbuka Simbachawene aliuleta huu mkataba bungeni kwa haraka,ni wabunge 60 tu waliopitisha ,wapinzani kina Lissu walisema serikali ina haraka gani?
,jiandae kupangua hoja ikiwa wewe ndio uliowaleta.
6-una makampuni na mahotel huko Lindi na mtwara ambayo inasemekana yaliongoza kwa ukwepaji kodi,jiandae kupambana na TRA,

Mengi yataibuka na usije shangaa ukapewa kesi ambayo utahangaika nayo sana,itakupa uchovu wa akili na mwili.

Kwakua bado una ndoto za kuwa rais wa nchi hii komaa,ila system huwezi ishinda hata siku moja,hili nawe unajua, na kwa vile wanadamu tumeumbwa na kiburi nakuachia wewe mwenyewe uchague,Lowassa aliliona hilo ,na mwisho wake hua ni stroke ,diabets au paralasing ukiwa bunkrupy kabisa.
Duh, mnajua kutisha wengine!
Lakini mkumbuke dunia haina mwenyewe, wote tunapita!
 
Siasa ni mchezo mchafu sana ,mara nyingi mwenye nguvu hua ni yule mwenye dola,especially nchi za kiafrika.

Ndio maana wale wajanja ambao hujua wamepora wakiwa kwenye madaraka muda ukiisha hukaa kimya kujilia vyao taratibu.

Sasa naona umechokoza mzinga wa nyuki kumbuka ulikua kwenye system unataka kupambana na system,ambayo inakujua kindakindaki ABC zako.kukumaliza ni jambo dogo sana.

1-Imetajwa dola million ishirini (20)za Gaddafi ,unatakiwa utoe maelezo ya kutosha.

2-kutamalaki kwa dawa za kulevya awamu yako.

3-utakatishaji fedha uliokithiri awmu yako.

4-ugonvi wa Tanzania na malawi/ Tanzania na Rwanda ukiwa waziri wa mambo ya nje uhusiano ulikua mbaya.

5-ulileta makampuni mengi ya kitapeli ambayo mengi yalikua hayalipi kodi,ikiwemo kuuza kipande cha ardhi Bagamoyo kwa wageni pia kuikabidhi gas ya mtwara na Lindi kwa mkataba wa kinyonyaji. hapa nakumbuka Simbachawene aliuleta huu mkataba bungeni kwa haraka,ni wabunge 60 tu waliopitisha ,wapinzani kina Lissu walisema serikali ina haraka gani?
,jiandae kupangua hoja ikiwa wewe ndio uliowaleta.
6-una makampuni na mahotel huko Lindi na mtwara ambayo inasemekana yaliongoza kwa ukwepaji kodi,jiandae kupambana na TRA,

Mengi yataibuka na usije shangaa ukapewa kesi ambayo utahangaika nayo sana,itakupa uchovu wa akili na mwili.

Kwakua bado una ndoto za kuwa rais wa nchi hii komaa,ila system huwezi ishinda hata siku moja,hili nawe unajua, na kwa vile wanadamu tumeumbwa na kiburi nakuachia wewe mwenyewe uchague,Lowassa aliliona hilo ,na mwisho wake hua ni stroke ,diabets au paralasing ukiwa bunkrupy kabisa.
Kwahiyo na jiwe akitoka madarakani 2020 itabidi atueleze yeye ni raia halali wa wapi!!hatari sana
 
Umemaliza kila Kitu Mkuu na namuonea mno huruma kwani yajayo hayatokuwa yakufurahisha Kwake. Hicho Kipengele chako #4 ndiyo nimekipenda zaidi. Sijajua Membe amejiamini nini wakati Yeye ni Mtu wa ' System ' tena wa ' Senior Level ' kabisa leo hii anakuja kutaka Kutunishiana Misuli na wenye ' System ' hii mpya huku akijua fika ya kwamba ' almost 65% ' ya yale aliyokuwa akiyajua ya ' System ' sasa yamebadilika na hakuna ambacho anakijua sana sana ataishia tu kupewa ' Umbea ' mdogo mdogo na ambao hautokuwa na Tija / Mantiki yoyote Kwake. Amefanya Jaribio baya sana na ambalo asipoangalia litakuja Kumgharimu mno Siku si nyingi.
Wanyarwanda nawakubali mkisema kuiteka nchi yoyote mnaweza sana
 
Leo katetewa Waziri kuwa maamuzi huwa si yake peke yake bali ni huwa maamuzi ya mawaziri wote, sasa sijajua kwa kashfa hizo za M3mbe maamuzi yalifanywa na nani?
 
hamuwezi kumuelewa membe kwa sababu while ninyi mnafikilia hapa yeye anafikilia mbali zaidi. Jiwe mnampa sifa tu lakini yeye ni binadamu kama wewe na mimi hence membe anamikakati yake ambayo hatuijui na huo ndo ujasiri ambao ccm wengi hawana na kuishia kuzalilishwa hata nawatu kama DAB
 
Moja ya upumbavu wa wengi wetu ni kuamini kuwa kuna kitu kinaitwa "system mpya". Kwa wabobezi wa taaluma za usalama na ujasusi,hakuna kitu kinaitwa "system mpya". As long as ni sytem,basi kuna matundu,mashimo na viziba matundu/mashimo.full stop.
Sure,
 
Suala la membe na kipilimba kuingia tiss limejadiliwa sana hapa jukwaan au umeona umeongea kitu kipya kisichojulikana?
Membe kapiga kiberiti kichaka panya wote mmekurupuka ! kwa Taarifa yako Membe ndio aliyempa kazi ya kitengo Kapilimba , kapilimba aliingizwa tume na Kikwete ili kudivert kura 2015 , baadaye jiwe akapewa jina ampaishe kuwa DG , hii ni timu 1

sitaendelea kukujulisha usiyoyajua kwa sasa ila nitarudi baadaye ukipenda nifanye hivyo , kwa jiwe kumwangusha Membe kunahitaji ushawishi kwa wajumbe ( ambao ameisha upoteza ) , lakini si kwa njama duni za MATAGA mbumbumbu , jipangeni upya wenzenu wako kazini miaka 4 sasa

usije kusema hatukuambia , Chaos !
 
Umemaliza kila Kitu Mkuu na namuonea mno huruma kwani yajayo hayatokuwa yakufurahisha Kwake. Hicho Kipengele chako #4 ndiyo nimekipenda zaidi. Sijajua Membe amejiamini nini wakati Yeye ni Mtu wa ' System ' tena wa ' Senior Level ' kabisa leo hii anakuja kutaka Kutunishiana Misuli na wenye ' System ' hii mpya huku akijua fika ya kwamba ' almost 65% ' ya yale aliyokuwa akiyajua ya ' System ' sasa yamebadilika na hakuna ambacho anakijua sana sana ataishia tu kupewa ' Umbea ' mdogo mdogo na ambao hautokuwa na Tija / Mantiki yoyote Kwake. Amefanya Jaribio baya sana na ambalo asipoangalia litakuja Kumgharimu mno Siku si nyingi.
MKIMBIZI BWANA ! HIVI UNAMJUA VIZURI MBOBEZI AU UNAMSIKIA??

HAKUNA KITU CHA KUMZUIA MEMBE 2020 NJIA NYEUPEEEE !

NI BUSARA TU KUNGOJEA MPAKA 2020 !
 
Back
Top Bottom