Membe jiandae kisaikolojia

Membe jiandae kisaikolojia

Naona anataka kujishusha level kufikia ya level ya Chahali Evarist. Umeongea jambo muhimu sana hao wote sasa wanapata taabu kupata nyeti za sustem maana wamebadilishwa waliokua wanawapikia majungu

Na huo ndiyo Ukweli kamili ambao nilidhani kwa ' Level ' ya Ujasusi / Unjagu aliokuwa nao Membe hilo angelijua mapema na kuwa na tahadhari nalo badala yake naona kaamua Kuiga Udhaifu wa Mbwa na Kujisogeza mwenyewe kwa Chatu ili amezwe vizuri.
 
Wewe omba tu Mungu pepo la kujiongezea muhula wa tatu limpitie mbali vinginevo hakuna wa kumzuia rais wa nchi hii kufanya anachotaka.
Low thinking capacity ya hali ya juu nawe upo jf unachangia Mada? shame on u bro
 
Siasa ni mchezo mchafu sana ,mara nyingi mwenye nguvu hua ni yule mwenye dola,especially nchi za kiafrika.

Ndio maana wale wajanja ambao hujua wamepora wakiwa kwenye madaraka muda ukiisha hukaa kimya kujilia vyao taratibu.

Sasa naona umechokoza mzinga wa nyuki kumbuka ulikua kwenye system unataka kupambana na system,ambayo inakujua kindakindaki ABC zako.kukumaliza ni jambo dogo sana.

1-Imetajwa dola million ishirini (20)za Gaddafi ,unatakiwa utoe maelezo ya kutosha.

2-kutamalaki kwa dawa za kulevya awamu yako.

3-utakatishaji fedha uliokithiri awmu yako.

4-ugonvi wa Tanzania na malawi/ Tanzania na Rwanda ukiwa waziri wa mambo ya nje uhusiano ulikua mbaya.

5-ulileta makampuni mengi ya kitapeli ambayo mengi yalikua hayalipi kodi,ikiwemo kuuza kipande cha ardhi Bagamoyo kwa wageni pia kuikabidhi gas ya mtwara na Lindi kwa mkataba wa kinyonyaji. hapa nakumbuka Simbachawene aliuleta huu mkataba bungeni kwa haraka,ni wabunge 60 tu waliopitisha ,wapinzani kina Lissu walisema serikali ina haraka gani?
,jiandae kupangua hoja ikiwa wewe ndio uliowaleta.
6-una makampuni na mahotel huko Lindi na mtwara ambayo inasemekana yaliongoza kwa ukwepaji kodi,jiandae kupambana na TRA,

Mengi yataibuka na usije shangaa ukapewa kesi ambayo utahangaika nayo sana,itakupa uchovu wa akili na mwili.

Kwakua bado una ndoto za kuwa rais wa nchi hii komaa,ila system huwezi ishinda hata siku moja,hili nawe unajua, na kwa vile wanadamu tumeumbwa na kiburi nakuachia wewe mwenyewe uchague,Lowassa aliliona hilo ,na mwisho wake hua ni stroke ,diabets au paralasing ukiwa bunkrupy kabisa.
1.Alikula million billion 200 za kiwanda cha cement lindi.
2. Alikuwa ananata,kujiona na kuwadharau wabunge wenzie wa kusini.
3. Alihakikisha anamnyoosha mudhihiri mudhihiri sababu tu walipishana kwenye eneo la kujenga kiwanda cha cement na mwishowe akala hela.
4. Anasifika kwa ubinafsi huko kwao rondo. Kazungushia lami makazi na maeneo yanayozunguka kwake. Kwengine kashindwa kuwawekea hata rafu road.
5. Hotel yake ya Naf Beach kwa miaka kadhaa ilikwepa kodi, kuharibu mazingira kwa kuvamia eneo la mikoko na kujenga bar na sehemu ya muziki. Watu wa mazingira walitulizwa kimya.
6. Leo kafika mahakamani na 110 kuwahadaa wadanganyika wakati anatembeleaga range rovers muda wote.
 
Nini tena wana CCM, kwani hastahili kugombea urais

btw siku zote WAOGA NDIO HUWAZIKA MASHUJAA..tuache apambane tu ila naimani atatoboa.
 
Hakuna mtanzania anayemhitaji Jiwe. Msijidanganye. Ni hero tuongozwe na Member au hata Joti kuliko huyu mbinafsi na katili asiye na huruma. 2020 Jiwe must go.
Jk aliwaonea huruma mkasema chama kinamfia mikononi na anachekacheka. Bahati mbaya we ulikuwa bado unanyonya maziwa ya mama.
 
Hakuna mwenye nguvu kumzidi jiwe kwa sasa.
Mimi naona wangeokoa hela za kampain na uchaguzi zikafanya mambo mengine.
Nchi yetu ina matatizo mengi sana
PAMOJA NA HIZO NGUVU MWAMBIE KUWA 2020 ANARUDI CHATTLE HAKUNA NAMNA YA KUMSAIDIA YEYE AENDELEE NA MAMBO YA KE KADRI AWEZAVYO ILA AJUE TU KUWA MBIO ZAKE MWISHO NI 2020
 
Boss thetallest Source yako ya Habari hii ni wewe mwenyewe ??? !!! Au ni Musiba ???!!!
Maana nimemsikiliza Musiba kwenye Youtube, na ulichoandika, ni vile vile. Au wewe ndio Musiba ???!!!
Tupe Source ya Habari yako.

Yaani ndani ya CCM hakuna anayemcheka mwenzake. Ni mwendo wa Mbuzi kula kutokana na urefu wa Kamba yake.

Boss kama haujui, Jua sasa, Viongozi wengi ni Makachero au Walipitia Ukachero. Orodha yao ni Ndefu.




Siasa ni mchezo mchafu sana ,mara nyingi mwenye nguvu hua ni yule mwenye dola,especially nchi za kiafrika.

Ndio maana wale wajanja ambao hujua wamepora wakiwa kwenye madaraka muda ukiisha hukaa kimya kujilia vyao taratibu.

Sasa naona umechokoza mzinga wa nyuki kumbuka ulikua kwenye system unataka kupambana na system,ambayo inakujua kindakindaki ABC zako.kukumaliza ni jambo dogo sana.

1-Imetajwa dola million ishirini (20)za Gaddafi ,unatakiwa utoe maelezo ya kutosha.

2-kutamalaki kwa dawa za kulevya awamu yako.

3-utakatishaji fedha uliokithiri awmu yako.

4-ugonvi wa Tanzania na malawi/ Tanzania na Rwanda ukiwa waziri wa mambo ya nje uhusiano ulikua mbaya.

5-ulileta makampuni mengi ya kitapeli ambayo mengi yalikua hayalipi kodi,ikiwemo kuuza kipande cha ardhi Bagamoyo kwa wageni pia kuikabidhi gas ya mtwara na Lindi kwa mkataba wa kinyonyaji. hapa nakumbuka Simbachawene aliuleta huu mkataba bungeni kwa haraka,ni wabunge 60 tu waliopitisha ,wapinzani kina Lissu walisema serikali ina haraka gani?
,jiandae kupangua hoja ikiwa wewe ndio uliowaleta.
6-una makampuni na mahotel huko Lindi na mtwara ambayo inasemekana yaliongoza kwa ukwepaji kodi,jiandae kupambana na TRA,

Mengi yataibuka na usije shangaa ukapewa kesi ambayo utahangaika nayo sana,itakupa uchovu wa akili na mwili.

Kwakua bado una ndoto za kuwa rais wa nchi hii komaa,ila system huwezi ishinda hata siku moja,hili nawe unajua, na kwa vile wanadamu tumeumbwa na kiburi nakuachia wewe mwenyewe uchague,Lowassa aliliona hilo ,na mwisho wake hua ni stroke ,diabets au paralasing ukiwa bunkrupy kabisa.
 
Membe kapiga kiberiti kichaka panya wote mmekurupuka ! kwa Taarifa yako Membe ndio aliyempa kazi ya kitengo Kapilimba , kapilimba aliingizwa tume na Kikwete ili kudivert kura 2015 , baadaye jiwe akapewa jina ampaishe kuwa DG , hii ni timu 1

sitaendelea kukujulisha usiyoyajua kwa sasa ila nitarudi baadaye ukipenda nifanye hivyo , kwa jiwe kumwangusha Membe kunahitaji ushawishi kwa wajumbe ( ambao ameisha upoteza ) , lakini si kwa njama duni za MATAGA mbumbumbu , jipangeni upya wenzenu wako kazini miaka 4 sasa

usije kusema hatukuambia , Chaos !
Afadhali umetufumbua....tunaokula mtori tunakaribia kwenye nyama...Go go go Membe..... Mikia imekatwa
 
HATA SHETANI ATAMWACHA PEKE YAKE KWANI KACHOKWA HAKUNA KIPIMO NA KAMA ANATKA KUJUA KACHOKWA BASI 2020 AJARIBU KUPELEKA PUA YAKE IKULU NDO ATAELEWA MWAMBIENI AACHE KUKARIRI KWENDA RWANDA KWA KAGAME PEKEE NAMSHAURI AENDE NA SUDANI KUSINI AKAKUMBANE NA AL BASHIRI AMPE UZOEFU WA KUTOKA KUTUMIA CHOO CHA KUKAA HUKU AKIANGALIA RUNINGA HADI KUNYEA DEBE NA KUBEBA MTONDOO WA MAVI NI MUDA TU NA KAMA KAMA WEWE NI RAFIKI YAKE N VEMA MKAMSHAURI ILI KUMPUNGUZIA FEDHEHA ANAYOIPALILIA SASA HIVI KILA UCHAO ANAZIDI KUINAMISHA KICHWA KWENYE SHIMO LA TEWA
 
Ndivyo unavyodanganyana na Wapuuzi Wenzio mkiwa katika Vijiwe vyenu vya Gongo, Komoni na Wanzuki?
ALBASHIRI ALIKUWA NA LUGHA NGUMU KULIKO HIZI ZAKO LAKINI SASA HIVI ANANYEA NDOO NA ALIKUWA NA NGUVU MARA 10 YA HUYU NDUGUYO SASA ENDELE KUMVIMBISHA KICHWA MADEBE YAPO KULE YANASUBIRI YEYOTE HAIJARISHI CHEO WALA CHOCHOTE
 
Siasa ni mchezo mchafu sana ,mara nyingi mwenye nguvu hua ni yule mwenye dola,especially nchi za kiafrika.

Ndio maana wale wajanja ambao hujua wamepora wakiwa kwenye madaraka muda ukiisha hukaa kimya kujilia vyao taratibu.

Sasa naona umechokoza mzinga wa nyuki kumbuka ulikua kwenye system unataka kupambana na system,ambayo inakujua kindakindaki ABC zako.kukumaliza ni jambo dogo sana.

1-Imetajwa dola million ishirini (20)za Gaddafi ,unatakiwa utoe maelezo ya kutosha.

2-kutamalaki kwa dawa za kulevya awamu yako.

3-utakatishaji fedha uliokithiri awmu yako.

4-ugonvi wa Tanzania na malawi/ Tanzania na Rwanda ukiwa waziri wa mambo ya nje uhusiano ulikua mbaya.

5-ulileta makampuni mengi ya kitapeli ambayo mengi yalikua hayalipi kodi,ikiwemo kuuza kipande cha ardhi Bagamoyo kwa wageni pia kuikabidhi gas ya mtwara na Lindi kwa mkataba wa kinyonyaji. hapa nakumbuka Simbachawene aliuleta huu mkataba bungeni kwa haraka,ni wabunge 60 tu waliopitisha ,wapinzani kina Lissu walisema serikali ina haraka gani?
,jiandae kupangua hoja ikiwa wewe ndio uliowaleta.
6-una makampuni na mahotel huko Lindi na mtwara ambayo inasemekana yaliongoza kwa ukwepaji kodi,jiandae kupambana na TRA,

Mengi yataibuka na usije shangaa ukapewa kesi ambayo utahangaika nayo sana,itakupa uchovu wa akili na mwili.

Kwakua bado una ndoto za kuwa rais wa nchi hii komaa,ila system huwezi ishinda hata siku moja,hili nawe unajua, na kwa vile wanadamu tumeumbwa na kiburi nakuachia wewe mwenyewe uchague,Lowassa aliliona hilo ,na mwisho wake hua ni stroke ,diabets au paralasing ukiwa bunkrupy kabisa.
Kwahiyo uozo wote huu wa membe mlisubiri mpaka aanze kugombea kiti??
Your very hopeless politicians
 
Ndivyo unavyodanganyana na Wapuuzi Wenzio mkiwa katika Vijiwe vyenu vya Gongo, Komoni na Wanzuki?
UMKUMBUSHE KUREKEBISHA MAZINGIRA KULE SEGEREA USIMVIMBISHE KICHWA ILI ASIVURUNDE ZAIDI YASIMKUTE YALE YAKUKIMBILIA KWENYE MA' SEPTIC TANKS & PIPELINES MAANA NDO UMEKUWA MTINDO WA WAVURUNDAJI KUKIMBILIA KWENYE NJIA ZA MITONDOO
 
Back
Top Bottom