Membe jiandae kisaikolojia

Membe jiandae kisaikolojia

Umemaliza kila Kitu Mkuu na namuonea mno huruma kwani yajayo hayatokuwa yakufurahisha Kwake. Hicho Kipengele chako #4 ndiyo nimekipenda zaidi. Sijajua Membe amejiamini nini wakati Yeye ni Mtu wa ' System ' tena wa ' Senior Level ' kabisa leo hii anakuja kutaka Kutunishiana Misuli na wenye ' System ' hii mpya huku akijua fika ya kwamba ' almost 65% ' ya yale aliyokuwa akiyajua ya ' System ' sasa yamebadilika na hakuna ambacho anakijua sana sana ataishia tu kupewa ' Umbea ' mdogo mdogo na ambao hautokuwa na Tija / Mantiki yoyote Kwake. Amefanya Jaribio baya sana na ambalo asipoangalia litakuja Kumgharimu mno Siku si nyingi.
Exactly!
 
Mjazeni kama mlivyomjaza Nape

Kama Maembe alikuwa mchafu hivyo na hakuna hatua yoyote amewahi kuchukuliwa, bali sasa ndio mnaanza kujifanya mtamchukulia hatua baada ya kuonyesha anataka kushindana na Magufuli huoni hapa hata Magufuli sio msafi kwani anatumia madaraka yake kuchafua wengine na wala hana uzalendo wowote? Katika mazingira hayo usafi wa Magufuli unatoka wapi iwapo anakalia kimya watu wachafu ili miradi wasiingilie madaraka yake? Hii inatupa picha kwamba hata Magufuli ana kundi lake analolitumia kuibia nchi sasa kwani hakuna wa kumhoji kama ilivyokuwa kwa akina Membe enzi za JK.
 
Kama Maembe alikuwa mchafu hivyo na hakuna hatua yoyote amewahi kuchukuliwa, bali sasa ndio mnaanza kujifanya mtamchukulia hatua baada ya kuonyesha anataka kushindana na Magufuli huoni hapa hata Magufuli sio msafi kwani anatumia madaraka yake kuchafua wengine na wala hana uzalendo wowote? Katika mazingira hayo usafi wa Magufuli unatoka wapi iwapo anakalia kimya watu wachafu ili miradi wasiingilie madaraka yake? Hii inatupa picha kwamba hata Magufuli ana kundi lake analolitumia kuibia nchi sasa kwani hakuna wa kumhoji kama ilivyokuwa kwa akina Membe enzi za JK.
Akimaliza muda wake malizeni nae kama mtaweza
 
Kundi la wapigaji linamtia ujinga ili wapate chochote kitu.
Watu wanapenda kuwa campain managers mkuu
ningependa kuhakikishiwa sehemu aliyokiri kwamba atagombea uraisi ? ...........bado nasubiri...........................
kuna pressure inayokuwa kwa kasi sana
 
ningependa kuhakikishiwa sehemu aliyokiri kwamba atagombea uraisi ? ...........bado nasubiri...........................
kuna pressure inayokuwa kwa kasi sana
Kwani umeshaona alipokanusha kwamba hatagombea? Huwajui wanasiasa wewe
 
Membe kapiga kiberiti kichaka panya wote mmekurupuka ! kwa Taarifa yako Membe ndio aliyempa kazi ya kitengo Kapilimba , kapilimba aliingizwa tume na Kikwete ili kudivert kura 2015 , baadaye jiwe akapewa jina ampaishe kuwa DG , hii ni timu 1

sitaendelea kukujulisha usiyoyajua kwa sasa ila nitarudi baadaye ukipenda nifanye hivyo , kwa jiwe kumwangusha Membe kunahitaji ushawishi kwa wajumbe ( ambao ameisha upoteza ) , lakini si kwa njama duni za MATAGA mbumbumbu , jipangeni upya wenzenu wako kazini miaka 4 sasa

usije kusema hatukuambia , Chaos !
 
Najua mleta mada kuna agenda kubwa nyuma yako ya kutaka magu abaki madarakani nakuapia ya kuwa 2020 magu atatoka aidha kwa kupenda au kutokupenda kwa ukimtoa bashite, jokate na mleta mada mjomba magu hana rafiki katika nchi hii hili hata mama jesca analijua, huwezi nyamazisha watu ati kisa atashughulikiwa kwenye mali alizoiba kwani bashite kaiba ngapi tena kibabe, yeye magu kaiba ngapi hadi anajenga airport ya bitumen kijijini kunakotua wachawi wenye nyungo tu, sasa kama kakutuma kamwambie huku limebuma na 2020 atachapa laba
 
Membe kapiga kiberiti kichaka panya wote mmekurupuka ! kwa Taarifa yako Membe ndio aliyempa kazi ya kitengo Kapilimba , kapilimba aliingizwa tume na Kikwete ili kudivert kura 2015 , baadaye jiwe akapewa jina ampaishe kuwa DG , hii ni timu 1

sitaendelea kukujulisha usiyoyajua kwa sasa ila nitarudi baadaye ukipenda nifanye hivyo , kwa jiwe kumwangusha Membe kunahitaji ushawishi kwa wajumbe ( ambao ameisha upoteza ) , lakini si kwa njama duni za MATAGA mbumbumbu , jipangeni upya wenzenu wako kazini miaka 4 sasa

usije kusema hatukuambia , Chaos !
Hapa naona una polish tu viatu dawa
 
Back
Top Bottom