Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267


Hakuna mtanzania anayemhitaji Jiwe. Msijidanganye. Ni hero tuongozwe na Member au hata Joti kuliko huyu mbinafsi na katili asiye na huruma. 2020 Jiwe must go.


Hakuna mtanzania anayemhitaji Jiwe. Msijidanganye. Ni hero tuongozwe na Member au hata Joti kuliko huyu mbinafsi na katili asiye na huruma. 2020 Jiwe must go.
Mjazeni kama mlivyomjaza Nape
Matajuana wenyewe maccm
Mwisho ataambulia maumivu tu
Nani allkwambia team mamvi Haina nguvu? Halafu km mzee wa msoga alitoshana nguvu na mtu ambae alikuwa alikuwa nje ya serikali ataweza vipi kupambana na mtu anayeiongoza serikali?Alimpigania sana pale dodoma, bt timu ya mamvi ikamshinda nguvu. Bt kwa sasa bwana huyu hana nguvu yoyote nyuma yake zaidi ya wimbi kubwa la maadui wanaojifanya marafiki, hasalimiki, hasalimiki.
vzr kukiri kuwa mtu akisema yatamkuta mabalaa. Tz inamaana imechafuka kumbeSoon mtamuonea huruma
Ukitaka kumpiga adui yako usimuambie kwamba utampiga, atajiandaa vizuri zaidi ili akudhibiti.Siasa ni mchezo mchafu sana ,mara nyingi mwenye nguvu hua ni yule mwenye dola,especially nchi za kiafrika.
Ndio maana wale wajanja ambao hujua wamepora wakiwa kwenye madaraka muda ukiisha hukaa kimya kujilia vyao taratibu.
Sasa naona umechokoza mzinga wa nyuki kumbuka ulikua kwenye system unataka kupambana na system,ambayo inakujua kindakindaki ABC zako.kukumaliza ni jambo dogo sana.
1-Imetajwa dola million ishirini (20)za Gaddafi ,unatakiwa utoe maelezo ya kutosha.
2-kutamalaki kwa dawa za kulevya awamu yako.
3-utakatishaji fedha uliokithiri awmu yako.
4-ugonvi wa Tanzania na malawi/ Tanzania na Rwanda ukiwa waziri wa mambo ya nje uhusiano ulikua mbaya.
5-ulileta makampuni mengi ya kitapeli ambayo mengi yalikua hayalipi kodi,ikiwemo kuuza kipande cha ardhi Bagamoyo kwa wageni pia kuikabidhi gas ya mtwara na Lindi kwa mkataba wa kinyonyaji. hapa nakumbuka Simbachawene aliuleta huu mkataba bungeni kwa haraka,ni wabunge 60 tu waliopitisha ,wapinzani kina Lissu walisema serikali ina haraka gani?
,jiandae kupangua hoja ikiwa wewe ndio uliowaleta.
6-una makampuni na mahotel huko Lindi na mtwara ambayo inasemekana yaliongoza kwa ukwepaji kodi,jiandae kupambana na TRA,
Mengi yataibuka na usije shangaa ukapewa kesi ambayo utahangaika nayo sana,itakupa uchovu wa akili na mwili.
Kwakua bado una ndoto za kuwa rais wa nchi hii komaa,ila system huwezi ishinda hata siku moja,hili nawe unajua, na kwa vile wanadamu tumeumbwa na kiburi nakuachia wewe mwenyewe uchague,Lowassa aliliona hilo ,na mwisho wake hua ni stroke ,diabets au paralasing ukiwa bunkrupy kabisa.
Sawa ila sio akina Membe aisee. Siwezi kushiriki kushabikia watu calibre ya akina Membe kwavile tu sikubaliani na JPM! Wengine tulichofanya mlipompokea EL tutafanya kwa Membe and a like hadi tutapokuja kupata wapinzani wa kweli bila DNA chafu kutoka Lumumba ndio tutasimama nae! Hata kama si kizazi changu basi na bora mfumo uendelee kutuletea watu wanaoona wanafaa lakini si hawa.Kukaa kimya ni ujinga uliopitiliza!!!
Jiwe mwenyewe ana makashifa mengi tu maana na yeye ni wale wale.
Hamuwezi kuziba watu midomo kwa vitisho vya aina hii na vingine ambavyo mmekuwa mkivitumia.
Hovyo kabisa!!!
Vilaza wa mataga mnaweza matusi na ushoga tu ila sio kujadili hojaHapa naona una polish tu viatu dawa
Huyu mkatwa mkia aliyewahi kukiri wanapishana hewani utafikiri nchi inaungua moto sijui ameingiwa na tamaa gani. Watu tunafkiria kumuongezea jiwe muda yeye analeta za kuleta
Kimsingi aliyeyazungumza haya anamlenga Rais aliyepita bila kujijua, maana utamzungumziaje Waziri afanye hayo kama ni kweli bila mkuu wa nchi kutoa kibali... Kimsingi mambo yenyewe hayana ukweli wowote yamejaa majungu, fitina na hayana msaada wowote kwa sasa....Siasa ni mchezo mchafu sana ,mara nyingi mwenye nguvu hua ni yule mwenye dola,especially nchi za kiafrika.
Ndio maana wale wajanja ambao hujua wamepora wakiwa kwenye madaraka muda ukiisha hukaa kimya kujilia vyao taratibu.
Sasa naona umechokoza mzinga wa nyuki kumbuka ulikua kwenye system unataka kupambana na system,ambayo inakujua kindakindaki ABC zako.kukumaliza ni jambo dogo sana.
1-Imetajwa dola million ishirini (20)za Gaddafi ,unatakiwa utoe maelezo ya kutosha.
2-kutamalaki kwa dawa za kulevya awamu yako.
3-utakatishaji fedha uliokithiri awmu yako.
4-ugonvi wa Tanzania na malawi/ Tanzania na Rwanda ukiwa waziri wa mambo ya nje uhusiano ulikua mbaya.
5-ulileta makampuni mengi ya kitapeli ambayo mengi yalikua hayalipi kodi,ikiwemo kuuza kipande cha ardhi Bagamoyo kwa wageni pia kuikabidhi gas ya mtwara na Lindi kwa mkataba wa kinyonyaji. hapa nakumbuka Simbachawene aliuleta huu mkataba bungeni kwa haraka,ni wabunge 60 tu waliopitisha ,wapinzani kina Lissu walisema serikali ina haraka gani?
,jiandae kupangua hoja ikiwa wewe ndio uliowaleta.
6-una makampuni na mahotel huko Lindi na mtwara ambayo inasemekana yaliongoza kwa ukwepaji kodi,jiandae kupambana na TRA,
Mengi yataibuka na usije shangaa ukapewa kesi ambayo utahangaika nayo sana,itakupa uchovu wa akili na mwili.
Kwakua bado una ndoto za kuwa rais wa nchi hii komaa,ila system huwezi ishinda hata siku moja,hili nawe unajua, na kwa vile wanadamu tumeumbwa na kiburi nakuachia wewe mwenyewe uchague,Lowassa aliliona hilo ,na mwisho wake hua ni stroke ,diabets au paralasing ukiwa bunkrupy kabisa.
Kumbe ndani ya ccm kuna fukuto linaendeleaLazima atakuwa mwanachadomo..siku hizi wanadakia magomvi ya kwa jirani. Kwao wameishiwa sera.


IloHakuna mtanzania anayemhitaji Jiwe. Msijidanganye. Ni hero tuongozwe na Member au hata Joti kuliko huyu mbinafsi na katili asiye na huruma. 2020 Jiwe must go.
Kwahiyo kuonyesha nia kugombea ni uhaini huko CCM sikuhizi? Siwaelewi nyie ndugu!Umemaliza kila Kitu Mkuu na namuonea mno huruma kwani yajayo hayatokuwa yakufurahisha Kwake. Hicho Kipengele chako #4 ndiyo nimekipenda zaidi. Sijajua Membe amejiamini nini wakati Yeye ni Mtu wa ' System ' tena wa ' Senior Level ' kabisa leo hii anakuja kutaka Kutunishiana Misuli na wenye ' System ' hii mpya huku akijua fika ya kwamba ' almost 65% ' ya yale aliyokuwa akiyajua ya ' System ' sasa yamebadilika na hakuna ambacho anakijua sana sana ataishia tu kupewa ' Umbea ' mdogo mdogo na ambao hautokuwa na Tija / Mantiki yoyote Kwake. Amefanya Jaribio baya sana na ambalo asipoangalia litakuja Kumgharimu mno Siku si nyingi.
Sasa unamshauri niniUmemaliza kila Kitu Mkuu na namuonea mno huruma kwani yajayo hayatokuwa yakufurahisha Kwake. Hicho Kipengele chako #4 ndiyo nimekipenda zaidi. Sijajua Membe amejiamini nini wakati Yeye ni Mtu wa ' System ' tena wa ' Senior Level ' kabisa leo hii anakuja kutaka Kutunishiana Misuli na wenye ' System ' hii mpya huku akijua fika ya kwamba ' almost 65% ' ya yale aliyokuwa akiyajua ya ' System ' sasa yamebadilika na hakuna ambacho anakijua sana sana ataishia tu kupewa ' Umbea ' mdogo mdogo na ambao hautokuwa na Tija / Mantiki yoyote Kwake. Amefanya Jaribio baya sana na ambalo asipoangalia litakuja Kumgharimu mno Siku si nyingi.
Unaota mkuu. Inamaana Mangula, Dk. Bashiru, Makongoro Nyerere, Dk. Shein, Samia, Majaliwa wamkatae Magufuli?HEBU TUPENI KWANZA FORMATION YA "CC" ILE AMBAYO HUWA INAJADILI WAGOMBEA.JE? KAMA CHAIRMAN NI MGOMBEA NA YEYE ANAKUWA MJUMBE AU ATASUBIRIA MAAMUZI YA "CC".Hivi mfano CC ikaamua kuja na MAJINA ambayo M/kiti halimo nini kitatokea?.