Membe jiandae kisaikolojia

Membe jiandae kisaikolojia

Hakuna mwenye nguvu kumzidi jiwe kwa sasa.
Mimi naona wangeokoa hela za kampain na uchaguzi zikafanya mambo mengine.
Nchi yetu ina matatizo mengi sana
kwa kweli mpaka wananchi walio wengi waje kukaa akili sawa .....wangenda kuinvest uko... kubet against magu sio poa all in alafu mwisho wa siku hauishi kwa amani for 5 full years
 
Membe kapiga kiberiti kichaka panya wote mmekurupuka ! kwa Taarifa yako Membe ndio aliyempa kazi ya kitengo Kapilimba , kapilimba aliingizwa tume na Kikwete ili kudivert kura 2015 , baadaye jiwe akapewa jina ampaishe kuwa DG , hii ni timu 1

sitaendelea kukujulisha usiyoyajua kwa sasa ila nitarudi baadaye ukipenda nifanye hivyo , kwa jiwe kumwangusha Membe kunahitaji ushawishi kwa wajumbe ( ambao ameisha upoteza ) , lakini si kwa njama duni za MATAGA mbumbumbu , jipangeni upya wenzenu wako kazini miaka 4 sasa

usije kusema hatukuambia , Chaos !
Hizo hesabu hazipo kwa mtu aliyeko madarakani kwa hapa Tz. Tuvumilie tu na tuombe Mungu pepo la kujiongezea muhula wa tatu limpitie mbali.
 
Najua mleta mada kuna agenda kubwa nyuma yako ya kutaka magu abaki madarakani nakuapia ya kuwa 2020 magu atatoka aidha kwa kupenda au kutokupenda kwa ukimtoa bashite, jokate na mleta mada mjomba magu hana rafiki katika nchi hii hili hata mama jesca analijua, huwezi nyamazisha watu ati kisa atashughulikiwa kwenye mali alizoiba kwani bashite kaiba ngapi tena kibabe, yeye magu kaiba ngapi hadi anajenga airport ya bitumen kijijini kunakotua wachawi wenye nyungo tu, sasa kama kakutuma kamwambie huku limebuma na 2020 atachapa laba
Wewe omba tu Mungu pepo la kujiongezea muhula wa tatu limpitie mbali vinginevo hakuna wa kumzuia rais wa nchi hii kufanya anachotaka.
 
Siasa ni mchezo mchafu sana ,mara nyingi mwenye nguvu hua ni yule mwenye dola,especially nchi za kiafrika.

Ndio maana wale wajanja ambao hujua wamepora wakiwa kwenye madaraka muda ukiisha hukaa kimya kujilia vyao taratibu.

Sasa naona umechokoza mzinga wa nyuki kumbuka ulikua kwenye system unataka kupambana na system,ambayo inakujua kindakindaki ABC zako.kukumaliza ni jambo dogo sana.

1-Imetajwa dola million ishirini (20)za Gaddafi ,unatakiwa utoe maelezo ya kutosha.

2-kutamalaki kwa dawa za kulevya awamu yako.

3-utakatishaji fedha uliokithiri awmu yako.

4-ugonvi wa Tanzania na malawi/ Tanzania na Rwanda ukiwa waziri wa mambo ya nje uhusiano ulikua mbaya.

5-ulileta makampuni mengi ya kitapeli ambayo mengi yalikua hayalipi kodi,ikiwemo kuuza kipande cha ardhi Bagamoyo kwa wageni pia kuikabidhi gas ya mtwara na Lindi kwa mkataba wa kinyonyaji. hapa nakumbuka Simbachawene aliuleta huu mkataba bungeni kwa haraka,ni wabunge 60 tu waliopitisha ,wapinzani kina Lissu walisema serikali ina haraka gani?
,jiandae kupangua hoja ikiwa wewe ndio uliowaleta.
6-una makampuni na mahotel huko Lindi na mtwara ambayo inasemekana yaliongoza kwa ukwepaji kodi,jiandae kupambana na TRA,

Mengi yataibuka na usije shangaa ukapewa kesi ambayo utahangaika nayo sana,itakupa uchovu wa akili na mwili.

Kwakua bado una ndoto za kuwa rais wa nchi hii komaa,ila system huwezi ishinda hata siku moja,hili nawe unajua, na kwa vile wanadamu tumeumbwa na kiburi nakuachia wewe mwenyewe uchague,Lowassa aliliona hilo ,na mwisho wake hua ni stroke ,diabets au paralasing ukiwa bunkrupy kabisa.
We ni mpumbavu sana na huna akili. Aliyekutuma au anaye kupa pesa uje kuleta huu upuuzi mwambie wananchi tumemchoka.

Kaharibu nchi vya kutosha..
 
Najua mleta mada kuna agenda kubwa nyuma yako ya kutaka magu abaki madarakani nakuapia ya kuwa 2020 magu atatoka aidha kwa kupenda au kutokupenda kwa ukimtoa bashite, jokate na mleta mada mjomba magu hana rafiki katika nchi hii hili hata mama jesca analijua, huwezi nyamazisha watu ati kisa atashughulikiwa kwenye mali alizoiba kwani bashite kaiba ngapi tena kibabe, yeye magu kaiba ngapi hadi anajenga airport ya bitumen kijijini kunakotua wachawi wenye nyungo tu, sasa kama kakutuma kamwambie huku limebuma na 2020 atachapa laba
Umeandika ukweli mtupu !
 
Watu waliohudumu kitengo cha usalama au ujasusi hawachezewi hata siku moja kule usa edgar hoovaer mkuu wa c.I.A aliogopwa na maraisi wote 7bu alikuwa na mafaili machafu yaliyowahusu, historia inaonyesha rais ambae anaweza kumshurutisha jasusi ni yule ambae naye aliwahi hudumu kitengo tena kwa nafasi ya juu lakini kwa huyu mzee wa chato kuhusu usalama ni mbumbumbu.

Ukija kwa bashite ndiyo debe tupu kwa masuala ya usalama ndo maana hata wale wanaoitwa wasiojulikana kuna mamluki kutoka rwanda hii inaonyesha ni namna gani mfumo haupendi huu ujinga na wanajua kila kitu kuanzia msimamizi hadi watekelezaji ila wanashindwa ku intervene katiba inawabana we subiri 2020 ikaribie ndo utaona kitakachotokea.
 
We ni mpumbavu sana na huna akili. Aliyekutuma au anaye kupa pesa uje kuleta huu upuuzi mwambie wananchi tumemchoka.

Kaharibu nchi vya kutosha..
Sema umechoka,usisemee nafsi za watu
 
WATU WALIOHUDUMU KITENGO CHA USALAMA AU UJASUSI HAWACHEZEWI HATA SIKU MOJA KULE USA EDGAR HOOVAER MKUU WA C.I.A ALIOGOPWA NA MARAISI WOTE 7BU ALIKUWA NA MAFAILI MACHAFU YALIYOWAHUSU, HISTORIA INAONYESHA RAIS AMBAE ANAWEZA KUMSHURUTISHA JASUSI NI YULE AMBAE NAYE ALIWAHI HUDUMU KITENGO TENA KWA NAFASI YA JUU LAKINI KWA HUYU MZEE WA CHATO KUHUSU USALAMA NI MBUMBUMBU.
UKIJA KWA BASHITE NDIYO DEBE TUPU KWA MASUALA YA USALAMA NDO MAANA HATA WALE WANAOITWA WASIOJULIKANA KUNA MAMLUKI KUTOKA RWANDA HII INAONYESHA NI NAMNA GANI MFUMO HAUPENDI HUU UJINGA NA WANAJUA KILA KITU KUANZIA MSIMAMIZI HADI WATEKELEZAJI ILA WANASHINDWA KU INTERVENE KATIBA INAWABANA WE SUBIRI 2020 IKARIBIE NDO UTAONA KITAKACHOTOKEA.
Lowassa hakuhudumu kitengo?
 
Mkuu Umeongea Point Unajua Mimi Binafsi Nirijiuliza Kuna Matukio Yalitokea Hapo Nyuma Mkurugenzi Msatahafu Wa Usalama Wa Taifa Rafiki Mkubwa Wa Lowassa Kuitwa Ikulu Na Atuja Chukua Muda Mara Paa Lowassa Kurudi Nyumban Ccm Na Siku Ya Mapokezi Waziri Mkuu Na Mh Raisi Walifurahi Sana Kuangaria Pembeni Na Muona Mr Rostam Anapiga Makofi Nikajiuriza Hawa Masters Plan Kwann Wamerudi Ccm Na Magufuri Na Majariwa Kwann Wanafurahi Hivi Nikahisi Kuna Jambo Wameshinda Sasa Leo Ndio Nimepata Jibu Kwanini Walikuwa Wanafurahi Kiasi Kile
 
Siasa ni mchezo mchafu sana ,mara nyingi mwenye nguvu hua ni yule mwenye dola,especially nchi za kiafrika.

Ndio maana wale wajanja ambao hujua wamepora wakiwa kwenye madaraka muda ukiisha hukaa kimya kujilia vyao taratibu.

Sasa naona umechokoza mzinga wa nyuki kumbuka ulikua kwenye system unataka kupambana na system,ambayo inakujua kindakindaki ABC zako.kukumaliza ni jambo dogo sana.

1-Imetajwa dola million ishirini (20)za Gaddafi ,unatakiwa utoe maelezo ya kutosha.

2-kutamalaki kwa dawa za kulevya awamu yako.

3-utakatishaji fedha uliokithiri awmu yako.

4-ugonvi wa Tanzania na malawi/ Tanzania na Rwanda ukiwa waziri wa mambo ya nje uhusiano ulikua mbaya.

5-ulileta makampuni mengi ya kitapeli ambayo mengi yalikua hayalipi kodi,ikiwemo kuuza kipande cha ardhi Bagamoyo kwa wageni pia kuikabidhi gas ya mtwara na Lindi kwa mkataba wa kinyonyaji. hapa nakumbuka Simbachawene aliuleta huu mkataba bungeni kwa haraka,ni wabunge 60 tu waliopitisha ,wapinzani kina Lissu walisema serikali ina haraka gani?
,jiandae kupangua hoja ikiwa wewe ndio uliowaleta.
6-una makampuni na mahotel huko Lindi na mtwara ambayo inasemekana yaliongoza kwa ukwepaji kodi,jiandae kupambana na TRA,

Mengi yataibuka na usije shangaa ukapewa kesi ambayo utahangaika nayo sana,itakupa uchovu wa akili na mwili.

Kwakua bado una ndoto za kuwa rais wa nchi hii komaa,ila system huwezi ishinda hata siku moja,hili nawe unajua, na kwa vile wanadamu tumeumbwa na kiburi nakuachia wewe mwenyewe uchague,Lowassa aliliona hilo ,na mwisho wake hua ni stroke ,diabets au paralasing ukiwa bunkrupy kabisa.
Kama una ushahidi peleka mahakamani ukamfungulie kesi

Ilä nyie wote pamoja na uyo unaemtuhumu ni maccm ya hovyo tu
 
Siasa ni mchezo mchafu sana ,mara nyingi mwenye nguvu hua ni yule mwenye dola,especially nchi za kiafrika.

Ndio maana wale wajanja ambao hujua wamepora wakiwa kwenye madaraka muda ukiisha hukaa kimya kujilia vyao taratibu.

Sasa naona umechokoza mzinga wa nyuki kumbuka ulikua kwenye system unataka kupambana na system,ambayo inakujua kindakindaki ABC zako.kukumaliza ni jambo dogo sana.

1-Imetajwa dola million ishirini (20)za Gaddafi ,unatakiwa utoe maelezo ya kutosha.

2-kutamalaki kwa dawa za kulevya awamu yako.

3-utakatishaji fedha uliokithiri awmu yako.

4-ugonvi wa Tanzania na malawi/ Tanzania na Rwanda ukiwa waziri wa mambo ya nje uhusiano ulikua mbaya.

5-ulileta makampuni mengi ya kitapeli ambayo mengi yalikua hayalipi kodi,ikiwemo kuuza kipande cha ardhi Bagamoyo kwa wageni pia kuikabidhi gas ya mtwara na Lindi kwa mkataba wa kinyonyaji. hapa nakumbuka Simbachawene aliuleta huu mkataba bungeni kwa haraka,ni wabunge 60 tu waliopitisha ,wapinzani kina Lissu walisema serikali ina haraka gani?
,jiandae kupangua hoja ikiwa wewe ndio uliowaleta.
6-una makampuni na mahotel huko Lindi na mtwara ambayo inasemekana yaliongoza kwa ukwepaji kodi,jiandae kupambana na TRA,

Mengi yataibuka na usije shangaa ukapewa kesi ambayo utahangaika nayo sana,itakupa uchovu wa akili na mwili.

Kwakua bado una ndoto za kuwa rais wa nchi hii komaa,ila system huwezi ishinda hata siku moja,hili nawe unajua, na kwa vile wanadamu tumeumbwa na kiburi nakuachia wewe mwenyewe uchague,Lowassa aliliona hilo ,na mwisho wake hua ni stroke ,diabets au paralasing ukiwa bunkrupy kabisa.

Kwani ilikuwa ni lazima uandike kitu? Si ingine soma tu upite!!!
 
Hivi ninyi mmeshajipa hati miliki ya nchi hii?? Kazi kuu mliyonayi ni kutumia madaraka kuwaumiza wengine?? "Anaeua kwa Upanga nae huuawa kwa Upanga" Endeleeni kuyanoa hayo mapanga yajekuwachinja vizuri.
 
Hivi ninyi mmeshajipa hati miliki ya nchi hii?? Kazi kuu mliyonayi ni kutumia madaraka kuwaumiza wengine?? "Anaeua kwa Upanga nae huuawa kwa Upanga" Endeleeni kuyanoa hayo mapanga yajekuwachinja vizuri.
Hata waliokula fedha ya Gaddafi lazima waiteme tu
 
Back
Top Bottom