Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,277
Pumbavu kabisa, na vipi mwizi wa nyumba za serikali ambaye aliuza nyumba zote na zingine akawahonga malaya wake?1-Imetajwa dola million ishirini (20)za Gaddafi ,unatakiwa utoe maelezo ya kutosha.
Hivi kumbe Awamu ya 4 Membe ndo alikuwa Rais? Na Magufuli alikuwa nani?2-kutamalaki kwa dawa za kulevya awamu yako.
3-utakatishaji fedha uliokithiri awmu yako.
Umemaliza kila Kitu Mkuu na namuonea mno huruma kwani yajayo hayatokuwa yakufurahisha Kwake. Hicho Kipengele chako #4 ndiyo nimekipenda zaidi. Sijajua Membe amejiamini nini wakati Yeye ni Mtu wa ' System ' tena wa ' Senior Level ' kabisa leo hii anakuja kutaka Kutunishiana Misuli na wenye ' System ' hii mpya huku akijua fika ya kwamba ' almost 65% ' ya yale aliyokuwa akiyajua ya ' System ' sasa yamebadilika na hakuna ambacho anakijua sana sana ataishia tu kupewa ' Umbea ' mdogo mdogo na ambao hautokuwa na Tija / Mantiki yoyote Kwake. Amefanya Jaribio baya sana na ambalo asipoangalia litakuja Kumgharimu mno Siku si nyingi.
Kama mambo hujui jitahidi basi utumie japo common sense! Eti JK alikuwa anafuatana na Membe kwenye safari zote za nje! Nimezungumzia safari za nje hapa? Btw, kwani ni watu wa mataifa ya nje ndio wanaopiga kura kumchagua rais?! Kusoma hujui, hata picha ukutani huzioni?Hata wewe unaonekana hujui lolote. Magufuli alikuwa Chaguo la Wahafidhina, Ukweli ni kwamba Kikwete alizidiwa nguvu na Lowassa na kuliona hilo ni pale aliporudi kuomba Msaada wa team Mr. Clean wakati alikuwa ameshawatupa.
Ukweli utabaki pale pale, Membe alikuwa Chaguo la Mkwere sema tathmini ikaonyesha akipitishwa mambo yatakuwa magumu ndani ya Chama. Eti Jakaya Alikuwa akiambatan na Magu, Hivi Kati ya Membe aliyekuwa akiambatana na Rais kwenye safari za nje karibia zote na Magu aliyekuwa anashinda Mabarabarani nani alikuwa na natasi nzuri ya kuwa Rais!?
NAJUA MLETA MADA KUNA AGENDA KUBWA NYUMA YAKO YA KUTAKA MAGU ABAKI MADARAKANI NAKUAPIA YA KUWA 2020 MAGU ATATOKA AIDHA KWA KUPENDA AU KUTOKUPENDA KWA UKIMTOA BASHITE, JOKATE NA MLETA MADA MJOMBA MAGU HANA RAFIKI KATIKA NCHI HII HILI HATA MAMA JESCA ANALIJUA, HUWEZI NYAMAZISHA WATU ATI KISA ATASHUGHULIKIWA KWENYE MALI ALIZOIBA KWANI BASHITE KAIBA NGAPI TENA KIBABE, YEYE MAGU KAIBA NGAPI HADI ANAJENGA AIRPORT YA BITUMEN KIJIJINI KUNAKOTUA WACHAWI WENYE NYUNGO TU, SASA KAMA KAKUTUMA KAMWAMBIE HUKU LIMEBUMA NA 2020 ATACHAPA LABA
PAMOJA NA HIZO NGUVU MWAMBIE KUWA 2020 ANARUDI CHATTLE HAKUNA NAMNA YA KUMSAIDIA YEYE AENDELEE NA MAMBO YA KE KADRI AWEZAVYO ILA AJUE TU KUWA MBIO ZAKE MWISHO NI 2020
Wewe hakuna unachpkijua, unajua Philip Mangula alichofanya na team Jk baada ya Uchaguzi wa mwaka 2005, unadhani ingekuwa rahisi kwa Mangula kukubali kufanya kazi tena na JK. Ukweli Kikwete baada ya Maji kuzidi unga ilibidi awaangukie wahafidhina( Mkapa, Mangula & the Co) ambao kwao Membe na Lowassa hawakuwa machaguo!Kama mambo hujui jitahidi basi utumie japo common sense! Eti JK alikuwa anafuatana na Membe kwenye safari zote za nje! Sasa kwani ni watu wa mataifa ya nje ndio wanaopiga kura kumchagua rais?! Kusoma hujui, hata picha ukutani huzioni?
Wewe ni miongoni mwa wale waliokariri kwamba mawaziri wa mambo ya nje huwa wanaandaliwa kuwa marais!
Kinyume chake safari nyingi za mikoani alikuwa anaambatana na Magu kwa kigezo cha waziri anayehusika na barabara kumbe alikuwa anamtangaza! Btw, kwanini arudi kuomba msaada kwa Mr. Clean wakati tayari Mkapa ni Mjumbe wa Kamati ya Maadili ambayo Mwenyekiti wake alikuwa Rais?! Inaelekea hata Kamati ya Maadili yenyewe huijui ndo maana unadai alirudi kwa Mkapa!
Halafu acha kuongea mambo usiyoyajua wewe! JK hakurudi kwa Mkapa kuomba msaada bali Mkapa na wastaafu wengine wa nafasi za juu ni wajumbe wa Kamati ya Maadili na Usalama! Ni hii kamati ndio inapokea maoni ya rais kama yalivyowasilishwa kwake kutoka intelligence community!! Mkapa ambae hakuwa rais hawezi kuwa na official info kuhusu wagombea kwa sababu hizo info anapewa rais!! Ni huyu Rais ambae ndie pia Mwenyekiti wa National Security Council ambayo wajumbe wake ni top military chiefs, TISS pamoja na some top government officials! Kote huko Mkapa hakuwepo!! Rais hawezi kuomba msaada kwa rais mstaafu kwa sababu kazi kubwa ya vetting inakuwa imeshafanywa na wenye nchi yao huku rais akiwa ndie mwamuzi wa mwisho kulingana na mapendekezo aliyopewa! Anachoweza kufanya kwa huyo rais mstaafu ni kuomba tu ushauri na sio msaada; ushauri ambao anaweza kuupiga chini!!
Angalia unavyochanganya madesa huku ukijitia ujuaji kumbe hujui lolote! Kikwete alimwangukia Phillip Mangula kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM, na hiyo ilikuwa back 2012! Narudia, Mkapa ni Mjumbe wa Kamati ya Maadili, kwahiyo huwezi kumwangukia mtu ambae tayari yupo kwenye kamati! Btw, kwahiyo unaamini after Magu, rais ajae ni Palamagamba Kabudi?! We jamaa una uelewa mdogo sana wa siasa za Tanzania na wala hufahamu ni kwanini nafasi ya uwaziri wa mambo ya nje inahusishwa sana na urais!Wewe hakuna unachpkijua, unajua Philip Mangula alichofanya na team Jk baada ya Uchaguzi wa mwaka 2005, unadhani ingekuwa rahisi kwa Mangula kukubali kufanya kazi tena na JK. Ukweli Kikwete baada ya Maji kuzidi unga ilibidi awaangukie wahafidhina( Mkapa, Mangula & the Co) ambao kwao Membe na Lowassa hawakuwa machaguo!
Narudia Kama Membe alishindwa kuwa Rais akiwa waziri wa Mambo ya nje he will never become ever! Unless otherwise Kama hujui what does it means to be a Foreign Affairs Minister hasa kwenye mikakati ya kuwa next president!
Pumbavu kabisa, na vipi mwizi wa nyumba za serikali ambaye aliuza nyumba zote na zingine akawahonga malaya wake?
Hivi kumbe Awamu ya 4 Membe ndo alikuwa Rais? Na Magufuli alikuwa nani?
Report ya CAG mliijibu kwa hoja gani?Siasa ni mchezo mchafu sana ,mara nyingi mwenye nguvu hua ni yule mwenye dola,especially nchi za kiafrika.
Ndio maana wale wajanja ambao hujua wamepora wakiwa kwenye madaraka muda ukiisha hukaa kimya kujilia vyao taratibu.
Sasa naona umechokoza mzinga wa nyuki kumbuka ulikua kwenye system unataka kupambana na system,ambayo inakujua kindakindaki ABC zako.kukumaliza ni jambo dogo sana.
1-Imetajwa dola million ishirini (20)za Gaddafi ,unatakiwa utoe maelezo ya kutosha.
2-kutamalaki kwa dawa za kulevya awamu yako.
3-utakatishaji fedha uliokithiri awmu yako.
4-ugonvi wa Tanzania na malawi/ Tanzania na Rwanda ukiwa waziri wa mambo ya nje uhusiano ulikua mbaya.
5-ulileta makampuni mengi ya kitapeli ambayo mengi yalikua hayalipi kodi,ikiwemo kuuza kipande cha ardhi Bagamoyo kwa wageni pia kuikabidhi gas ya mtwara na Lindi kwa mkataba wa kinyonyaji. hapa nakumbuka Simbachawene aliuleta huu mkataba bungeni kwa haraka,ni wabunge 60 tu waliopitisha ,wapinzani kina Lissu walisema serikali ina haraka gani?
,jiandae kupangua hoja ikiwa wewe ndio uliowaleta.
6-una makampuni na mahotel huko Lindi na mtwara ambayo inasemekana yaliongoza kwa ukwepaji kodi,jiandae kupambana na TRA,
Mengi yataibuka na usije shangaa ukapewa kesi ambayo utahangaika nayo sana,itakupa uchovu wa akili na mwili.
Kwakua bado una ndoto za kuwa rais wa nchi hii komaa,ila system huwezi ishinda hata siku moja,hili nawe unajua, na kwa vile wanadamu tumeumbwa na kiburi nakuachia wewe mwenyewe uchague,Lowassa aliliona hilo ,na mwisho wake hua ni stroke ,diabetis au paralasing ukiwa bunkrupcy kabisa.
Membe asiyajue ya system wewe official punda uyajue Acha basi Kula muwa Kwa kutumia tundu la hajaUmemaliza kila Kitu Mkuu na namuonea mno huruma kwani yajayo hayatokuwa yakufurahisha Kwake. Hicho Kipengele chako #4 ndiyo nimekipenda zaidi. Sijajua Membe amejiamini nini wakati Yeye ni Mtu wa ' System ' tena wa ' Senior Level ' kabisa leo hii anakuja kutaka Kutunishiana Misuli na wenye ' System ' hii mpya huku akijua fika ya kwamba ' almost 65% ' ya yale aliyokuwa akiyajua ya ' System ' sasa yamebadilika na hakuna ambacho anakijua sana sana ataishia tu kupewa ' Umbea ' mdogo mdogo na ambao hautokuwa na Tija / Mantiki yoyote Kwake. Amefanya Jaribio baya sana na ambalo asipoangalia litakuja Kumgharimu mno Siku si nyingi.
MurishaNyanoko
Sema wewe ndiyo umtaki jiweHakuna mtanzania anayemhitaji Jiwe. Msijidanganye. Ni hero tuongozwe na Member au hata Joti kuliko huyu mbinafsi na katili asiye na huruma. 2020 Jiwe must go.
Yani mkuu kuna typos kibao lakini watu wameelewa ujumbe na kuonyesha kuwa wameupenda sana! Kweli watu wamechoshwa, huu uchaguzi ccm wasiibe aisee.Hakuna mtanzania anayemhitaji Jiwe. Msijidanganye. Ni hero tuongozwe na Member au hata Joti kuliko huyu mbinafsi na katili asiye na huruma. 2020 Jiwe must go.
Mbona magufuli alipiga pesa za kivuko, billion 251 wizara ya ujenzi, kauza nyumba za serikali akajiuzia nyumba nyingi kinyume cha Sheria, barabara ya ubungo fire ilijengwa chini ya kiwango ikiwemo standa ya mwendo kasi na sasa kapiga mchongo kibao yeye magufuli humuoni umekalia kumkomoa membe peke yakeSiasa ni mchezo mchafu sana ,mara nyingi mwenye nguvu hua ni yule mwenye dola,especially nchi za kiafrika.
Ndio maana wale wajanja ambao hujua wamepora wakiwa kwenye madaraka muda ukiisha hukaa kimya kujilia vyao taratibu.
Sasa naona umechokoza mzinga wa nyuki kumbuka ulikua kwenye system unataka kupambana na system,ambayo inakujua kindakindaki ABC zako.kukumaliza ni jambo dogo sana.
1-Imetajwa dola million ishirini (20)za Gaddafi ,unatakiwa utoe maelezo ya kutosha.
2-kutamalaki kwa dawa za kulevya awamu yako.
3-utakatishaji fedha uliokithiri awmu yako.
4-ugonvi wa Tanzania na malawi/ Tanzania na Rwanda ukiwa waziri wa mambo ya nje uhusiano ulikua mbaya.
5-ulileta makampuni mengi ya kitapeli ambayo mengi yalikua hayalipi kodi,ikiwemo kuuza kipande cha ardhi Bagamoyo kwa wageni pia kuikabidhi gas ya mtwara na Lindi kwa mkataba wa kinyonyaji. hapa nakumbuka Simbachawene aliuleta huu mkataba bungeni kwa haraka,ni wabunge 60 tu waliopitisha ,wapinzani kina Lissu walisema serikali ina haraka gani?
,jiandae kupangua hoja ikiwa wewe ndio uliowaleta.
6-una makampuni na mahotel huko Lindi na mtwara ambayo inasemekana yaliongoza kwa ukwepaji kodi,jiandae kupambana na TRA,
Mengi yataibuka na usije shangaa ukapewa kesi ambayo utahangaika nayo sana,itakupa uchovu wa akili na mwili.
Kwakua bado una ndoto za kuwa rais wa nchi hii komaa,ila system huwezi ishinda hata siku moja,hili nawe unajua, na kwa vile wanadamu tumeumbwa na kiburi nakuachia wewe mwenyewe uchague,Lowassa aliliona hilo ,na mwisho wake hua ni stroke ,diabetis au paralasing ukiwa bunkrupcy kabisa.
Tunatarajia 'ligi mechi fucho'. Timu membe poleni sana. ,Asante kwa bandiko hili,natumai umewaziba mdomo.
Hivi vijana was CCM mmelogwa na Nani au laana ya chama chemu Cha free Mason,ndo kinafanya mkose akili kiasi hiki?
Juzi sakana la Kabudi lilipo letwa bbungeni na gwiji la siasa My Msigwa,
Kaimu kiongozi was shughuli za serikali bungeni siku ile akiwa mwakyembe alisema haya naomba kunukuu" mawaziri huwajibika kwa pamoja hivyo suala la kampuni feki ya ununuzi wa korosho si la Kabudi pekee bali la naraza Zima la mawaziri"
Sasa kwa mantiki iyo, mtu anaweza kumshutumu Membe kwa haya yote Kama mawaziri wanna wajibika pamoja?
chadomoUko upande wa Membe au chadomo?,niweke wazi