Membe jiandae kisaikolojia

Membe jiandae kisaikolojia

1-Imetajwa dola million ishirini (20)za Gaddafi ,unatakiwa utoe maelezo ya kutosha.
Pumbavu kabisa, na vipi mwizi wa nyumba za serikali ambaye aliuza nyumba zote na zingine akawahonga malaya wake?

2-kutamalaki kwa dawa za kulevya awamu yako.

3-utakatishaji fedha uliokithiri awmu yako.
Hivi kumbe Awamu ya 4 Membe ndo alikuwa Rais? Na Magufuli alikuwa nani?
 
Umemaliza kila Kitu Mkuu na namuonea mno huruma kwani yajayo hayatokuwa yakufurahisha Kwake. Hicho Kipengele chako #4 ndiyo nimekipenda zaidi. Sijajua Membe amejiamini nini wakati Yeye ni Mtu wa ' System ' tena wa ' Senior Level ' kabisa leo hii anakuja kutaka Kutunishiana Misuli na wenye ' System ' hii mpya huku akijua fika ya kwamba ' almost 65% ' ya yale aliyokuwa akiyajua ya ' System ' sasa yamebadilika na hakuna ambacho anakijua sana sana ataishia tu kupewa ' Umbea ' mdogo mdogo na ambao hautokuwa na Tija / Mantiki yoyote Kwake. Amefanya Jaribio baya sana na ambalo asipoangalia litakuja Kumgharimu mno Siku si nyingi.

Mtaongea weeee ila ukweli ndio huo. Watanzania tunataka mabadiliko. Hapa ni Membe tuuu.
 
Hata wewe unaonekana hujui lolote. Magufuli alikuwa Chaguo la Wahafidhina, Ukweli ni kwamba Kikwete alizidiwa nguvu na Lowassa na kuliona hilo ni pale aliporudi kuomba Msaada wa team Mr. Clean wakati alikuwa ameshawatupa.
Ukweli utabaki pale pale, Membe alikuwa Chaguo la Mkwere sema tathmini ikaonyesha akipitishwa mambo yatakuwa magumu ndani ya Chama. Eti Jakaya Alikuwa akiambatan na Magu, Hivi Kati ya Membe aliyekuwa akiambatana na Rais kwenye safari za nje karibia zote na Magu aliyekuwa anashinda Mabarabarani nani alikuwa na natasi nzuri ya kuwa Rais!?
Kama mambo hujui jitahidi basi utumie japo common sense! Eti JK alikuwa anafuatana na Membe kwenye safari zote za nje! Nimezungumzia safari za nje hapa? Btw, kwani ni watu wa mataifa ya nje ndio wanaopiga kura kumchagua rais?! Kusoma hujui, hata picha ukutani huzioni?

Wewe ni miongoni mwa wale waliokariri kwamba mawaziri wa mambo ya nje huwa wanaandaliwa kuwa marais! Uchaguzi unahitaji sana kuwa na exposure ya ndani vinginevyo, itabidi ufanye kazi ya ziada kumtangaza mgombea kama ambavyo Mwalimu alivyokuwa amefanya kazi ya ziada kumtangaza Mkapa ambae exposure yake kubwa ilikuwa nje!

Kinyume chake safari nyingi za mikoani JK alikuwa anaambatana na Magu kwa kigezo cha waziri anayehusika na barabara ambazo ilikuwa wanazunguka huku na huko ama kuzindua, au kuweka jiwe la msingi kumbe alikuwa anamtangaza! Btw, kwanini arudi kuomba msaada kwa Mr. Clean wakati tayari Mkapa ni Mjumbe wa Kamati ya Maadili ambayo Mwenyekiti wake alikuwa Rais?! Inaelekea hata Kamati ya Maadili yenyewe huijui ndo maana unadai alirudi kwa Mkapa!

Halafu acha kuongea mambo usiyoyajua wewe! JK hakurudi kwa Mkapa kuomba msaada bali Mkapa na wastaafu wengine wa nafasi za juu ni wajumbe wa Kamati ya Maadili na Usalama! Ni hii kamati ndio inapokea maoni ya rais kama yalivyowasilishwa kwake kutoka intelligence community!! Mkapa ambae hakuwa rais hawezi kuwa na official info kuhusu wagombea kwa sababu hizo info anapewa rais!! Ni huyu Rais ambae ndie pia Mwenyekiti wa National Security Council ambayo wajumbe wake ni top military chiefs, TISS pamoja na some top government officials! Kote huko Mkapa hakuwepo!! Rais hawezi kuomba msaada kwa rais mstaafu kwa sababu kazi kubwa ya vetting inakuwa imeshafanywa na wenye nchi yao huku rais akiwa ndie mwamuzi wa mwisho kulingana na mapendekezo aliyopewa! Anachoweza kufanya kwa huyo rais mstaafu ni kuomba tu ushauri na sio msaada; ushauri ambao anaweza kuupiga chini!!
 
NAJUA MLETA MADA KUNA AGENDA KUBWA NYUMA YAKO YA KUTAKA MAGU ABAKI MADARAKANI NAKUAPIA YA KUWA 2020 MAGU ATATOKA AIDHA KWA KUPENDA AU KUTOKUPENDA KWA UKIMTOA BASHITE, JOKATE NA MLETA MADA MJOMBA MAGU HANA RAFIKI KATIKA NCHI HII HILI HATA MAMA JESCA ANALIJUA, HUWEZI NYAMAZISHA WATU ATI KISA ATASHUGHULIKIWA KWENYE MALI ALIZOIBA KWANI BASHITE KAIBA NGAPI TENA KIBABE, YEYE MAGU KAIBA NGAPI HADI ANAJENGA AIRPORT YA BITUMEN KIJIJINI KUNAKOTUA WACHAWI WENYE NYUNGO TU, SASA KAMA KAKUTUMA KAMWAMBIE HUKU LIMEBUMA NA 2020 ATACHAPA LABA

 
Kama mambo hujui jitahidi basi utumie japo common sense! Eti JK alikuwa anafuatana na Membe kwenye safari zote za nje! Sasa kwani ni watu wa mataifa ya nje ndio wanaopiga kura kumchagua rais?! Kusoma hujui, hata picha ukutani huzioni?

Wewe ni miongoni mwa wale waliokariri kwamba mawaziri wa mambo ya nje huwa wanaandaliwa kuwa marais!

Kinyume chake safari nyingi za mikoani alikuwa anaambatana na Magu kwa kigezo cha waziri anayehusika na barabara kumbe alikuwa anamtangaza! Btw, kwanini arudi kuomba msaada kwa Mr. Clean wakati tayari Mkapa ni Mjumbe wa Kamati ya Maadili ambayo Mwenyekiti wake alikuwa Rais?! Inaelekea hata Kamati ya Maadili yenyewe huijui ndo maana unadai alirudi kwa Mkapa!

Halafu acha kuongea mambo usiyoyajua wewe! JK hakurudi kwa Mkapa kuomba msaada bali Mkapa na wastaafu wengine wa nafasi za juu ni wajumbe wa Kamati ya Maadili na Usalama! Ni hii kamati ndio inapokea maoni ya rais kama yalivyowasilishwa kwake kutoka intelligence community!! Mkapa ambae hakuwa rais hawezi kuwa na official info kuhusu wagombea kwa sababu hizo info anapewa rais!! Ni huyu Rais ambae ndie pia Mwenyekiti wa National Security Council ambayo wajumbe wake ni top military chiefs, TISS pamoja na some top government officials! Kote huko Mkapa hakuwepo!! Rais hawezi kuomba msaada kwa rais mstaafu kwa sababu kazi kubwa ya vetting inakuwa imeshafanywa na wenye nchi yao huku rais akiwa ndie mwamuzi wa mwisho kulingana na mapendekezo aliyopewa! Anachoweza kufanya kwa huyo rais mstaafu ni kuomba tu ushauri na sio msaada; ushauri ambao anaweza kuupiga chini!!
Wewe hakuna unachpkijua, unajua Philip Mangula alichofanya na team Jk baada ya Uchaguzi wa mwaka 2005, unadhani ingekuwa rahisi kwa Mangula kukubali kufanya kazi tena na JK. Ukweli Kikwete baada ya Maji kuzidi unga ilibidi awaangukie wahafidhina( Mkapa, Mangula & the Co) ambao kwao Membe na Lowassa hawakuwa machaguo!
Narudia Kama Membe alishindwa kuwa Rais akiwa waziri wa Mambo ya nje he will never become ever! Unless otherwise Kama hujui what does it means to be a Foreign Affairs Minister hasa kwenye mikakati ya kuwa next president!
 
Wewe hakuna unachpkijua, unajua Philip Mangula alichofanya na team Jk baada ya Uchaguzi wa mwaka 2005, unadhani ingekuwa rahisi kwa Mangula kukubali kufanya kazi tena na JK. Ukweli Kikwete baada ya Maji kuzidi unga ilibidi awaangukie wahafidhina( Mkapa, Mangula & the Co) ambao kwao Membe na Lowassa hawakuwa machaguo!
Narudia Kama Membe alishindwa kuwa Rais akiwa waziri wa Mambo ya nje he will never become ever! Unless otherwise Kama hujui what does it means to be a Foreign Affairs Minister hasa kwenye mikakati ya kuwa next president!
Angalia unavyochanganya madesa huku ukijitia ujuaji kumbe hujui lolote! Kikwete alimwangukia Phillip Mangula kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM, na hiyo ilikuwa back 2012! Narudia, Mkapa ni Mjumbe wa Kamati ya Maadili, kwahiyo huwezi kumwangukia mtu ambae tayari yupo kwenye kamati! Btw, kwahiyo unaamini after Magu, rais ajae ni Palamagamba Kabudi?! We jamaa una uelewa mdogo sana wa siasa za Tanzania na wala hufahamu ni kwanini nafasi ya uwaziri wa mambo ya nje inahusishwa sana na urais!

FYI, pamoja na kujitia kujua kwako wakati hujui lolote; inaonekena ukiwa Waziri wa Mambo ya Nje unaepushwa na scandal za ndani ambazo ni rahisi sana kwa senior ministers wa ndani kuzipata! Na ndio maana mawaziri kama wa fedha, mambo ya ndani, nishati n.k mara kwa mara huwa wanabadilishwa! Lakini kwavile Waziri wa Mambo ya Nje ha-deal sana na internal issues, basi hiyo inamfanya kuwa salama zaidi!

Lakini pili, ni kukariri tu kwa watu aina yako ambao critical thinking yao ni ndogo! Baada ya kuona Mkapa aliyekuwa foreign minister na akafuatiwa na JK ambae alikuwa foreign minister wote wakawa marais, basi watu aina yako wakahusisha moja kwa moja nafasi hiyo na urais!! Kitu ambacho mnashindwa kujua ni kwamba, Mkapa tangia hapo alikuwa mwana pendwa wa Mwalimu! JK nae wakati yupo foreign affair na waziri wa fedha wakati wa Mwinyi, alifanya kazi mzuri sana ambayo ikawa imeshamjengea nguvu kubwa sana ndani ya nchi! Na ndio maana haikushangaza kuibuka na 80% kwa sababu kila mtu believed on him si kwa sababu alikuwa foreign minister bali ni kwavile alishajenga foundation ya kutosha including ile ambayo ilimtoa kamasi Mwalimu mwaka 1995 hadi akalazimika kumbeba wazi wazi Mkapa kwa sababu tayari JK alishakuwa na foundation ya kutosha na wakati huo wala hakuwa waziri wa nje!!

Najua mashabiki wa Magufuli inawauma sana mkisikia Mungu mtu wenu kabebwa tu na JK kuwa pale na ndio maana pamoja na madudu yote ya utawala wa JK, Magu hana ubavu wa kumgusa zaidi ya kutoa ubunge kwa mke wake ili kulipa fadhila! Na wale mashabiki wa EL bado wana hasira za bosi wao kukatwa na hawaamini kwamba JK angeweza kuwa gaidi namna hiyo kwa EL!
 
Tatizo hujui siasa inavyofanya kazi,subiri utajua kwanini anatajwa yeye badala ya kikwete
Pumbavu kabisa, na vipi mwizi wa nyumba za serikali ambaye aliuza nyumba zote na zingine akawahonga malaya wake?


Hivi kumbe Awamu ya 4 Membe ndo alikuwa Rais? Na Magufuli alikuwa nani?
 
Siasa ni mchezo mchafu sana ,mara nyingi mwenye nguvu hua ni yule mwenye dola,especially nchi za kiafrika.

Ndio maana wale wajanja ambao hujua wamepora wakiwa kwenye madaraka muda ukiisha hukaa kimya kujilia vyao taratibu.

Sasa naona umechokoza mzinga wa nyuki kumbuka ulikua kwenye system unataka kupambana na system,ambayo inakujua kindakindaki ABC zako.kukumaliza ni jambo dogo sana.

1-Imetajwa dola million ishirini (20)za Gaddafi ,unatakiwa utoe maelezo ya kutosha.

2-kutamalaki kwa dawa za kulevya awamu yako.

3-utakatishaji fedha uliokithiri awmu yako.

4-ugonvi wa Tanzania na malawi/ Tanzania na Rwanda ukiwa waziri wa mambo ya nje uhusiano ulikua mbaya.

5-ulileta makampuni mengi ya kitapeli ambayo mengi yalikua hayalipi kodi,ikiwemo kuuza kipande cha ardhi Bagamoyo kwa wageni pia kuikabidhi gas ya mtwara na Lindi kwa mkataba wa kinyonyaji. hapa nakumbuka Simbachawene aliuleta huu mkataba bungeni kwa haraka,ni wabunge 60 tu waliopitisha ,wapinzani kina Lissu walisema serikali ina haraka gani?
,jiandae kupangua hoja ikiwa wewe ndio uliowaleta.
6-una makampuni na mahotel huko Lindi na mtwara ambayo inasemekana yaliongoza kwa ukwepaji kodi,jiandae kupambana na TRA,

Mengi yataibuka na usije shangaa ukapewa kesi ambayo utahangaika nayo sana,itakupa uchovu wa akili na mwili.

Kwakua bado una ndoto za kuwa rais wa nchi hii komaa,ila system huwezi ishinda hata siku moja,hili nawe unajua, na kwa vile wanadamu tumeumbwa na kiburi nakuachia wewe mwenyewe uchague,Lowassa aliliona hilo ,na mwisho wake hua ni stroke ,diabetis au paralasing ukiwa bunkrupcy kabisa.
Report ya CAG mliijibu kwa hoja gani?
 
Umemaliza kila Kitu Mkuu na namuonea mno huruma kwani yajayo hayatokuwa yakufurahisha Kwake. Hicho Kipengele chako #4 ndiyo nimekipenda zaidi. Sijajua Membe amejiamini nini wakati Yeye ni Mtu wa ' System ' tena wa ' Senior Level ' kabisa leo hii anakuja kutaka Kutunishiana Misuli na wenye ' System ' hii mpya huku akijua fika ya kwamba ' almost 65% ' ya yale aliyokuwa akiyajua ya ' System ' sasa yamebadilika na hakuna ambacho anakijua sana sana ataishia tu kupewa ' Umbea ' mdogo mdogo na ambao hautokuwa na Tija / Mantiki yoyote Kwake. Amefanya Jaribio baya sana na ambalo asipoangalia litakuja Kumgharimu mno Siku si nyingi.
Membe asiyajue ya system wewe official punda uyajue Acha basi Kula muwa Kwa kutumia tundu la haja
 
Hakuna mtanzania anayemhitaji Jiwe. Msijidanganye. Ni hero tuongozwe na Member au hata Joti kuliko huyu mbinafsi na katili asiye na huruma. 2020 Jiwe must go.
Sema wewe ndiyo umtaki jiwe
Sisi wenye kujitambua tunasema ikiwezekana aongezawe Miaka mingine 10! Baada ya 2025
 
Hakuna mtanzania anayemhitaji Jiwe. Msijidanganye. Ni hero tuongozwe na Member au hata Joti kuliko huyu mbinafsi na katili asiye na huruma. 2020 Jiwe must go.
Yani mkuu kuna typos kibao lakini watu wameelewa ujumbe na kuonyesha kuwa wameupenda sana! Kweli watu wamechoshwa, huu uchaguzi ccm wasiibe aisee.
 
Siasa ni mchezo mchafu sana ,mara nyingi mwenye nguvu hua ni yule mwenye dola,especially nchi za kiafrika.

Ndio maana wale wajanja ambao hujua wamepora wakiwa kwenye madaraka muda ukiisha hukaa kimya kujilia vyao taratibu.

Sasa naona umechokoza mzinga wa nyuki kumbuka ulikua kwenye system unataka kupambana na system,ambayo inakujua kindakindaki ABC zako.kukumaliza ni jambo dogo sana.

1-Imetajwa dola million ishirini (20)za Gaddafi ,unatakiwa utoe maelezo ya kutosha.

2-kutamalaki kwa dawa za kulevya awamu yako.

3-utakatishaji fedha uliokithiri awmu yako.

4-ugonvi wa Tanzania na malawi/ Tanzania na Rwanda ukiwa waziri wa mambo ya nje uhusiano ulikua mbaya.

5-ulileta makampuni mengi ya kitapeli ambayo mengi yalikua hayalipi kodi,ikiwemo kuuza kipande cha ardhi Bagamoyo kwa wageni pia kuikabidhi gas ya mtwara na Lindi kwa mkataba wa kinyonyaji. hapa nakumbuka Simbachawene aliuleta huu mkataba bungeni kwa haraka,ni wabunge 60 tu waliopitisha ,wapinzani kina Lissu walisema serikali ina haraka gani?
,jiandae kupangua hoja ikiwa wewe ndio uliowaleta.
6-una makampuni na mahotel huko Lindi na mtwara ambayo inasemekana yaliongoza kwa ukwepaji kodi,jiandae kupambana na TRA,

Mengi yataibuka na usije shangaa ukapewa kesi ambayo utahangaika nayo sana,itakupa uchovu wa akili na mwili.

Kwakua bado una ndoto za kuwa rais wa nchi hii komaa,ila system huwezi ishinda hata siku moja,hili nawe unajua, na kwa vile wanadamu tumeumbwa na kiburi nakuachia wewe mwenyewe uchague,Lowassa aliliona hilo ,na mwisho wake hua ni stroke ,diabetis au paralasing ukiwa bunkrupcy kabisa.
Mbona magufuli alipiga pesa za kivuko, billion 251 wizara ya ujenzi, kauza nyumba za serikali akajiuzia nyumba nyingi kinyume cha Sheria, barabara ya ubungo fire ilijengwa chini ya kiwango ikiwemo standa ya mwendo kasi na sasa kapiga mchongo kibao yeye magufuli humuoni umekalia kumkomoa membe peke yake
 
Sauli alimwinda sana Daudi ili kulinda madaraka yake ila ni Daudi aliyekuja kutawala mahali pa Sauli tena bila kutumia nguvu kubwa dhidi ya Sauli aliyekuwa mtawala wakati huo

Mtu kuwa mtawala haimaanishi unaweza kufanya kila kitu unachojisikia kufanya kuna mengine yanapokuja ukiwa mkaidi yanakuangusha tu

Mimi nimesema kibiblia zaidi
 
Tunatarajia 'ligi mechi fucho'. Timu membe poleni sana. ,Asante kwa bandiko hili,natumai umewaziba mdomo.


Hivi vijana was CCM mmelogwa na Nani au laana ya chama chemu Cha free Mason,ndo kinafanya mkose akili kiasi hiki?
Juzi sakana la Kabudi lilipo letwa bbungeni na gwiji la siasa My Msigwa,
Kaimu kiongozi was shughuli za serikali bungeni siku ile akiwa mwakyembe alisema haya naomba kunukuu" mawaziri huwajibika kwa pamoja hivyo suala la kampuni feki ya ununuzi wa korosho si la Kabudi pekee bali la naraza Zima la mawaziri"
Sasa kwa mantiki iyo, mtu anaweza kumshutumu Membe kwa haya yote Kama mawaziri wanna wajibika pamoja?
 
Nikiweka kumbukumbu vizuri wakati huo Raisi alikua mzee JK waziri mkuu mzee Pinda na mheshimiwa wa sasa alikua sehemu ya baraza. Nani amfunge paka kengele?
 
Membe hta akigombea pekeake hawez kushinda kivuli chake, CcM kama wanataka kosea wamchangue membe kuwania uraisi, ndo watakuwa wamekizika chama chao
 
Back
Top Bottom