Membe jiandae kisaikolojia

Membe jiandae kisaikolojia

We unaongelea wenyeviti wa mikoa au wanachama. Mimi naongelea mfumo. Membe hayuko mwenyewe katika hili. Ana backup ya vigogo na ana back up ya section fulani ndani ya mfumo
Hata Lowassa hakuwa mwenyewe alisema alikuwa na Wenyeviti wa CCM wa mikoa yote TZ. Mwisho wake ulikuwaje?
 
We unaongelea wenyeviti wa mikoa au wanachama. Mimi naongelea mfumo. Membe hayuko mwenyewe katika hili. Ana backup ya vigogo na ana back up ya section fulani ndani ya mfumo
Hana lolote wanamchota tu. Muulize Lowassa alikuwa na akina nani toka kwenye mfumo? Walimgeuzageuza kama peer baadae wakamwacha kweupe!! Muulize siku ya uchaguzi ilikuwaje aliweza kuwaona hao mashushushu waliokuwa karibu nao?? Membe ajifunze kwa Lowassa!
 
Hayo yote uliyoorodhesha yanamhusu jiwe pia kwakuwa naye alikuwemo kwanye awamu hizo
 
Hakuna mtanzania anayemhitaji Jiwe. Msijidanganye. Ni hero tuongozwe na Member au hata Joti kuliko huyu mbinafsi na katili asiye na huruma. 2020 Jiwe must go.
Unaposema hakuna mtanzania anayemhitaji jiwe, unanichanganya na mimi, ukweli mi namhitaji miaka kumi mingine.
 
Humjui membe wewe, huyo mtu aguswi kifala kama unavyofikiria
 
Soon mtamuonea huruma
Cha ajabu, you're no match with Membe!! Huyo Mungu Mtu wenu anachojua ni ku-deal na wanyonge tu! Ikiwa ameshindwa ku-deal na Said Lugumi ambae hadi kesho wanamgwaya, ndo ataweza ku-deal na Membe?! Ni kweli yeye ndie mwenye dola lakini pia ni kweli ameonesha wazi hana ubavu wa ku-deal "vingunge!" Ni kutokana na ukweli huo, ndio maana pamoja na makelele yenu kwamba awamu zilizopita zilijaa ufisadi lakini Mungu Mtu ameshindwa ku-deal na kingunge yeyote ambae kimsingi wao ndio misingi ya ufisadi! Na anashindwa ku-deal nao kwa sababu anafahamu kwamba wanfahamu na mwenyewe ni fisadi tu licha ya porojo za hapa na pale! Huwezi kujenga international airport kijijini kwenu kama hauna elements za kifisadi!
 
Humjui membe wewe, huyo mtu aguswi kifala kama unavyofikiria
Nilimdharau aliposhindwa kinyanganyiro cha urais 2015 pamoja na mbeleko kubwa ya Kikwete,hawezi kua rais na hatakua rais wa hii nchi ,labda kwenu Lindi
 
Cha ajabu, you're no match with Membe!! Huyo Mungu Mtu wenu anachojua ni ku-deal na wanyonge tu! Ikiwa ameshindwa ku-deal na Said Lugumi ambae hadi kesho wanamgwaya, ndo ataweza ku-deal na Membe?! Ni kweli yeye ndie mwenye dola lakini pia ni kweli ameonesha wazi hana ubavu wa ku-deal "vingunge!" Ni kutokana na ukweli huo, ndio maana pamoja na makelele yenu kwamba awamu zilizopita zilijaa ufisadi lakini Mungu Mtu ameshindwa ku-deal na kingunge yeyote ambae kimsingi wao ndio misingi ya ufisadi! Na anashindwa ku-deal nao kwa sababu anafahamu kwamba wanfahamu na mwenyewe ni fisadi tu licha ya porojo za hapa na pale! Huwezi kujenga international airport kijijini kwenu kama hauna elements za kifisadi!
Mfuate Lugumi akwambie vizuri kilichompata silence
 
Nilimdharau aliposhindwa kinyanganyiro cha urais 2015 pamoja na mbeleko kubwa ya Kikwete,hawezi kua rais na hatakua rais wa hii nchi ,labda kwenu Lindi
Kumbe na wewe akili zako kama za ndugu yako unaleta mambo ya ukabila apa, ndo mana mmeshindwa kuongoza nchi mmebakiwa kudhurumu wakulima na wanyakazi
 
Wachawi wabaya sana! Wamemloga "Mbeme" wa watu sasa anajiropokea tu!!!! Ninamwombea msamaha maana naona hajui alisemalo!!!! Muda huu bila shaka hata yeye atakuwa anashangaa ilikuwaje akajikuta anasema mambo ambayo ni kama kufuru kwa utamaduni wa chama chake kilichomlea na kumfundisha kisha kumpa ulaji!!!!
 
Nilimdharau aliposhindwa kinyanganyiro cha urais 2015 pamoja na mbeleko kubwa ya Kikwete, hawezi kua rais na hatakua rais wa hii nchi, labda kwenu Lindi
Hapo kwenye rangi ndo unaonesha wazi kwamba wala hujui kinachoendelea kwenye system manake ungekuwa unafahamu, since day one ungejua chaguo la JK halikuwa Membe bali Magu lakini watu kama nyie mkaaminishwa kwamba chaguo la JK lilikuwa Membe!! Unaonesha wazi wewe ni mpiga makofi tu ambae haupo kwenye system! Ni mpiga makofi ambae kuna kila dalili kwamba makofi yako yanasukumwa na ukabila!! Ni kutokana na hilo ndio maana unaonekana kiroja kwa mtu wa kariba yako kumwapizia mtu kama Membe ambae hata Magu mwenyewe anamgwaya!! Na ushahidi kwamba anamgwaya unaonekana wazi anapoopogopa kumtaja kwa jina mtu anayedai amepiga 20 Bilioni huko Lindi, na matokeo yake anaishia kuimba taarabu tu huku akishindwa kutaja hata jina moja tu kwamba Ben, ili siku akibanwa aweze kukataa na kusema kuna akina Benwengi!

Btw, kusoma hujui, ina maana hata picha ukutani huzioni! Hivi ulishawahi kujiuliza kwanini ziara za mikoani JK alikuwa anapenda kufuatana na Magu?! Hivi ulishawahi kujiuliza ni kwanini JK aliipendelea zaidi wizara ya Magu kwenye bajeti kuliko wizara nyingine yoyote ile?!
 
NAJUA MLETA MADA KUNA AGENDA KUBWA NYUMA YAKO YA KUTAKA MAGU ABAKI MADARAKANI NAKUAPIA YA KUWA 2020 MAGU ATATOKA AIDHA KWA KUPENDA AU KUTOKUPENDA KWA UKIMTOA BASHITE, JOKATE NA MLETA MADA MJOMBA MAGU HANA RAFIKI KATIKA NCHI HII HILI HATA MAMA JESCA ANALIJUA, HUWEZI NYAMAZISHA WATU ATI KISA ATASHUGHULIKIWA KWENYE MALI ALIZOIBA KWANI BASHITE KAIBA NGAPI TENA KIBABE, YEYE MAGU KAIBA NGAPI HADI ANAJENGA AIRPORT YA BITUMEN KIJIJINI KUNAKOTUA WACHAWI WENYE NYUNGO TU, SASA KAMA KAKUTUMA KAMWAMBIE HUKU LIMEBUMA NA 2020 ATACHAPA LABA
UMEWAUWAAAAA
 
Back
Top Bottom